Iran Yajiandaa na Operation True Promise 3 kutekelezwa kabla ya Tarehe 5 November. Vyombo vya habari Nchini Israel vimeripoti

Iran Yajiandaa na Operation True Promise 3 kutekelezwa kabla ya Tarehe 5 November. Vyombo vya habari Nchini Israel vimeripoti

Hivi israel haiwezi kuyalipua kabla hawajayafyatua? Au intelijensia haifiki mahali yalipo hayo makombora?
Kwanini wafanye hivyo wakatibwao ni hatari kwa sanyansi kwanini wafanye uoga ? Kwani mitambo yao ya iron dome imeshindwa ?
 
Wakiririgiswa mnatia huruma 😁😁😁
Sisi ndio tunamshangaa mbabe wenu anajificha chini ya mitaro ya kupitisha mavi, yote eti anamuogopa Iran. Huna habari wewe mtoto wake alikuwa aowe hii week, kamua ku cancel kwa kumuogopa Hezbullah 😄
 
Mkiambiwa kama hamuna akili hua mwakasirika ila ndio ukweli wenyewe ulivyo ukiulizwa rais wa Iran aliuliwa kwa nini huna hoja wewe mzayuni wa jf tulia tuuuu


🇮🇱❌🇮🇷 — Shin Bet announces the dismantling of a new Iranian spy network inside Israel consisting of two Israelis living in Lod, one of them was spying on an atomic scientist.
Kuna nyingine genge la udukuzi la Iran kuwadukua askari zaidi ya 30k wa israel
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-27-21-36-07-220.jpg
    Screenshot_2024-10-27-21-36-07-220.jpg
    464.9 KB · Views: 3
Kwanini wafanye hivyo wakatibwao ni hatari kwa sanyansi kwanini wafanye uoga ? Kwani mitambo yao ya iron dome imeshindwa ?
😂😂😂😂😂😂😂Iron dome kwani iliwahi kufanya kazi!?
Kama ingekua inafanya kazi North Israel wayahudi wasingekimbia.
 
😂😂😂😂😂😂😂Iron dome kwani iliwahi kufanya kazi!?
Kama ingekua inafanya kazi North Israel wayahudi wasingekimbia.
Si tuliambiwa Israel ni noma 🙄 sasa hivi tutasikia wanasema kwanini Israel isichimbe mashimo mengi ya kujificha
 
Katika historia, milki kadhaa zilijaribu kuangamiza au kutawala watu wa Israeli, na nyingi ya milki hizi hatimaye zilianguka au kuharibiwa. Hapa kuna mifano muhimu:

1. Milki ya Misri (Utawala wa Farao wakati wa Kutoka) – Farao alijaribu kuwatesa na kuwafanya Waisraeli kuwa watumwa. Licha ya juhudi zake, Misri ilipata mapigo na maafa, na Waisraeli walikombolewa. Misri ilibaki kuwa ufalme wenye nguvu lakini hatimaye ilipoteza umaarufu wake.

2. Milki ya Ashuru (Karne ya 8 KK) – Waashuru waliteka ufalme wa kaskazini wa Israeli mnamo 722 KK na kuwapeleka Waisraeli wengi uhamishoni. Hata hivyo, Milki ya Ashuru ilianguka baadaye mnamo 612 KK ilipotekwa na Wababeli na Wamedi.

3. Milki ya Babeli (Karne ya 6 KK) – Wababeli waliharibu Yerusalemu na Hekalu la Kwanza mnamo 586 KK, na kuwapeleka Waisraeli uhamishoni. Lakini Babeli yenyewe ilitekwa na Waajemi mnamo 539 KK.

4. Milki ya Uajemi (Njama ya Hamani wakati wa utawala wa Mfalme Xerxes) – Katika hadithi ya Esta, Hamani alipanga kuangamiza Wayahudi, lakini mipango yake ilishindikana. Milki ya Uajemi ilidumu kwa muda mrefu zaidi lakini hatimaye ilianguka mikononi mwa Alexander Mkuu mnamo 330 KK.

5. Milki ya Ugiriki (Milki ya Seleucid, Karne ya 2 KK) – Mtawala wa Seleucid, Antiochus IV Epiphanes, alijaribu kuwalazimisha Wayahudi kufuata tamaduni za Kigiriki, na alikufuru Hekalu la Pili. Hii ilisababisha Mapinduzi ya Maccabean. Milki ya Seleucid ilidhoofika na hatimaye ikachukuliwa na Milki ya Kirumi.

6. Milki ya Kirumi (Karne ya 1 BK) – Warumi waliharibu Hekalu la Pili mnamo 70 BK na walijaribu kufuta utambulisho wa Kiyahudi kwa ukandamizaji mkali. Hata hivyo, Milki ya Kirumi yenyewe ilianguka kwa karne nyingi, Milki ya Magharibi ikianguka mnamo 476 BK na ile ya Mashariki (Byzantine) mnamo 1453 BK.

7. Ujerumani ya Nazi (Karne ya 20) – Utawala wa Adolf Hitler ulilenga kuwaangamiza Wayahudi wakati wa Mauaji ya Holocaust. Ingawa Wayahudi milioni sita waliuawa, hatimaye Wanazi walishindwa katika Vita vya Pili vya Dunia, na taifa la Israeli liliundwa mnamo 1948.

8. Utawala wa Irani (Siku za Leo) – Hata leo, baadhi ya tawala za Irani zimeonyesha uhasama kuelekea Israeli, zikitishia kuiangamiza. Hata hivyo, kama milki zilizotangulia, idadi yao imehesabiwa, na muda wao ni mdogo, kwani Israeli inaendelea kusimama imara na kuendelea.

Mifano hii inaonyesha mada ya kudumu: wale wanaotaka kuangamiza Israeli au watu wake hatimaye wanakabiliwa na kuanguka au kuharibiwa, wakati Israeli inaendelea kudumu.
Well written 👍
 
Sisi ndio tunamshangaa mbabe wenu anajificha chini ya mitaro ya kupitisha mavi, yote eti anamuogopa Iran. Huna habari wewe mtoto wake alikuwa aowe hii week, kamua ku cancel kwa kumuogopa Hezbullah 😄
Anamuogopa afu kavamia nchi yake. Unajua maana ya kitendo cha kuingiza ndege iran ni uvamizi. Punguza upumbavu maana bora ingekua ujinga ila ww n mpumbavu
 
Anamuogopa afu kavamia nchi yake. Unajua maana ya kitendo cha kuingiza ndege iran ni uvamizi. Punguza upumbavu maana bora ingekua ujinga ila ww n mpumbavu
dogo ndege za Israel zilishia Iraq subutu ziguse Iran. Hivi wewe wa kata ipi hata watu wa tarafa wanajua israel alishia Iraq akarusha Missiles yeye na US. UK. FRANCE, ITALY
 
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa

makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake kuelekea magharibi mwa Iran kwaajili ya maandalizi ya kujibu mashambulio dhidi ya Israeli.

Itakumbukwa tangu majibizano baina ya Israel na Iran kuanza baada ya kifo cha Ismail Haniye Iran imekuwa ikitekeleza Operation True Promise 1, ikaja Operation True Promise 2 na sasa unakuja Operation True Promise 3 ambayo inatajwa kuwa itakua kubwa kuliko zote zilizopita na itatekelezwa kabla ya Tarehe 5.

Binafsi nadhani kuanzia kesho usiku mpaka jumamosi tutaona moto ukiwaka TelAviv na maeneo mengine.
View attachment 3140014View attachment 3140015

View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1852705645398556986
 
Hivi israel haiwezi kuyalipua kabla hawajayafyatua? Au intelijensia haifiki mahali yalipo hayo makombora?
Intelligence ni kwa wanamgambo tu .au unadhani ineligencia ni kama sala ya sacramental
 
Iran wanaume huwa haombi kibali kwa mtu sio hao Israel mpaa wapewe kibali kwa US au Nato na pia wasaidiwe.
Nadhani hi pia sio kweli; imeandikwa kimahaba zaidi kuliko facts. Mara zote Israel kashambulia Iran, USA alimuomba asifanye hivo but Mayahudi kichwa maji yakalipua.
 
Nadhani hi pia sio kweli; imeandikwa kimahaba zaidi kuliko facts. Mara zote Israel kashambulia Iran, USA alimuomba asifanye hivo but Mayahudi kichwa maji yakalipua.
Hivi wewe unamini hayo nikikuambia akili zako bado zakushikiwa unabisha. US anapiga yeye afu anakuambia hata Israel hakutushauri. US anakuambia hatumpi Israel silaha afu anapeleka silaha na askari.
 
Hivi wewe unamini hayo nikikuambia akili zako bado zakushikiwa unabisha. US anapiga yeye afu anakuambia hata Israel hakutushauri. US anakuambia hatumpi Israel silaha afu anapeleka silaha na askari.
Tuachane na ubishi kaka; ninazo facts za ninacho kisema. Ngoja niweke baadhi then sitarudia tena kuandika. Mwaka juzi jeshi la maji la USA la pale Iraq liliwaua makomandoo 7 wa Iran pale Syria, Iran iliahidi kulipiza kisasi, na kweli ndani ya siku 3, Iran ilirusha missiles na kuua pamoja na kujeruhi askari kadhaa wa USA, USA hakuwahi kujibu hadi leo. Enzi za Obama, USA waliwahi kutuma dron ya upelelezi katika anga la Iran, Iran waliondosha ile dron to the ground, again USA did nothing to Iran but tofauti na Israel, anaua apendavyo pale Iran tena hadi makao makuu ya nchi, kaua wataalamu wa nuclear, kaua makomandoo kadhaa wa Iran kaua hadi rais wao. Walirusha makombora yao ile season promise 1 baada ya Iran kufanya yake kwa jeshi la Iran lililopo Syria but Israel again alijibu, kapiga juzi promise No 2, mwamba kajibu but this time according to Israel wenyewe, wamefanya vile baada ya wao kudai Iran ndio walishambulia nyumba ya PM wao iliopo Kaisaria. Haya nikumbushe lini waliomba ruhusa from USA?
 
dogo ndege za Israel zilishia Iraq subutu ziguse Iran. Hivi wewe wa kata ipi hata watu wa tarafa wanajua israel alishia Iraq akarusha Missiles yeye na US. UK. FRANCE, ITALY
Wewe kobazi tembea mbele 😁😁😁 haki ukisha kuwa kobaz ndio hivo unakua nusu mpumbavu
 
dogo ndege za Israel zilishia Iraq subutu ziguse Iran. Hivi wewe wa kata ipi hata watu wa tarafa wanajua israel alishia Iraq akarusha Missiles yeye na US. UK. FRANCE, ITALY
Wewe kobazi tembea mbele 😁😁😁 haki ukisha kuwa kobaz ndio hivo unakua nusu mpumbavu
 
Back
Top Bottom