Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

1. Tofautisha uungwana na ujinga. Pia kuutambua utu dhidi ya upumbavu.

2. Gia ipi imebadilika hapo Sasa? Si Israel achague kuendelea na vita Gaza Ili gia isibafilike? Au?

3. Kwamba Israel haitaki suluhu, kumbe kwako ni sifa?

Bure Kabisa!
brazaj za nini hasira mkuu, nchi zinazopigana hata siyo zetu, lakini itoshe tu kusema, Israel kama mlivyoibatiza kwa jina la mtoa roho!

Jina hilo hilo linatosha kukuogofya hata wewe!
 
1. Tofautisha uungwana na ujinga. Pia kuutambua utu dhidi ya upumbavu.

2. Gia ipi imebadilika hapo Sasa? Si Israel achague kuendelea na vita Gaza Ili gia isibafilike? Au?

3. Kwamba Israel haitaki suluhu, kumbe kwako ni sifa?

Bure Kabisa!
Braza......si walitoa masaa 48 šŸ¤£šŸ¤£šŸ˜‹
 
Mavitabu meeengi mbona yahya yumo kwenye handaki hapo hapo Gaza hao wazayuni hawamtoi? vita sio porojo ni field work hamas tu anamtoa jasho hana chakula
Yahaya.....šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ¤£ juzi alikuepo al shifa.......kumbe anaishi kwenye handaki kama panya buku...🤣🤣🤣
 
Au Ayatolah kapigiwa na Marehemu Kamanda wake kuwa "Mzee,, Mabikra 70 wamenizunguka hapa, wananikanda kanda,acheni kurivenji..." Ayatolah nae akajibu Salalahu wasalaam death to Amrika death to Biden..."😁🤤
 
Ni sahihi.

1. Mafundisho yetu ni ya amani tuwafundishe tunaowadhania kuwa washari Kwa vitendo.

2. Hata Petro alipomkata adui sikio, si kuwa alikumbushwa tu, bali Yesu alilirejesha kama lilivyokuwa.

3. Tupambane dhidi ya ubaya kwa wema.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Braza......si walitoa masaa 48 šŸ¤£šŸ¤£šŸ˜‹

1. Kwani kama kwa sadaka ya awaye yote, amani ikirejea popote si jambo la kupongezwa? Kwanini mnapenda vita badala ya suluhu?

2. Mbona Yesu na maguvu yote ya ki Mungu alikuja kufa ili tukombolewe.

3. Zingatia Yesu alifufua wafu, akaponya wagonjwa, akalisha watu zaidi ya 5,000 kwa mikate 5 na samaki 2; wakala, wakashiba na kusaza!

4. Pamoja na #3, lakini akafa kwa ajili yetu.

5. Bado huoni kuwa Iran ni Jembe?!

matunduizi mtumishi wa Mungu nikuombe unilinde.
 
brazaj za nini hasira mkuu, nchi zinazopigana hata siyo zetu, lakini itoshe tu kusema, Israel kama mlivyoibatiza kwa jina la mtoa roho!

Jina hilo hilo linatosha kukuogofya hata wewe!

1. Hizo hasira wazisoma wapi ndugu? Hizo ni sifa, inaitwa "subira."

2. Kuwa na subira si unyonge bali uthabiti uliotamalaki.
 
Iran akiingia vitani huku Africa tutaishi kama akhera kiuchumi hata biashara usafirishaji bidhaa hautakuwepo..
Hii vita sio ya kushabikia hata kidogo, hizi Busara za Iran zitaokoa waafrica wote na janga la njaa
 
Braza.....masaa 48 bado au 🤣🤣🤣
 

Iran hii moja iangushe dollar ya Marekani???
 
Hawa ndo walisema wataanza na jerusalem!!? Ebu wajaribu
 
IDF Chief of Staff Herzi Halevi stressed on Sunday that Israel knows "how to handle Iran."
Huyo iDF chief apewe 🌹 šŸ’ šŸµ šŸ„€ yake..
Ayatollah hathubutu kugusa Israel maana bado anapenda dera lake
 
Netanyahu hapati usingizi ajua muda wowote kichapo kinakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…