Usijali mama anaupiga mwingi, DP world itatuvusha.Sisi zana zetu zitatumia siku ngapi kufika huko?
Kumbuka kwenye vituo vya mafuta harufu ya kukosekana mafuta imesha anza kunukia.
kutrade ni kubet kama una hela ndogoSijawahi beti hata siku moja na sitegemei, Kuna kipindi nlijifunza mambo ya web3 na idea nayo kiasi flan
Acha kuhalalisha upumbavu jengo la ubalozi halitakiwi kushambuliwa kwa namna yeyote ile.Mfano wako hauna uhalisia na kile kinachoendelea Mashariki ya Kati.
Mfano wako ulipaswa kuwa hivi:
Endapo Tanzania ingekuwa inaratibu mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Congo [Brazzaville], halafu Tanzania ipeleke wanajeshi kwa mshirika wake D.R.C. ili wakafanye kikao kwenye ubalozi hapo Kinshasa karibu na mpaka wa Congo [Brazzaville] inayoshambuliwa mara kwa mara, unafikiri Congo [Brazzaville] ingechukua hatua gani?
Haya uliza tena.
Je, kupaa na kutua kwa ndege vita kwenye airbase sio "shughuli za ndege vita"?Kazi kuu ya airbase ni kwaajili ya shughuli za ndege vita.
Ni zipi infrastructure za airbase!?
Israel kasema far less minor damage occurred unajua maana yake, acha unyoko
Ni shughuli moja wapo ila hazijakamilika.Je, kupaa na kutua kwa ndege vita kwenye airbase sio "shughuli za ndege vita"?
Miundombinu za airbase zipo nyingi. Inategemea na mahitaji ya jeshi husika. Muhimu zaidi ni runways pamoja na kituo cha mawasiliano na uongozaji.
Picha za satellite zimeshaanza kutoka. Hiyo airbase ya Israel haijapata madhara yoyote ya kuifanya isiwe operational.
Diplomasia ni hadhi na sio jengo. Jengo la ubalozi linaweza kupoteza hadhi ya kidiplomasia endapo litatumika kijeshi wakati wa migogoro ya kijeshi ama vita. Hiyo ni kulingana na sheria ya kimataifa.Acha kuhalalisha upumbavu jengo la ubalozi halitakiwi kushambuliwa kwa namna yeyote ile.
Hata kama kuna mtu hatari kwa usalama wa nchi anatafutwa akikimbilia kwenye ubalozi wa nchi fulani huruhusiwi kumkamata mpaka uwasiliane na taifa husika lenye huo ubalozi, sembuse ubalozi ambao upo nje ya nchi yako?
Kwa akili yako unadhani Iran haiwezi kushambulia balozi za Israel zilizoko kwenye mataifa mbalimbali ?
Hilo ndio kosa kubwa alilo lifanya Israel, kushambulia Ubalozi wa Iran nchini Damascus ni sawa na kuishambulia nchi hiyo.Acha kuhalalisha upumbavu jengo la ubalozi halitakiwi kushambuliwa kwa namna yeyote ile.
Hata kama kuna mtu hatari kwa usalama wa nchi anatafutwa akikimbilia kwenye ubalozi wa nchi fulani huruhusiwi kumkamata mpaka uwasiliane na taifa husika lenye huo ubalozi, sembuse ubalozi ambao upo nje ya nchi yako?
Kwa akili yako unadhani Iran haiwezi kushambulia balozi za Israel zilizoko kwenye mataifa mbalimbali ?
Hivyo vyote ulivyovitaja havijadhurika. Madhara ni kidogo sana eneo la wazi kwenye moja ya runways.Ni shughuli moja wapo ila hazijakamilika.
-Kituo cha mawasiliano.
-Ghala la silaha.
-Parking ya ndege na drones.
N.k n.k je imethibitika kuwa hivi vyote vizima!??
Iran inapoitumia Hezbollah na makundi mengine kuishambulia Israel, huko sio kuanzisha vita na Israel?Hilo ndio kosa kubwa alilo lifanya Israel, kushambulia Ubalozi wa Iran nchini Damascus ni sawa na kuishambulia nchi hiyo.
hivyo israel ndio iliyo anzisha vita na Iran hivyo kwa mujibu wa sheria za Kimataifa Iran ina haki ya kujibu mashambulizi.
usimtaje urusi, anayesumbuliwa hadi na nchi kama ukrane kweli ndio umtaje?hakuna mwisho wa uajemi! israel mpaka atarudi mezani na yeye! kumbuka urusi yupo nyuma ya Iran
hilo halina ushahidi wa moja kwa moja....ilaIran inapoitumia Hezbollah na makundi mengine kuishambulia Israel, huko sio kuanzisha vita na Israel?
Uthibitisho uko wapi?Hivyo vyote ulivyovitaja havijadhurika. Madhara ni kidogo sana eneo la wazi kwenye moja ya runways.
Kiufupi, hakuna madhara yoyote ya maana ukilinganisha na jinsi ambavyo Iran ilipania kuishambulia hii airbase.
Kumbuka Urusi anapambana na NATO ambayo inamsaidia Ukraine.usimtaje urusi, anayesumbuliwa hadi na nchi kama ukrane kweli ndio umtaje?
Drone gani zinatembea masaa kumi!?Waongo huwezi tuma drone zinazotumia masaa 9 hadi 10 ukasema eti hyo ni mashambulizi.
Vita gani inapiganwa hivyo?
Yani kwa ulinzi uliopo Israrl unatuma drones, hao wanatafuta covarage ya habari na kudanganya,wananchi wao.
Au nao wanaupiga mwingi ksma sisi, sikutegemea kwa Iran kutuma drone Israel.
Uwezo wako wa kutambua mambo ndo umeishia hapa???ninachoshangaa, mashambulizi ya makombora karibia 300 lakini Israel haijaumia wala nini. biden amesema netanyahu asijibu, ila bibi kasema ndani ya masaa 48 anajibu. iran anasema yeye ameshapiga na hapigi tena, hahaha, ati anaogopa anajitetea kuwa ameshamaliza kazi hivyo hatarusha tena ila israel wakimpiga atatumia vichwa vya nukes. cha ajabu, israel ina makombora ya nukes kati ya 100 hadi 200, iran hana hata moja ila nukes aliyeenrich wanasema anaweza kutengeneza mabom 3 tu ya nukes. mtu anayetarajiwa kutengeneza bomb anamtishia mtu ambaye tayari anayo. tuombe tu Mungu vita iishe, though haipendezi kuisha wakati iran ambaye ni threat kwa kila mtu, amesimama. anatakiwa kudondoshwa ili dunia ikae salama.