Iran: Watu 36 wajeruhiwa katika maandamano kupinga kifo cha mwanamke ambaye alishikiliwa na polisi kwa kutositiri kichwa

Iran: Watu 36 wajeruhiwa katika maandamano kupinga kifo cha mwanamke ambaye alishikiliwa na polisi kwa kutositiri kichwa

Wakurdi inaonekana watu poa sana, sio wa msimamo mkali
Poa sana hao jamaa. Unaweza ona Iraq Kurdistan ilivyo na utulivu. Wanahitaji kupata Taifa lao aisee.
 
Ukiona NGUVU inatumika katìka kutekeleza imani ya DINI hadi dora inatia mkono wake ujue kuna shida mahali.
 
Maandamano bado yanaendelea huko.
Safari hii watoto hawataki ujinga tena.
Kama kujifunika mitambala kuzuri basi jifunikeni wote, waume na wake.

Kumbe watoto wa Kiirani ni warembo hatare [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ilikuwa ni wivu tu kwa waschana wao.

Hakika hii ni dhambi kubwa sana.
 
Mataifa yanayoongozwa kidini huwa kama mazombi vile, mwanamke anauawa kisa tu hakufunika kichwa, watu wamejeruhiwa kwenye maandamano ya kupinga mauaji hayo.

======

At least 36 people have been injured in the Kurdistan Region of Iran, in the northwest of the country, during protests sparked by the death of a Kurdish woman, Mahsa Amini, who died shortly after being arrested in Tehran for not wearing the Islamic headscarf or hijab properly.

The director of the Hengaw Human Rights Organization, Arsalan Yarahmedi, reported the number of wounded in declarations to the Kurdish-Iraqi television Rudaw and explained that five of the injured "are in critical condition and need surgery". These are individuals injured in Saghez, Amini's hometown, who have been hospitalized in Tabriz.

Hengaw, an organization dedicated to documenting human rights violations in the Kurdish region of Iran using local sources, has warned that some of the injured have not gone to health centers for fear of being arrested for participating in the protests.

Kurdish opposition parties have called a general strike for Monday in Rojhelat, eastern or Iranian Kurdistan, to protest Amini's death.

Amini was buried on Saturday in her home town of Aychi in the Saghez region of Iranian Kurdistan, and the event turned into a protest rally that was broken up by police using tear gas.

On the same day, protests were held in Sanandaj with slogans such as "Death to the dictator!" or "Death to Khamenei!", in reference to the supreme leader of the Islamic Republic, Ayatollah Ali Khamenei, according to the Saudi channel Al Arabiya.

The demonstrators also tore down a poster in memory of Qasem Soleimani, a senior Iranian Revolutionary Guards commander killed in Iraq in a U.S. attack, according to videos posted on social networks.

"Saghez is not alone!" they have also shouted in reference to Amini's home region. In that locality on Friday there were mobilizations and some women removed the hijab as a gesture of protest.

Iran ni shithole country
 
Wakurdi inaonekana watu poa sana, sio wa msimamo mkali
Hawapendi ujinga na ndio watu wanaochukiwa na kuwa persecuted na serikali zote za kigaidi na kidikteta ukianzia Ike Iraq ya saadam Hadi ya sasa ,saadamu aliwaua Sana na kuwatesa hawa watu kisa msimamo wao WA kupinga tyranny ,ikija Turkey ni hivyo hivyo ni mikinzano na serikali ya Turkey miaka mingi mpaka wameitwa ni magaidi na serikali ya Turkey kisa wanapigania Uhuru wao kuwa taifa huru na kupinga udikteta ukija Syria ni hivyo hivyo wakapigwa vita Sana na Yule gaidi Asad mpaka alitumia silaha za sumu dhidi Yao .
Nawakubali Sana ,kiufupi ni jamii iliyopo ndani ya mataifa manne hapo middle East , Iraq ,Iran ,Turkey ,Syria
 
Screenshot_2022-09-23-10-20-01-75_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2022-09-23-10-19-50-76_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
    Screenshot_2022-09-23-10-19-50-76_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
    46 KB · Views: 2
Anaye baka vitoto hapa duniani adhabu yake ni kwenda jela.

Asipo tubu ni final jehanam.

Awe Papa, awe Che mittoga, awe Ayatola awe nani.

Mtu mwenye akili kidogo tu huwezi kutongoza katoto ka miaka sita na kusema kamemkubali.

Hata wazazi wake wakiridhia, wewe inabidi uwaelimishe kuwa tendo hilo ni ubakaji.

Mtume alipewa hako katoto kwakuwa wazazi wake waliona anakamendea na waliogopa kuchinjwa kama hawata tekeleza nia ya m'bora wa mitume ( piece be upon him )

Hata mtoto wake wa kufikia hakuwa na namna bali kumwacha mke wake waliopendana sana baada ya kuona mtume anammendea, kwa kuchelea kuchinjwa.

Sharia ya Kiislamu inasema mke akiachwa anatakiwa akae mwezi mmoja bila kuchukuliwa uchumba na mtu mwingine yoyote.
Kwakuwa mmewe anaweza kumrudia kwa kutangua taraka yake.

Chaa ajabu mtume wa wajinga na Majini siku alipo sikia tu Zayd kamwacha mke wake fasta ali mchukua siku hiyo hiyo kuwa mke wake na Aya ikashuka.

"Usiogope kumwoa huyo aliyeachwa na mwanao maana mabinti wa Kiislamu wote ni halari yako, hii ni kwako wewe tu na sio waislamu wengine"

Allah na mtume lao moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hadi wakeze mtume wakamshtukia na kumwambia.
"Huyo mola wako ni kuwa yupo kwa kutimiza tamaa zako tu za kimwili tu basi"

Halafu uje uniambie mimi mwenye Hekima nyingi.

Eti mchikilize mtume (pieces be upon him) yeye ndio m'bora wa watu wote.

Naye aliwachoka akawachana wazi kabisa.
"Mimi sio kiroja kipya katika mitume na sijui nitakacho fanywa mimi wala nyinyi mnaonisikiliza"

Mimi nikilize na kukiamini KIROJA....!
Tena Kiroja kipya.

Ha...ha...ha
Mmepigwa mchana kweupe pe.

Mwacheni Kiroja atafune vitoto na vibibi vikina Hadija na yeyote atakaye jitoa bure kwa mtume.
Nyinyi ishieni na hao hao wanne.
Mkienda peponi mtapewa wanawali Bikra 72. Kati ya hao mme ambiwa 70 wanatoka katika pit of Hell.

Yaani wanawake 70 mtaopewa ni raia wa Kuzimu.

Shitukeni hayo ni Majini. Ndugu zenu wa Kijini.

Nawasilisha kwa wenye busara na uwezo wa kutafakari.
 
hizo dini daah...

Utakuta mtu yuko busy kumtetea huyo Mungu kwa kila namna, wakati huo huo akishiba makande utaskia '' Mungu wetu hashindwi kwa lolote"
Dah!umewaza mbali sana yaan Mungu anaweza vyote na bado mpaka unaua kumtetea,[emoji40]
 
Kwani si ndio mnajinasibu ni ndugu zenu..haya ndugu zenu wameua huko...kisa hijabu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wana kaunafiki ka kudai waislamu wote ni ndugu kwa maana hiyo awe jambazi,gaidi...maadam ni muislamu huyo ni ndugu!Sijui huu mshikamamo ni kwa ajili ya nini.
 
Back
Top Bottom