Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Sasa wakibamizwa ngumu ya uso wakazimishwa mazima, itakuwaje? Kujiamini mno nako ni majanga tupu.Israel will probably wait for a retaliation. A reason to strike harder—full force.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wakibamizwa ngumu ya uso wakazimishwa mazima, itakuwaje? Kujiamini mno nako ni majanga tupu.Israel will probably wait for a retaliation. A reason to strike harder—full force.
Hawan huo uwezo, angalia tu lile shambulio walilojiandaa kwa muda mrefu wakisaidiwa na wafadhiri wao lilivyofeliHivi israel haiwezi kuyalipua kabla hawajayafyatua? Au intelijensia haifiki mahali yalipo hayo makombora?
Na ukimuua Ayatollah utaamsha vita ya jihad ya kishia hapo mashariki ya kati.Israel wanachobugi kwa Iran ni kumheshimu Ayatollah.
Wangelimuweka kwenye orodha kama walivyomfanya Nasrallah ili ahamishiwe shimoni akafichwe humo na baadaye wamuue.
Bila ya kumuua Ayatollah, malipizi ya show off yataendelea.
Hakuna ndege yeyote ya Marekani iliyoingia katika anga la Iran.Ziliingia zaidi ya 100 zikapiga na kutoka, vile viantena vyenu sojuzie mnaita 300 vilichomwa vyote , sasa mko uchi lianzisheni tena muone
Iran Hana uoga wa kitoto kiasi kiasi hicho. Kwani akirushia Iraq Israel na marekani wao ni wajinga kiasi gani wasijuwe aliyerusha ni Iran?Mbona nasikia wanataka kurushia makombora katika ardhi ya Iraq ili wasionekane ni wao.. maana Nyumba yao ni ya Kioo kisije kikapasuka
Hayo maneno yako ni marudio...Huwo ndio utakuwa mwisho wa Iran na Russian 😢
Mwisho? Russia Wakirusha nuclear itakuaje? Vita sio lelemama tuombee amani tuHuwo ndio utakuwa mwisho wa Iran na Russian 😢
Huwo ndio utakuwa mwisho wa Iran na Russian 😢
Hahahahahaha bila kusahau Mgogodo, Tukamisasa, Msinune. CHALINZE burudani saaanaNGOJA WAJE WAYAHUDI WA GEZA ULOLE,CHIMBA UNYE, KULA KWA JASHO, CHALINZE
Mashujaa wa irani wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa
makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake kuelekea magharibi mwa Iran kwaajili ya maandalizi ya kujibu mashambulio dhidi ya Israeli.
Itakumbukwa tangu majibizano baina ya Israel na Iran kuanza baada ya kifo cha Ismail Haniye Iran imekuwa ikitekeleza Operation True Promise 1, ikaja Operation True Promise 2 na sasa unakuja Operation True Promise 3 ambayo inatajwa kuwa itakua kubwa kuliko zote zilizopita na itatekelezwa kabla ya Tarehe 5.
Binafsi nadhani kuanzia kesho usiku mpaka jumamosi tutaona moto ukiwaka TelAviv na maeneo mengine.
View attachment 3140014View attachment 3140015
Unadhani kila mtu ni Wali wanazi kama weweUTARUDI WEWE KWA PIDIDY NA MUDI MKAPAKWE BABY JONSON ISRAEL BADO SANA
Nchini kwao wapi wewe kabla ya mwaka 48 hakukua na nchi ilokua yaitwa israhellTatizo la stori za kuokoteza vijiweni hizi.
Poland ama nchi za ulaya unazifungamanishaje na uhalisia wa raia wa Israel.
Nakubaliana kuwa walilazimishwa kwenda uhamishoni na kuziishi hizo nchi, lakini wayahudi wanatunza dini, tamaduni na koo zao.
Ndiyo maana pote walipoenda bila kujali miaka waliyoishi huko, utambulisho wao uliendelea kuwepo hadi walipotangaziwa kurudi nchini kwao.
Mkiambiwa kama hamuna akili hua mwakasirika ila ndio ukweli wenyewe ulivyo ukiulizwa rais wa Iran aliuliwa kwa nini huna hoja wewe mzayuni wa jf tulia tuuuuMkuu kwani Nasralallah wadhani ulinzi wake ulikuwa wa kitoto?
Wakimtaka hawaendi kimakamenguvu, wanachinja kwa teknolojia kama ambavyo walimuua Rais wao Raisi.
Na uzuri hata Iran mwenyewe alishakiri kuwa kuna utitiri wa informers na mamluki wa kutosha nchini mwake na ndani ya jeshi wanaomfanyia kazi Israel, hivyo kumuua Ayatollah hawashindwi hata wakitaka leo, ila ni mipango tu hawajapanga.
Kama ambavyo zayuni karushia videge vyake tokea IraqMbona nasikia wanataka kurushia makombora katika ardhi ya Iraq ili wasionekane ni wao.. maana Nyumba yao ni ya Kioo kisije kikapasuka
Hizi ni mbinu tu za kivita. Unamsubiri mtu akupige kwa nguvu ili upate sababu ya kutumia nguvu zaidi. Sasa hivi wakienda full force wataambiwa wamezidisha nguvu, ila retaliation inawapa mwavuli wa kutumia nguvu zaidi bila lawama kutoka kwa jumuiya ya kimataifa.Sasa wakibamizwa ngumu ya uso wakazimishwa mazima, itakuwaje? Kujiamini mno nako ni majanga tupu.
Ona huyu anavyoropoka!Mashujaa wa irani wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.
Wakiririgiswa mnatia huruma 😁😁😁Iran wanaume huwa haombi kibali kwa mtu sio hao Israel mpaa wapewe kibali kwa US au Nato na pia wasaidiwe.