Iran Yajiandaa na Operation True Promise 3 kutekelezwa kabla ya Tarehe 5 November. Vyombo vya habari Nchini Israel vimeripoti

Iran Yajiandaa na Operation True Promise 3 kutekelezwa kabla ya Tarehe 5 November. Vyombo vya habari Nchini Israel vimeripoti

Acha wanyukane tuone ni yupi mbabe...
 
Israel wanachobugi kwa Iran ni kumheshimu Ayatollah.

Wangelimuweka kwenye orodha kama walivyomfanya Nasrallah ili ahamishiwe shimoni akafichwe humo na baadaye wamuue.

Bila ya kumuua Ayatollah, malipizi ya show off yataendelea.
Na ukimuua Ayatollah utaamsha vita ya jihad ya kishia hapo mashariki ya kati.
Hiyo Israel itavamiwa hutoamini.
Usicheze na kiongozi wa shia hata mara moja.
 
Mbona nasikia wanataka kurushia makombora katika ardhi ya Iraq ili wasionekane ni wao.. maana Nyumba yao ni ya Kioo kisije kikapasuka
Iran Hana uoga wa kitoto kiasi kiasi hicho. Kwani akirushia Iraq Israel na marekani wao ni wajinga kiasi gani wasijuwe aliyerusha ni Iran?
 
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa

makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake kuelekea magharibi mwa Iran kwaajili ya maandalizi ya kujibu mashambulio dhidi ya Israeli.

Itakumbukwa tangu majibizano baina ya Israel na Iran kuanza baada ya kifo cha Ismail Haniye Iran imekuwa ikitekeleza Operation True Promise 1, ikaja Operation True Promise 2 na sasa unakuja Operation True Promise 3 ambayo inatajwa kuwa itakua kubwa kuliko zote zilizopita na itatekelezwa kabla ya Tarehe 5.

Binafsi nadhani kuanzia kesho usiku mpaka jumamosi tutaona moto ukiwaka TelAviv na maeneo mengine.
View attachment 3140014View attachment 3140015
Mashujaa wa irani wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.
 
Tatizo la stori za kuokoteza vijiweni hizi.

Poland ama nchi za ulaya unazifungamanishaje na uhalisia wa raia wa Israel.

Nakubaliana kuwa walilazimishwa kwenda uhamishoni na kuziishi hizo nchi, lakini wayahudi wanatunza dini, tamaduni na koo zao.

Ndiyo maana pote walipoenda bila kujali miaka waliyoishi huko, utambulisho wao uliendelea kuwepo hadi walipotangaziwa kurudi nchini kwao.
Nchini kwao wapi wewe kabla ya mwaka 48 hakukua na nchi ilokua yaitwa israhell
 
Mkuu kwani Nasralallah wadhani ulinzi wake ulikuwa wa kitoto?

Wakimtaka hawaendi kimakamenguvu, wanachinja kwa teknolojia kama ambavyo walimuua Rais wao Raisi.

Na uzuri hata Iran mwenyewe alishakiri kuwa kuna utitiri wa informers na mamluki wa kutosha nchini mwake na ndani ya jeshi wanaomfanyia kazi Israel, hivyo kumuua Ayatollah hawashindwi hata wakitaka leo, ila ni mipango tu hawajapanga.
Mkiambiwa kama hamuna akili hua mwakasirika ila ndio ukweli wenyewe ulivyo ukiulizwa rais wa Iran aliuliwa kwa nini huna hoja wewe mzayuni wa jf tulia tuuuu


🇮🇱❌🇮🇷 — Shin Bet announces the dismantling of a new Iranian spy network inside Israel consisting of two Israelis living in Lod, one of them was spying on an atomic scientist.
 
Mbona nasikia wanataka kurushia makombora katika ardhi ya Iraq ili wasionekane ni wao.. maana Nyumba yao ni ya Kioo kisije kikapasuka
Kama ambavyo zayuni karushia videge vyake tokea Iraq
 
Sasa wakibamizwa ngumu ya uso wakazimishwa mazima, itakuwaje? Kujiamini mno nako ni majanga tupu.
Hizi ni mbinu tu za kivita. Unamsubiri mtu akupige kwa nguvu ili upate sababu ya kutumia nguvu zaidi. Sasa hivi wakienda full force wataambiwa wamezidisha nguvu, ila retaliation inawapa mwavuli wa kutumia nguvu zaidi bila lawama kutoka kwa jumuiya ya kimataifa.
 
Mashujaa wa irani wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.
Ona huyu anavyoropoka!
Hivi unajua kuwa makamanda wa Iran wapo Lebanon wakiisaidia Hizbollah dhidi ya Israel!??
 
Back
Top Bottom