green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Tulikua tunasubiri tule pilau na nyamwa ya ngamiaUjasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv,Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
SIDHANI KAMA UKO SAHIHI!
Huoni tarehe video ya February ππ
Acha propaganda huo uwanja umepigwa na Israel yenyewe imekili na wametangaza kuufunga.
Ss hapo huoni zinakua intercepted na AD.Zamani zipi? Bado hujasema π€£π€£
View: https://twitter.com/jacksonhinklle/status/1779284334723150003?t=mj-BxxPUgN5hheYywkeZ5A&s=19
Source Iran Observer πππTarehe au siyo? Bado hujasema ππ
View: https://twitter.com/IranObserver0/status/1779302122648920399?t=3uDjJo7LBVpa-9F32tlQtA&s=19
Na Iran ana uwezo wa kupiga meli zaidi ili zisiende Israel nayo ife njaa.Walisema Iran Hana Uwezo wakujibu
Saizi Wanaleta Ngonjera Za Kutunguliwa Makombora mara Mwisho wa Iran umefika!!!
Iran Sio Hamas
Ukipiga nawe Utapigwa kweli kweli
Wataangushiwa hao muda si mrefu.Natamani hiko kidude kiangushwe mji mkongwe wa Israel.
Subiri mtakapoanza kununua mafuta 20,000/- kwa lita ndo mtaelewa.............Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv,Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Wabishie na IDF bhasAcha propaganda huo uwanja umepigwa na Israel yenyewe imekili na wametangaza kuufunga.
Kama ni kurusha makombora hata Tanzania inaweza ikarusha tu, lakini inategemea yanaishia wapi, maana yanaweza yakaishia humu humu nchiniUjasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Weka picha mahali ambapo Irani amepapiga tuone ufanisi wa makomboraIran Sio Hamas
Ukipiga nawe Utapigwa kweli kweli
Yaap nimecomfirm hiliMkuu ni confirmed na Israel na USA Iran wamefanikiwa kushambulia target kadhaa ndani ya Israel Ila Kuna uharibifu mdogo kwenye military base.
USA yupi kwani? Huyu huyu aliepigana na Taliban miaka 20 na akakimbia yeye?Urusi yupi? Huyu huyu aliyemshindwa Ukraine ama? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si wamesema zimedunguliwa zoteee!?Another oneView attachment 2962899
Mossad hao au sio!?
Nafurahi sana siyo israeli tu na marekani na NATO wote wakipigwa huwa nafarijika sanaaNa wewe unafurahia israel kushambuliwa