Kuna jambo ambalo hamjui historia ya israel tokea mfalme saul mpaka sedekia haijawah kuwa nchi ya aman ni nchi inayopigana vita mda mwingi sana

Swala la israel kupigana vita halijaanza leo ni la historia
Kama baada ya miaka takriban 2,000 wayahudi wamerudi kwenye nchi yao baada ya kutawanywa dunian hiyo inatosha kuonyesha hao si watu wa mchezo mchezo.
 
Muda ukifika wa USA kuingilia moja kwa moja utayajua. Akiingilia kimya kimya pia utayajua. Kuwa na subira!
Pray for Iran!? 😂😂😂😂
Pray for the WORLD!
Hawezi kuingia moja kwa moja, lazma ajifiche kwenye migomba ndio ashambulie Iran😂
 
"Israel will suffer much"........ Maneno ya unabii....
Ndiyo mwanzo wa waarabu Kuamka na kuungana.
 
Unahakika gani yote yamefika nawakati mpaka sahivi ardhi ya israel haijafikiwa na hizo drone mpaka sahivi

..yaliyofika na ambayo hayakufika yote yana faida kwa Iran.

..Na yaliyofika na kudunguliwa ni faida kwa Israel.

..kila upande umejua strength na weakness zao na za maadui zao.
 
kwa akili yako kisoda hujui kama madege yale ya maraisi yana sehemu za kufanyia press conference netanyahu ameenda marekaani kubembeleza msaada acha uboyaa unaadhaani shambulio la iran ni sawa na hamasi
watu kama nyinyi ndo mlikuwa mnasema kila maiti muionayo imeuliwa na Jiwe , watu mnapenda kuropoka bila ushaidi , hata Netanyau hujawai kumuona ila upo hawa kumsimulia kama mnaishi nyumba moja
 
Wacha weeeeh!
Russia atakuwa anamuangalia tu USA kipindi anafanya hiki unachokisema?
kule Ukraine atamwachia nan ? Russia aliamua kuwadivert West kwa kuwaletea mgogoro wa Israel na wao wameamua kumdivert kumletea hili la Iran , achague kufa na ukraine au syria au iran au afrika maana anasema alijipanga na vita
 
kwahio sahizi Israel ni Proxy wa USA😂
 
hakuna mwisho wa uajemi! israel mpaka atarudi mezani na yeye! kumbuka urusi yupo nyuma ya Iran
 
Ila kwa kweli bila Marekani, Israel hamna kitu kabisa. Ubabe wao wote ni kwa sababu wanajua Marekani itawapiga tafu.
ttzo huwa mnasahau kuwa Israel anapigana na zaid ya mataifa 5 ila mnataka Israel apigane pekee yake , hapo unasiki yupo Yemen + Iran + Gaza + Lebanon + Iraq
 
Umesahsu palestina, Gaza na Hourth wanaishambulia Israel .

Wangekuja na wao mmoja mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…