ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mshindi ni Iran, ndio maana kutwa US na Israel wanaangaika lakini wapi, leo hii Russian anapata msaada wa silaha muhimu kutoka Iran, hapa ndio unatakiwa ufahamu kuwa Iran sio ZimbabweSawa pambana nao sasa tuone nani atakua mshindi.
#MaendeleoHayanaChama