Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv,Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Vita si mpira wa miguu kwamba ukipigwa upande wako nawe unarudisha upande wa mpinzani, yumkini hata mpira wenyewe kuna wakati unaweza kuurudisha kwa golikipa ili mpange mashambulizi upya. HIvo mpaka hapa sijaona kuufyata
 
Let me say this.This scenario is exactly what the Evil Khazarian Tribe,their proxies and morons in the collective West have been waiting for.Now that it has happened exactly how they have planned it,let us now wait for the chain of events leading to the total enslavement and domination of humanity.

In the chain of events,billions of souls will perish paving the way for the NWO,where only 500 million zombies will be allowed to remain.It is anticipated that by 2030, that will have been achieved,so from now on,the Great Reset accompanied by the Great Slaughter,will happen.

Niseme hivi,that is their plan,but God can change their plan.However,because of the evil of the human race,it seems God has agreed to their plan and Revelation 6,9,13,14 &16 shows that, that will indeed happen.I believe God won't tolerate any longer,humanity has become just too evil.

Nabii Isaya anaiweka hali ya Dunia na ghadhabu ya Mungu inayoijia Dunia vizuri sana,anasema hivi,

Isaya 24:3-6;17;19-20
3 Dunia hii itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; maana Bwana amenena neno hilo.
4 Dunia inaomboleza, inazimia; ulimwengu unadhoofika, unazimia; watu wakuu wa dunia wanadhoofika
5 Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa; kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele.
6 Ndiyo sababu laana imeila dunia hii, na hao wanaoikaa wameonekana kuwa na hatia, ndiyo sababu watu wanaoikaa dunia wameteketea, watu waliosalia wakawa wachache tu.
17 Hofu, na shimo, na mtego, vi juu yako, Ee mwenye kukaa duniani.
19 Dunia kuvunjika, inavunjika sana; dunia kupasuka, imepasuka sana; dunia kutikisika, imetikisika sana.
20 Dunia inalewa-lewa kama mlevi, nayo inawaya-waya kama machela; na mzigo wa dhambi zake utailemea; nayo itaanguka, wala haitainuka tena.

Katika Warumi 1:18 tunasoma hivi,
18 Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.

To me I think God has finally decided to destroy the World and it's inhabitants,there doesn't seem to be a second chance.
 
Ujasiri wa kurusha makombora hewa!! Wangetuma wanajeshi tuone huo ujasiri! Hatushabikii vita ila hawa waarabu na waajemi waliokuzwa ktk imani ya chuki ya kidini dhidi ya wanaowaita makafiri wanadekezwa sana na wayahudi na wazungu, dawa yao ingekuwa kuwajibu wanachokifanya kutofuata sheria za kivita ndiyo wataacha ujinga wa kubagua dini za wenzao na kuwaona wenye imani tofauti hawapaswi kuishi duniani au wakiishi wawe watumwa wao tu.
Wanajeshi wa miguu ndio kifo kwa Israel
Kule Gaza wanakimbia na kurudi.Fikiria siku Iran ikiamua kuwashusha askari wake kutoka milima ya Golan wapi IDF watakimbilia.
Kaskazini kuna Hizbullah,kusini ni Houth na magharibi Hamas wanawasubiri.
 

View: https://youtu.be/fILEjXQHOps?si=Vh2-8qKkPm1Cmdma


No damage at all in Israel, haya Al Jazeera hiyo hapo maana ndio source wanaamini na kutegemea sana

Hii nimerikodi sasa hivi Aljazeera.
Tizama hapo utaona mlango ulioungua katika hiyo video itizame kwa umakini.
Na ionekanavyo taarifa za uharibifu Israel wanaficha.
Kama walivyoficha za kambi ya Galilee North Israel.
 
LIVE UPDATES; MBASHARA SHAMBULIZI LA IRAN DHIDI YA ISRAEL

UN yaitisha kikao cha dharula cha Baraza la Usalama
Iran yaanza kufunga viwanja vya ndege

Asilimia 99 ya makombora drones & ballistic missiles yaliyorushwa na Iran kuelekea Israel yatunguliwa yakiwa angani

Anga la Israel yafunguliwa masaa 7 baada ya kufungwa


Biden amaliza kikao na kutoa ujumbe huo: " I just met with my national security team for an update on Iran’s attacks against Israel. Our commitment to Israel’s security against threats from Iran and its proxies is ironclad."


IDF kuanza kujibu shambulizi la Iran muda wowote kuanzia sasa

Marakani yaingia rasmi kwenye vita

Makombora drones zaidi ya 100 za Iran zalipuliwa zikiwa angani kabla ya kuingia anga la Israel


Jeshi la Syria lajiweka katika hali ya juu ya tahadhari

Israel yaishambuliwa kila kona
WaHouthi waishambulia kwa drones kutokea Yemen

Magaidi wa Hezbollah waishambulia kutokea Lebanon


Iran yasema itaishambulia nchi yeyote itakayoruhusu anga lake kutumiwa na Israel

Rais Biden aitisha kikao cha dharula muda huu na washauri wake wa Usalama

Makombora yaliyorushwa kuelekea Israel yafikia 500

Rais Joe Biden asema watailinda na kuiunga mkono Israel



Waziri Mkuu Benjamin Netanyau aongoza Kikao cha dharula cha Baraza la mawaziri kwenye kambi ya kijeshi ya Kirya iliyopo Tel Aviv

Uingereza yalaani shambulizi la Iran

Lebanon yafunga anga lake usiku huu

Anga ya Israel kufungwa kuanzia saa 6:30 usiku kwa saa za Afrika mashariki

Israel yasema jumla ya mashambulizi ya drones 100 yamerushwa na Iran kuelekea Israel

Iran yafanya shambulizi cyberattack kwenye mfumo ulinzi wa IDF

Iran yathibitisha kuishambulia Israel

Jeshi la Israel ( IDF) limeanza kutungua drones zilizoingia kwenye anga ya Jordan na Syria

Msemaji wa IDF Jenerali Daniel Hagari amethibitisha nchi yake kushambuliwa na iran

Itachukua takribani masaa 9 makombora hayo ( drones) kuifikia Israel

Tayari makombora drones hayo yameshaingia kwenye anga ya Iraq

Mfumo wa GPS "wavurugwa" kuiwezesha Israel kuyanasa au kuyatungua makombora hayo

Ving'ora vya tahadhari vitapigwa mara TU makombora hayo yatakapoingia anga la Israel


Wadau hamjamboni nyote?

Hatimaye Serikali ya Iran imeamua kulipiza kisasi Kwa Israel kwa kuanza kurusha makombora ambayo yapo njiani na yanayorajiwa kuchukua masaa kadhaa kabla ya kutua nchini humo

Taarifa kamili hapo chini

Times of Israel


Report: Iran begins attack on Israel, launching dozens of drones that’ll take hours to arrive​

Today, 10:48 pm
Illustrative: Iranians attend the funeral procession for seven Islamic Revolutionary Guard Corps members killed in a strike in Syria, which Iran blamed on Israel, in Tehran on April 5, 2024. (Atta Kenare/AFP)

Summary​

  1. Iran has launched dozens of drones and missiles at Israel in a retaliatory attack
  2. Israel has said the attack could take some hours to arrive, while Prime Minister Benjamin Netanyahu said the country is "ready for any scenario"
  3. Iran had warned that Israel would be "punished" for a strike on its consulate in Syria on 1 April
  4. Seven Revolutionary Guards, including two generals, and six Syrians were killed in the Damascus attack
  5. Israel has acknowledged carrying out hundreds of strikes in recent years on targets in Syria that it says are linked to Iran but has not claimed the Damascus strike
  6. President Biden has promised what he called "ironclad" support for Israel, saying the US will "do all we can to protect Israel's security"
  7. Iran had avoided direct confrontation with Israel during the Israel-Hamas conflict, but the Damascus attack was seen as a serious escalation
Mungu ibariki Israel


.


Chief chanzo cha habari bila shaka kitakuwa kutoka western media maana zote zina uelekeo wa kiupendeleao kwa israel
 
Jamani mnatakiwa mjue USA haingiagi vitani peke yake bila NATO.Sasa huu mziki wa huko middle East sio mdogo..Iran anatakiwa aangalie sana huu mchezo unaendaje. Mtu ambae NATO wanamhofia ni Lidude Urusi peke yake.😕
 
Hata Iran amepeleka rasharasha tu amesema Isreal ikijibu tu basi atapeleka full dose wainywe vizuri.

Isreal hana ubavu wa kupigana uso kwa uso na Iran huwa anategemea support ya mabwawa zake USA na UK.
Hata Iran kashambulia kwa kushirikiana na nchi nyingine, Iran ni overrated. Iran alipaswa kujibu lile shambulio la Israel ila je, kwa hili Israel atakaa kimya? sidhani, tusubiri tuone.
 
Israel walikifanya ni kama Hamas walichofanya kwao ni vita ya kipuuzi wameianzisha Netanyahu atajutia kuanzisha vita huku akiwa na vita ingine...
 
Walisema Iran Hana Uwezo wakujibu
Saizi Wanaleta Ngonjera Za Kutunguliwa Makombora mara Mwisho wa Iran umefika!!!
Iran Sio Hamas
Ukipiga nawe Utapigwa kweli kweli
ila waislam kuna namna akili mliziacha tumboni , huwa mnaanglia nyuma na sio mbele , baadae mnaanza kulia wanaua watoto mara wanaua bibi zetu wakati rocket zenu zaid ya 100 mmeziona hapo , bila uwezo wa Israel bas zingua raia wengi sana
 
Hahahaaa acha kudanganya umma hakuna mahali hata kidogo Israel amesema atalopiza kisasi wameingiwa uoga na hofu kuona makombora yametua kwenye target licha ya kuanza kudunguliwa Jordan.

Marekani amesema hawezi kujihusisha na kulipa kisasi kwa Iran badala yake atatumia Diplomasia kutatua mzozo huu.

Tupo tunafuatilia Al Jazeera, CNN ,BBC na vyombo vingine vya habari hakuna kauli ya kulipa kisasi aliyoitoa Mzayuni.

Iran amesema hii ni rasharasha anasubiri Mazayuni wajibu mapigo halafu sasa Muajemi ashushe moto kamili.


Sikiliza vizuri au wewe kiziwi au hujui lugha ya Malkia, hiyo Al Jazeera ni yako ya Buza


View: https://youtu.be/fILEjXQHOps?si=Vh2-8qKkPm1Cmdma
 
Hii nimerikodi sasa hivi Aljazeera.
Tizama hapo utaona mlango ulioungua katika hiyo video itizame kwa umakini.
Na ionekanavyo taarifa za uharibifu Israel wanaficha.
Kama walivyoficha za kambi ya Galilee North Israel.
View attachment 2963061

Israel kasema far less minor damage occurred unajua maana yake, acha unyoko
 
Back
Top Bottom