ninachoshangaa, mashambulizi ya makombora karibia 300 lakini Israel haijaumia wala nini. biden amesema netanyahu asijibu, ila bibi kasema ndani ya masaa 48 anajibu. iran anasema yeye ameshapiga na hapigi tena, hahaha, ati anaogopa anajitetea kuwa ameshamaliza kazi hivyo hatarusha tena ila israel wakimpiga atatumia vichwa vya nukes. cha ajabu, israel ina makombora ya nukes kati ya 100 hadi 200, iran hana hata moja ila nukes aliyeenrich wanasema anaweza kutengeneza mabom 3 tu ya nukes. mtu anayetarajiwa kutengeneza bomb anamtishia mtu ambaye tayari anayo. tuombe tu Mungu vita iishe, though haipendezi kuisha wakati iran ambaye ni threat kwa kila mtu, amesimama. anatakiwa kudondoshwa ili dunia ikae salama.