Iran yaishiwa, yasitisha kufadhili magaidi wa kiislamu

Iran yaishiwa, yasitisha kufadhili magaidi wa kiislamu

Anayehangaika ni huyo Urusi, jeshi lake limefyekwa na kataifa kadogo hadi ameishia kufuata wafungwa kwenye jela.
NATO kila siku vikao kuhusu Urusi, wamepeleka silaha mpaka zinaisha, Ukraine wamechanganyikiwa mpaka WC wanataka wazungumze, sema FIFA kawapiga stop, sasa nani anaangaika? Vikwazo mlivyo muwekea Urusi vinafika hata elfu 3000, Urusi ni mwamba sanaaa
 
NATO kila siku vikao kuhusu Urusi, wamepeleka silaha mpaka zinaisha, Ukraine wamechanganyikiwa mpaka WC wanataka wazungumze, sema FIFA kawapiga stop, sasa nani anaangaika? Vikwazo mlivyo muwekea Urusi vinafika hata elfu 3000, Urusi ni mwamba sanaaa

Silaha chache walizopeleka zimemliza Urusi.
Mrusi kaishiwa pumzi kisa HIMARS, kuna madubwana zaidi ya himars hayajapelekwa.
 
Silaha chache walizopeleka zimemliza Urusi.
Mrusi kaishiwa pumzi kisa HIMARS, kuna madubwana zaidi ya himars hayajapelekwa.
Silaha chache wakati wenyewe wanasema zinakwisha kwenye maghala yao!! sasa hivi Ukraine ameomba silaha hata wenyewe ulaya kwa ujumla wao hawana, huyu ndio Putin anapiga Ulaya na US kwenye viwanja vya Ukraine
 
Silaha chache wakati wenyewe wanasema zinakwisha kwenye maghala yao!! sasa hivi Ukraine ameomba silaha hata wenyewe ulaya kwa ujumla wao hawana, huyu ndio Putin anapiga Ulaya na US kwenye viwanja vya Ukraine
Yote Tisa ,kumi ushindi mkubwa kwa Ukraine ni kuigeuza operation ya saa 72 kuwa vita ya muda mrefu.., mpaka Sasa Putin haamini anachokiona.., alifikiri mikwara yake itamsaidia lakini ndio kwanza wanaume wanazidi kumdindishia,

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Yote Tisa ,kumi ushindi mkubwa kwa Ukraine ni kuigeuza operation ya saa 72 kuwa vita ya muda mrefu.., mpaka Sasa Putin haamini anachokiona.., alifikiri mikwara yake itamsaidia lakini ndio kwanza wanaume wanazidi kumdindishia,

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Putin anakwenda kumaliza maghala ya silaha kule Ulaya, Putin ni kidume ulaya yote na US wameweka vikwazo, cha ajabu ulaya ndio wanaandamana maisha magumu 😂😂😂😂
 
Urusi ni mwanaume kweli kweli, maghala ya silaha ulaya yanaisha huko, watu wanaandamana Ulaya gharama za maisha sababu ni huyu huyu Urusi, kiufupi Urusi anapambana na US na ulaya yote, unataka aguse nchi gani wakati wote wanapatikana uwanja wa kivita Ukraine
Kama maghala ya silaha ulaya yaisha basi russia itakuwa yanakauka.
 
Aliwapiga waarabu wenye dini yao, ila waajemi alishawapiga kwenye vita vya baridi vya kila aina, na pia alishasema siku Iran ikitangaza ina nyuklia, ataipiga.....kainchi kadogo ila kababaisha mataifa yote uarabuni.
Na bado ataendelea kuwachapa.
 
Kama maghala ya silaha ulaya yaisha basi russia itakuwa yanakauka.
Wamesema wenyewe hali ni mbaya, silaha zote zinakwenda Ukraine , cha ajabu vikwazo kapigwa Urusi halafu maisha magumu na maandamano yako Ulaya
 
Silaha chache wakati wenyewe wanasema zinakwisha kwenye maghala yao!! sasa hivi Ukraine ameomba silaha hata wenyewe ulaya kwa ujumla wao hawana, huyu ndio Putin anapiga Ulaya na US kwenye viwanja vya Ukraine

HIMARS ndio kifaa kilichowamaliza Warusi mpaka ameenda kufuata wapiganaji gerezani na mitaani, ukizingatia kuna silaha nyingine zaidi ya hiyo HIMARS, naishia kumhurumia Mrusi.
 
HIMARS ndio kifaa kilichowamaliza Warusi mpaka ameenda kufuata wapiganaji gerezani na mitaani, ukizingatia kuna silaha nyingine zaidi ya hiyo HIMARS, naishia kumhurumia Mrusi.
Himars vip wakati mpaka sasa maghala yana kwisha, halafu juzi Zelensky ameomba silaha ambazo hata ulaya wakiungana hawana, hii ndio kuchanganyikiwa
 
Himars vip wakati mpaka sasa maghala yana kwisha, halafu juzi Zelensky ameomba silaha ambazo hata ulaya wakiungana hawana, hii ndio kuchanganyikiwa

Halafu zilizotumwa ni chache tu na mpaka sasa Mrusi hajawahi kupiga HIMARS hata moja......hehehehe
 
Halafu zilizotumwa ni chache tu na mpaka sasa Mrusi hajawahi kupiga HIMARS hata moja......hehehehe
Chache maana yake nini wakati wenyewe wanakwambia wameyumba😂😂😂, watu wanandamana maisha magumu ulaya huko pesa inakwenda Ukraine
 
Chache maana yake nini wakati wenyewe wanakwambia wameyumba😂😂😂, watu wanandamana maisha magumu ulaya huko pesa inakwenda Ukraine

Marekani akiongeza HIMARS hata kumi tu, ngoma inaisha, maana hizo chache zimemlemaza Mrusi, alishindwa kupiga hata moja, na sasa anahangaika kuomba misaada Iran na hata kwa wafungwa.
 
Marekani akiongeza HIMARS hata kumi tu, ngoma inaisha, maana hizo chache zimemlemaza Mrusi, alishindwa kupiga hata moja, na sasa anahangaika kuomba misaada Iran na hata kwa wafungwa.
Himars wakati wenzako wana hali mbaya😂😂😂😂
 

Attachments

  • BEB7C695-EB4E-4980-B8A7-9DE08F25FE4A.png
    BEB7C695-EB4E-4980-B8A7-9DE08F25FE4A.png
    242.3 KB · Views: 2
Himars wakati wenzako wana hali mbaya😂😂😂😂

Mpaka kuna wimbo umetungwa kwa ajili ya HIMARS, hebu subiri nikutafutie, huwa nshangaa kwanini Mrusi hakua anazijua mpaka zimtese kihivi, ameishiwa na wanajeshi hadi anafuata wanywa gongo.
 
Mpaka kuna wimbo umetungwa kwa ajili ya HIMARS, hebu subiri nikutafutie, huwa nshangaa kwanini Mrusi hakua anazijua mpaka zimtese kihivi, ameishiwa na wanajeshi hadi anafuata wanywa gongo.
Wewe endelea kujizima data baada ya US sasa hawa hapa EU
 

Attachments

  • 571470EB-33A1-410B-B28D-CA2EB4BB6E0F.png
    571470EB-33A1-410B-B28D-CA2EB4BB6E0F.png
    235.8 KB · Views: 1
Wewe endelea kujizima data baada ya US sasa hawa hapa EU

Kwa kweli Mrusi angesumbua kama ingetegemewa silaha za kawaida, alianza kwa jeuri sana, ila HIMARS zimefyeka wanajeshi wake wote, ameishia kufuata wanywa gongo....takbir akbar akbar
 
Kwa kweli Mrusi angesumbua kama ingetegemewa silaha za kawaida, alianza kwa jeuri sana, ila HIMARS zimefyeka wanajeshi wake wote, ameishia kufuata wanywa gongo....takbir akbar akbar
Ulaya wanahaha, US anahaha, unafikiri Urusi ni Zimbabwe, cha kufurahisha vikwazo kawekewa Urusi maandamano ya njaa kali yapo UK
 
Ulaya wanahaha, US anahaha, unafikiri Urusi ni Zimbabwe, cha kufurahisha vikwazo kawekewa Urusi maandamano ya njaa kali yapo UK

Urusi ameishiwa mpaka analazimika kufanya usaili jeshini kwa kufuata wanywa gongo na wafungwa, jeshi late limefyekwa lote, yote hiyo kwa kazi ya HIMARS chache tu, kuna madubwana zaidi ya HIMARS hayajapelekwa.
 
Urusi ameishiwa mpaka analazimika kufanya usaili jeshini kwa kufuata wanywa gongo na wafungwa, jeshi late limefyekwa lote, yote hiyo kwa kazi ya HIMARS chache tu, kuna madubwana zaidi ya HIMARS hayajapelekwa.
Pole sana HIMARS hazina kazi kwasasa, Ukraine ameomba silaha ambazo hata EU wenyewe hawana kwa wingi wake, sasa sijui watazitoa wapi?UK watu wanataka mishahara iongezeke wanaambiwa wakulaumiwa ni Putin , serikali haina pesa zinakwenda Ukraine, huyu sasa ndio Urusi ametikisa Ulaya na US kwa ujumla wao
 
Back
Top Bottom