Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Maralia upo ndugu yangu 🤣🤣Kafiri utakufa mdomo wazi. Uislam huwezi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maralia upo ndugu yangu 🤣🤣Kafiri utakufa mdomo wazi. Uislam huwezi kabisa
brazaj za nini hasira mkuu, nchi zinazopigana hata siyo zetu, lakini itoshe tu kusema, Israel kama mlivyoibatiza kwa jina la mtoa roho!1. Tofautisha uungwana na ujinga. Pia kuutambua utu dhidi ya upumbavu.
2. Gia ipi imebadilika hapo Sasa? Si Israel achague kuendelea na vita Gaza Ili gia isibafilike? Au?
3. Kwamba Israel haitaki suluhu, kumbe kwako ni sifa?
Bure Kabisa!
Braza......si walitoa masaa 48 🤣🤣😋1. Tofautisha uungwana na ujinga. Pia kuutambua utu dhidi ya upumbavu.
2. Gia ipi imebadilika hapo Sasa? Si Israel achague kuendelea na vita Gaza Ili gia isibafilike? Au?
3. Kwamba Israel haitaki suluhu, kumbe kwako ni sifa?
Bure Kabisa!
Ila wewe ukiutukana ukristo na uyahudi unataka uchekewe mkuu 🤣🤣Huwezi kuutukana uislam au ukawashifu uislam halafu ukachekewa
Yahaya.....😂😂🤣🤣 juzi alikuepo al shifa.......kumbe anaishi kwenye handaki kama panya buku...🤣🤣🤣Mavitabu meeengi mbona yahya yumo kwenye handaki hapo hapo Gaza hao wazayuni hawamtoi? vita sio porojo ni field work hamas tu anamtoa jasho hana chakula
Nature ya ugaidi hiiHuwezi kuutukana uislam au ukawashifu uislam halafu ukachekewa
Ni sahihi.
🤣🤣 mimi mbongo mkuu
Braza......si walitoa masaa 48 🤣🤣😋
brazaj za nini hasira mkuu, nchi zinazopigana hata siyo zetu, lakini itoshe tu kusema, Israel kama mlivyoibatiza kwa jina la mtoa roho!
Jina hilo hilo linatosha kukuogofya hata wewe!
Aliyetoa Hilo jina hakukoseabrazaj za nini hasira mkuu, nchi zinazopigana hata siyo zetu, lakini itoshe tu kusema, Israel kama mlivyoibatiza kwa jina la mtoa roho!
Jina hilo hilo linatosha kukuogofya hata wewe!
Iran akiingia vitani huku Africa tutaishi kama akhera kiuchumi hata biashara usafirishaji bidhaa hautakuwepo..1. Kwani kama kwa sadaka ya awaye yote, amani ikirejea popote si jambo la kupongezwa? Kwanini mnapenda vita badala ya suluhu?
2. Mbona Yesu na maguvu yote ya ki Mungu alikuja kufa ili tukombolewe.
3. Zingatia Yesu alifufua wafu, akaponya wagonjwa, akalisha watu zaidi ya 5,000 kwa mikate 5 na samaki 2; wakala, wakashiba na kusaza!
4. Pamoja na #3, lakini akafa kwa ajili yetu.
5. Bado huoni kuwa Iran ni Jembe?!
matunduizi mtumishi wa Mungu nikuombe unilinde.
Braza.....masaa 48 bado au 🤣🤣🤣1. Kwani kama kwa sadaka ya awaye yote, amani ikirejea popote si jambo la kupongezwa? Kwanini mnapenda vita badala ya suluhu?
2. Mbona Yesu na maguvu yote ya ki Mungu alikuja kufa ili tukombolewe.
3. Zingatia Yesu alifufua wafu, akaponya wagonjwa, akalisha watu zaidi ya 5,000 kwa mikate 5 na samaki 2; wakala, wakashiba na kusaza!
4. Pamoja na #3, lakini akafa kwa ajili yetu.
5. Bado huoni kuwa Iran ni Jembe?!
matunduizi mtumishi wa Mungu nikuombe unilinde.
Mbongo pro arabs...🤣🤣🤣🤣🤣 mimi mbongo mkuu
Vita ya Israel na Irani hata ikiahirishwa yenyewe ipo tu! hii vita imetabiriwa katika maandiko (Ezekiel 37-39).Ni vita itakayotumia silaha za kisasa zaidi kuliko vita iliyowahi kutokea,Urusi(gogu) itakuwa nyuma ya Irani na Marekani itakuwa nyuma ya Israel baada ya vita Marekani itafilisika kabisa dollar itaanguka na haitakuwa super power tena.Jumuia ya ulaya ndiyo itakayotawala Dunia kupitia mpinga kristo kimsingi chochoko zote zinalenga hapo.
Huyo iDF chief apewe 🌹 💐 🏵 🥀 yake..IDF Chief of Staff Herzi Halevi stressed on Sunday that Israel knows "how to handle Iran."
Ni Pro RIGHTS... 🤣🤣🤣Mbongo pro arabs...🤣🤣🤣