Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

sasa kama Iran ni wababe mbona wanatungua ndege za kiraia? Ina maana hawazioni F16? si wanatengeneza maadui wengi kwa approach hii?
 
Kama walivyowamaliza Japan?
Hatimaye Iran wamekiri kuhusika na kutungua ndege ya Ukrain na kuua abiria na wafanyakazi wake wote. Kukubali kwa inaweza kuwa ni kwa sababu kisayansi wasingeweza kukwepa kuhusika. Wamefanya hivyo kwa sababu ya uwezo wao mdogo wa kumiliki na kutunza makombora. Wakipata nuklia hakika watatumaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize Amerika ameuwa watu wasiokua na hatia wangapi na mbona hakuanza kubweka humu, hawa jamaa wanafki sana, kwakua kafanya Iran watabweka sana
Du ! Mkuu Waberoya. Vita siku zote hazichagui kuua wanajeshi peke yake ! Cha msingi ni kuaacha chokochoko zinazoweza kuleta vita , na ndio maana bunge la Sanate marekani limemzuia Trump kuipiga Iran kukwepa yale ya Iraq na Libya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchina anapambana na wanasiasa kutoka Nchi za Mashariki (Umoja wa kisoviet ya zamani)Tukmenidtan, Arzebaijan, kazakhstan, Uzbekistan nk, hao wemeingia kwa Wingi china na China haiwataki humo nchini kwao, karibu hao wote ni Waislamu, kwahiyo kinachofanyika china sio vita dhidi ya Waislamu bali ni vita kati ya serikali ya china na wahamiaji wasiokuwa wachina ambao ni Waislamu, lakini kimsingi sio mapambano ya kidini.

America yeye anapambana na Waislamu nje ya mipaka yake, Kapiga Afghanistan, kapiga Iraq, Kapiga, libya, kapiga Somalia, kapiga Syria, kapiga Sudani, kapiga lebanon akishirikiana na Israel, leo anataka kupiga Iran, kesho atapiga oman, Kapiga Yemen akisaidiwa na Saudi arabia, ilmuradi dunia yote ipo tete kutokana na hili kubwa jinga na uroho wake wa mafuta ili liweze kuendesha mamilioni ya magari nchini mwake na viwanda vyake, America ni jambazi sugu la dunia linalojifanya jitu jema sana huku limejaa hila na uongo.

Laana juu yake, ni hivi punde tu litadondoka kama mbuyu unavyodondoshwa..
Hiki cha kutamka laana hovyo hovyo kwenye dini yenu ndio kinachofanya niichukie kupita maelezo.
.
Mwenye uwezo wa kulaani duniani yuko mmoja tu naye ni aliyekuzaa wewe na mimi na wengineo yani (mama) na si vinginevyo nyie hata muwe organized wote muilaani katu nakwambia mtakuwa itakuwa ni wastage of time.
.
Magroup mbalimbali ya maislamu hili neno laana limewatawala sana ninyi hamfundishwi huko madrasa laana ni nini?
.

Fungua hiyo link ujifunze
 
Kwa hiyo miaka 23 unakuwa bado mtoto?
Yes, miaka 23 kama bado yuko shule uko mwaka wa tatu au wa pili chuo kikuu.
Na kama ni mtoto wa kiislamu wakiume ana mke na ndoa ina miaka miwili au mitatu, kama ni wakike ana watoto watatu tayari.
.
Hiyo tabia ya kujiinua na kuita watu wakubwa humu wapumbavu iache kabisa kuna baba zako humu
 
Mwanzoni walikataa ila baadae walishindwa analyse data ikabidi waombe msaada na NTSB wameomba permit kwenda Iran
Ilikataliwa na nani?

====

Iran Invites NTSB, Boeing to Participate in Ukrainian Plane Crash Investigation


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzoni walikataa ila baadae walishindwa analyse data ikabidi waombe msaada na NTSB wameomba permit kwenda Iran

Sent using Jamii Forums mobile app
Isitoshe taarifa za awali kabisa zilikuwa na mkanganyiko kutokana na kuwa hata viongozi wa juu hususani wa kijeshi walikuwa hawafahamu chochote kuhusiana na kuangushwa kwa hii ndege, kila mmoja akawa anasema lake.
 
Ile ndege ilikuwa yaondoka Vyovyote vile radar za jeshi zilionesha yaondoka iran iweje ipigwe bahati mbaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inadaiwa, msimamizi aliyekuwa akisimamia na kuuendesha ule mtambo wa ulinzi wa anga aliiona ile ndege katika radar lakini alidhani kuwa ni cruise missile.

Wakati sasa anajaribu kuwasiliana na makao makuu (control center) ili kupata uthibitisho wa hiyo target aliyoiona akakumbana na jamming kwenye mfumo wa mawasiliano, akitizama muda ni sekunde takribani kumi tu kushambulia ama kuiacha hiyo "cruise missile" aliyoidhania iendelee kukaribia na kupiga target yake hivyo akaamua kujichukulia maamuzi magumu kama haya tuliyoyaona na kuyajadili hivi sasa.
 
Hiki cha kutamka laana hovyo hovyo kwenye dini yenu ndio kinachofanya niichukie kupita maelezo.
.
Mwenye uwezo wa kulaani duniani yuko mmoja tu naye ni aliyekuzaa wewe na mimi na wengineo yani (mama) na si vinginevyo nyie hata muwe organized wote muilaani katu nakwambia mtakuwa itakuwa ni wastage of time.
.
Magroup mbalimbali ya maislamu hili neno laana limewatawala sana ninyi hamfundishwi huko madrasa laana ni nini?
.

Fungua hiyo link ujifunze


Wewe Khaligraph ni mchanga mno katika masuala ya dini kwa ujumla, nakushauri kaa kitako na ujifunze elimu ya dini kwa ujumla, kwa muda mfupi nimejadiliana nawe masuala ya dini nimegundua hivyo.

1---- unasema kitendo cha kulaani kwenye dini yetu (uislamu) kinakufanya uichukie kupita maelezo.

Jibu:- Unatakiwa utofautishe kati ya dini na wafuasi wa dini, mimi ndiye mfuasi wa dini na ndiye niliye laani sasa iweje Uislamu ulaumiwe kwa "kosa" lisikokuwa lake??-- kama ni kosa ungalipasa unilaumu mimi mwenyewe na sio Uislamu.

Yesu anatufundisha kulaani, ukisoma Biblia utaona Yesu ndiye Mwalimu wa kutoa laana na akawafundisha wanafunzi wake kufanya hivyo, mbaya zaidi yeye aliulaani mti bila kosa kwani mti haukuwa na matunda sababu haukuwa ni msimu wake, sasa usinilaumu mimi kuomba laana kwa wahalifu mlaumu kwanza yesu kuulaani mti bila ya hatia na mti ukakauka kesho yake. Marko 11:12-14, Marko 11:20-25, Mathayo 21:18-22.

2---- Unasema anayetakiwa kuomba laana ni yule aliyetuzaa, yaani mama.

Jibu:- Ukisoma Wagalatia 3:13, Inasema Yesu alifanywa kuwa laana, sasa uniambie; je Bikira Maria ndiye alimtolea laana Yesu???


3--- Unasema, magrupu mbalimbali ya waislamu neno laana limetawala sana, unauliza tena; je, nyinyi (sisi waislamu) hatufundishwi huko madrasa laana nini??.

Jibu:- Ilikupasa wewe ndiye utuambie laana nini na madhara yake ni yapi kwa muombaji laana, cha ajabu umeleta porojo tu na kelele bila kunukuu hata maandiko ya Kamusi kuelezea laana ni kitu gani, sasa mimi nipo "different", hapa nimenukuu maana ya neno laana (CURSE) kutoka katika kamusi ya Merriam Webster;

Curse definition:-- is a prayer or invocation for harm or injury to come upon one.


Sasa mkuu Khaligraph umeona kwamba mtu unapoomba laana ni sawa na kuomba dua kwa Mungu dhidi ya Muhalifu basi ni juu ya Mungu kukubali au kuikataa, sisi tunapeleka kilio chetu kwa Mungu naye anapoona kilio chetu ni cha haki basi atapokea dua yetu lakini anapoona hakuna haki basi haeezi kupokea. Neno invocation lililopo katika hiyo definition limetokana na neno invoke likiwa na maana; call on deity or spirit in prayer as witness.

Kwa hiyo kuomba laana ni maombi yanayopelekwa kwa Mungu atoe hukumu kwani hatuna uwezo mwingine "at our disposal" .
 
Yes, miaka 23 kama bado yuko shule uko mwaka wa tatu au wa pili chuo kikuu.
Na kama ni mtoto wa kiislamu wakiume ana mke na ndoa ina miaka miwili au mitatu, kama ni wakike ana watoto watatu tayari.
.
Hiyo tabia ya kujiinua na kuita watu wakubwa humu wapumbavu iache kabisa kuna baba zako humu



Na wewe unajifanya mkuubwa,🤣🤣
 
Kikosi cha uchunguzi kutoka Ukraine kimedai kuwa kombora lililoitungua ndege ya Ukraine nchini Iran liligonga sehemu ya mbele chini kidogo na mahali ambapo rubani na jopo lake hukaa ili kuiongoza ndege (cockpit).

====

UPDATE: Ukrainian investigators believe the flight crew of the Ukrainian jet was killed instantly when a missile exploded next to their cockpit, penetrating the aircraft with shrapnel and sending it hurtling to the ground on fire.

In an interview at the presidential offices in Kyiv, Oleksiy Danilov, the head of Ukraine's National Security and Defence Council, provided CBC News with an in-depth look at the progress of investigation into Flight PS752, which went down near Tehran on Jan. 8.

"You can only imagine what happened there [the cockpit]," said Danilov. "We understand now that the death was instant, unfortunately."

Photos released by Ukraine's presidential office show parts of the aircraft's cockpit, blackened and pierced by small holes, which investigators say came from the missile as it exploded. [CBC News]
 
Ungetuliza map ukasoma vizuri post yangu...ungejua

nimeongea nini

Ndo mana nimekwambia ungetuliza akil ndo u comment ...kwan mtu akikwambia kalipua kwa kwa bahat mbaya unaelewa nn?? Alikusudia kuishusha ila wakat missile zishatoka ndo ukaona umefanya makosa na huwez zirudisha.....hata tz ishalipua ndege yenye watu wake 1977 je ni bahat mbaya au makusudi kama ni bahat mbaya je nn kilitokea??
 
Kikosi cha uchunguzi kutoka Ukraine kimedai kuwa kombora lililoitungua ndege ya Ukraine nchini Iran liligonga sehemu ya mbele chini kidogo na mahali ambapo rubani na jopo lake hukaa ili kuiongoza ndege (cockpit).

====

UPDATE: Ukrainian investigators believe the flight crew of the Ukrainian jet was killed instantly when a missile exploded next to their cockpit, penetrating the aircraft with shrapnel and sending it hurtling to the ground on fire.

In an interview at the presidential offices in Kyiv, Oleksiy Danilov, the head of Ukraine's National Security and Defence Council, provided CBC News with an in-depth look at the progress of investigation into Flight PS752, which went down near Tehran on Jan. 8.

"You can only imagine what happened there [the cockpit]," said Danilov. "We understand now that the death was instant, unfortunately."

Photos released by Ukraine's presidential office show parts of the aircraft's cockpit, blackened and pierced by small holes, which investigators say came from the missile as it exploded. [CBC News]

We ndo umetafsiri?? Mbna maelezo ya kingereza ni tofaut na huo utangulizi wa kiswahili ??


Ndo wale wa mizan mbele mita 500 afu kwa kizungu weigh bridge ahead 200m
 
Back
Top Bottom