Iran yakanusha kupeleka drones zake Urusi, hivi wanaogopa nini?

mbona mnazikataq hz taarifa baada ya UCHEBE kuzikata hizo drones
 
Nitukane!!?

Sijawahi na sijategemea kuwahi kumtukana mtu kisa nn mpaka nikutukane MKUU

Uwe na amani hata sitakaa nikutukane aseee

UGAIDI wa UKRAINE umetokea punde baada ya mapinduzi 2014

MAGAIDI wote wauliwe

Sent using Jamii Forums mobile app
mapinduz ya 2014 yalifanywa na nan ?kumtoa rais wa nchi gan ? je huyu rais wa sasa anahusikaj na mamb ya 2014 ? ukute ww ni mtu mzima ila akili za kimbuz zimekutawala
 
Kuna njaa Korea,vikwazo vya USA,ndege Iran huanguka Mara kwa Mara watu hupoteza maisha..vikwazo USA na washirika,Iraq wameuawa kwa mamilioni,Afghanistan,Libya,syria, Mali nk...mikono ya USA na washirika
kuwa na akili timamu , kwenye hizo story zako kipi kinaifanya Urusi ipate haki kuvamia Ukraine , mtuhumiwa wako ni USA , so ungekuwa timamu bas ungesema Urusi iivamie USA
 
Hakuna jeshi dhaifu Kama la Israel,wanachoweza ni kuwapiga wapalestina wenye makombeo,hizbullah tu nyege humuisha israel
mmewazunguka ila hamuwawez hlf unasema hawana uwezo , mama ako anasumbuliwa na panya road wanautumia silaha za jadi , jiulize wangekuwa RPG si angekuwa kahamishwa ikulu?
 
Hata Ukraine wamemwaga damu za watoto wa changa Iraq.
Unahis Urusi hakwepo hapo ? Yaan ukichaa huu mpya umetinga mjin , unashabikia bila sabab na unajitahid kutafuta sabab , HUU NI UKICHAA JITAHIDI KUWAI MATIBAB UKICHELEWQ HUNA TOFAUTI NA MVUTA BANGI ADDICTED
 
Anapewa zaidi ya Dola 3b za ulinzi na USA kila mwaka,ni mkono wa kuwavuruga waarab mashariki ya Kati,kibaraka wa USA na waasisi wake uingereza na ufaransa,ukiwaondoa hao Israel ni Kazakhstan tu
wenye akili fupi mnahis ela inaokotwa ?
 
mmewazunguka ila hamuwawez hlf unasema hawana uwezo , mama ako anasumbuliwa na panya road wanautumia silaha za jadi , jiulize wangekuwa RPG si angekuwa kahamishwa ikulu?
We kweli qoumah...nikupe rpg ukamtoe ikulu!!?..
 
kuwa na akili timamu , kwenye hizo story zako kipi kinaifanya Urusi ipate haki kuvamia Ukraine , mtuhumiwa wako ni USA , so ungekuwa timamu bas ungesema Urusi iivamie USA
Dah,nchi Ina vichaa wengi
 

Unachokifanya sio Ukristo, eti kisa Vietnam walifanyiwa ukatili kwa hivyo unahalalisha mauaji na ukatili wanaofanyiwa watu wa Ukraine, ndio maana nilisema utakuwa umezungukwa na wavaa makobaz washakuteka akili maana wao huwa majitu fulani ambayo hushabikia kila aina ya mauaji.
 
Ujumbe kwa Mk254 na mataifa 30 wanaopigana mataifa moja kupitia mamluki mwenye ubongo wa kenge,hamwoni aibu mnavyodhalilishwa?na kukubali kwenu kudhalilisha nawatesa na kuwanyanyasa wengia wasiohusika na fedheha yenu hapo kwa Zeleboy 🥱

Mwambieni huyo Urusi akosee njia ashambulie kataifa kamoja ka NATO ndio mtaelewa nini maana ya kupigana na mataifa 30, atafutwa kabisa kwenye uso wa dunia.
 

Putin ameishiwa hadi hana hata wapiganaji kaenda kukusanya wanywa gongo, sasa hivi anapumulia mashini akitegemea msaada wa Iran, uzuri hao Irani ni wanyonge wa Israel, hawatupei tabu.
 
We dada kichwani mweupe,halafu wakristo mlivyo wajinga mnahisi waisraeli wanaamini hiyo dini yenu na huyo Yesu wenu

Eti unasema nini wewe muabudu lizee muddy lililokua linabaka katoto.
 
Wewe vipi unachokifanya ni ukristo? Mbona hupigi kelele kinachoendelea kwa wapalestina kila siku wanauawa hadi watoto maana mauaji hayajakoma. Eneo lote karibu limechukuliwa.
Mbona hupigi kelele kinachoendelea syria, mbona hukupiga kelele walichofanyiwa iraq.
Kwa hiyo ukristo ni kipiga tu kelele kwa ukraine au ukristo ni akifanya west ni sawa.
Shida unaongozwa na mihemko ya kidini na deep down ukweli unaujua lakini moyo wako ni ngumu kukubali
 

Hamna hata siku moja nimeshabikia unyanyasaji wa taifa lolote, yaani leo ushabikie mauaji ya watu wa Ukraine kisa Wapalestina wameuawa halafu unajiita Mkristo, ndio nimekuambia umeshakua brainwashed na hao wavaa makobaz maana wao mauaji na kuchinja chinja watu ndio zao, hata ipo kwenye maandiko yao kabisa wameamrishwa

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Mkuu umesahau biblia pia iliwaagiza waisrael wachinje kila watakachokuta wakiwemo wanawake na watoto?
Kwani mkuu wanaoua ni waislamu tu.
Hao wamarekani waliokuwa wanavurumisha mabomu ni wasilamu tu?
Wauza mihadarati wa mexico wanaochinja watu na kutundika mili ni waislamu? Mexico majority ni wakatoliki.
 

Sijui wapi umeipata hiyo kwenye Biblia ila umesema ni maagizo ya Waisraeli, sio maagizo kwa Wakristo, ila hao waislamu wameagizwa kabisa wachinje asiye muislamu, nimekupa quote ya kurani hapo, kwa kifupi muislamu anayeishi na wewe kwa amani huyo sio muislamu, kadandia tu dini, wale original ni ambao huchinja na kukata vichwa vya watu wasio waislamu.
Japo narudi kwenye hoja yangu, kwamba haipaswi ushabikie mauaji ya maskini wa Ukraine kisa sijui Marekani kafanya nini huko Vietnam, halafu unajiita Mkristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…