Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
Missile zinakuwa na heat seeking signature,ndiyo maana USA tokea ndege ilipodondoka alijua imepigwa kombora baada ya Early warning radars na satellite system pamoja na sensors zingine za Marekani zilidetect infrared heat signature from Iran missile defense system
 
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
we hujui hata kinachoendelea ungetuliza akil kisha ndo utoe maoni yako....
 
Mkuu usijiaibishe humu....biblia sio Qur'an ya kusoma kamstari kamojakamoja kwakuwa haina mlolongo wa habari au muendelezo
Wewe kwakuwa uelewa wako ni mdogo, sasa nina kung'olea kipande ambapo point ndiyo ipo hapo, the point lies in that extract.;




Hebrew 6:16-18;


------ he (God) confirmed it with OATH. God did this so that by two unchangeable THINGS in which it is impossible for God to lie.


Hapo unaona kwamba Mungu wa Biblia anakula kipo kwa VITU viwili visivyo badilika ili asionekane Muongo kwa ahadi zake.

Narudia kufafanua maana akili yako ya kuelewa mambo ni kaputi; Mungu wa.Biblia naye anakula kiapo kwa kurejea vitu viwili visivyo badilika (two unchangable things), kwa kuapa kwa vitu hivyo hawezi kuonekana Muingo kwasababu vitu hivyo havibadiliki kwa sifa zao.

Kwahiyo usilaumu Qur'an wakati jambo mithili ya hilo limo ndani ya Biblia, hiyo ndiyo point yangu.

Yakupasa usome kwanza Biblia ndipo uje kwa ajili ya Qur'an.
Anzia
Waebrania:6.13
Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,


Uambiwe nini tena kuwa mungu haapii kitu kingine ndo uamini??
Ebrania 16
---And he(God) confirmed it(promise) with an oath.....God did this so that by two unchangeable things(oath and promise) in which it is impossible for God to lie.
((mungu alifanya hivyo kwakuwa kwa vitu viwili haiwezekani akadanganya))

Mungu aliahidi kwa kuapa kwasababu ahadi na kiapo havibadiliki...lakini aliahidi kwa nani??--Ibrahim
Aliapa kwa nani??--Nafsi yake mwenyewe
 
I agree with you 100 % majasusi wengi wa Marekani na Israel wanatumia passport za Canada na Australia hivyo walikuwa wanasepa na documents Nyeti za nchi ya Iran, Russia wakawashitua rafiki wao Iran, ndo yakatokea hayo. hii dunia ni uwanja wa fujo rip Prof kezirahabi nguri wa fasihi.
Yani Documents Wasizitume Kwa njia ya mtandao., eti wasepe nazo kwenye ndege, eti Russia wakawashitua, unangea kama vile una Ushahidi,

sema Iran Walikua Wamechanganyikiwa na wasiwasi Maana ilikua ni mda mfupi toka washambulie Kambi za US wakajua Kimenua

Huo ujinga Umenunua Duka Gani?
 
Missile zinakuwa na heat seeking signature,ndiyo maana USA tokea ndege ilipodondoka alijua imepigwa kombora baada ya Early warning radars na satellite system pamoja na sensors zingine za Marekani zilidetect infrared heat signature from Iran missile defense system
Kwa hiyo hiyo missile ilijituma yenyewe baada ya kudetect heat signature??
Kama waliituma kwanini??
What I'm saying ni kuwa haikuwa bahati mbaya
 
Kwa hiyo hiyo missile ilijituma yenyewe baada ya kudetect heat signature??
Kama waliituma kwanini??
What I'm saying ni kuwa haikuwa bahati mbaya
Kwendana na international assessment ni bahati mbaya,pengine leta sababu zako za kitaalamu ili kuthibitisha upo sahihi na hao assessors wa kimataifa wapo wrong.
 
Kwa hiyo hiyo missile ilijituma yenyewe baada ya kudetect heat signature??
Kama waliituma kwanini??
What I'm saying ni kuwa haikuwa bahati mbaya
Alichokueleza ni kulingana na ulichokisema mwanzo kwamba kudungua ndege ni vigumu. Hiyo ni kazi nyepesi mno ukizingatia hii ni ndege ya kiraia ambayo haina mechanism za kujikinga kama flares au chaff. Ndege ikiingia kwenye radar coverage inaonekana na operator anakuwa na jukumu la kusoma yaweza kuwa aina gani ya ndege. Yule operator wa Iran alikuwa na sekunde 10 tu kufanya maamuzi. Ni kupress button kombora likafata lenyewe wala huliongozi.
 
USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
Upo mbali sana na ukweli. Afadhali ungetaja Taifa jingine lakini siyo China. China bado sana kufika ilipofika US. China kikubwa kilichoongezeka kwa haraka ni GDP baada ya kuachana na uchumi wa kijamaa na kuukumbatia uchumi wa kiriberali uliowezesha makampuni mengi makubwa ya Ulaya na America kuwekeza China.

Baada ya hilo kufanyika, kulikofanyila uchumi wa China kukua haraka, hali hii ilikuwa ya kipindi fulani tu. Kwa hiyo uchumi wa China hautaweza kukua kama ulivyokuwa unakua. Kipindi cha ubinafsishaji uchumi wa China ulikuwa unakua kwa 9.7% lakini sasa hivi ni 3 - 4% tu na hautarajiwi kuvuka hapo.

China bado ni maskini. Wapo kwenye ukomo wa chini wa kipato cha kati, na wapo chini sana ya wastani wa mapato ya nchi za kipato cha kati.

Per capita income ya China ni chini ya $10,000 wakati ya U S ni zaidi ya $60,000. Kwenye human development China ni ya 89. Maana yake ni kuwa China imezidiwa na mataifa 88. Hii ndiyo sababu ya Waziri Mkuu wa China kutamka kuwa China bado ni nchi maskini.
 
USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
Upo mbali sana na ukweli. Afadhali ungetaja Taifa jingine lakini siyo China. China bado sana kufika ilipofika US. China kikubwa kilichoongezeka kwa haraka ni GDP baada ya kuachana na uchumi wa kijamaa na kuukumbatia uchumi wa kiriberali uliowezesha makampuni mengi makubwa ya Ulaya na America kuwekeza China.

Baada ya hilo kufanyika, kulikofanyila uchumi wa China kukua haraka, hali hii ilikuwa ya kipindi fulani tu. Kwa hiyo uchumi wa China hautaweza kukua kama ulivyokuwa unakua. Kipindi cha ubinafsishaji uchumi wa China ulikuwa unakua kwa 9.7% lakini sasa hivi ni 3 - 4% tu na hautarajiwi kuvuka hapo.

China bado ni maskini. Wapo kwenye ukomo wa chini wa kipato cha kati, na wapo chini sana ya wastani wa mapato ya nchi za kipato cha kati.

Per capita income ya China ni chini ya $10,000 wakati ya U S ni zaidi ya $60,000. Kwenye human development China ni ya 89. Maana yake ni kuwa China imezidiwa na mataifa 88. Hii ndiyo sababu ya Waziri Mkuu wa China kutamka kuwa China bado ni nchi maskini.
 
Yani Documents Wasizitume Kwa njia ya mtandao., eti wasepe nazo kwenye ndege, eti Russia wakawashitua, unangea kama vile una Ushahidi,

sema Iran Walikua Wamechanganyikiwa na wasiwasi Maana ilikua ni mda mfupi toka washambulie Kambi za US wakajua Kimenua

Huo ujinga Umenunua Duka Gani?
Canada na Iran hawana uhusiano wa kibalozi,Be informed.
 
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
Ile haikitunguliwa kwa watu kuilenga bali ni automatic systems waluzojengewa na Warusi. System inayafyatua makombora yenyewe pale inapoona ndege ya kivita ya adui. Sasa cha kujiuliza ni hizo system walizowekewa na Mrusi ni efficient kiaso gani?

Sasa kwenda Iran ni risk kubwa. Mfumo wao wa ulinzi wa Anga ni balaa. Kuna siku mfumo utatungua ndege hata ya Rais.
 
MAREKANI NI TAIFA KUBWA, ALISEMA JUZI KUWA IRAN IS RESPONSIBLE FOR "DOWNFALL" OF BOEING, ONLY SCORNIFUL RESPONSE WERE PRESENTED FROM TEHERAN LOVING ......
Wamarekani waneitangulia Dunia. Wairan hata kama wangekataa lakini Marekani walikuwa na uhakika.
 
Ile haikitunguliwa kwa watu kuilenga bali ni automatic systems waluzojengewa na Warusi. System inayafyatua makombora yenyewe pale inapoona ndege ya kivita ya adui. Sasa cha kujiuliza ni hizo system walizowekewa na Mrusi ni efficient kiaso gani?

Sasa kwenda Iran ni risk kubwa. Mfumo wao wa ulinzi wa Anga ni balaa. Kuna siku mfumo utatungua ndege hata ya Rais.
Inakuwa operated na binadamu katika kudungua.
 
Hata marekani alishatugua ndege ya abiria ya Iran flight 655 mwaka 1988 walikufa watu wote 290 waliokiwepo kwenye ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwaka 1988. Lakini Iran inafanya kosa hilo 2020. Yawezekana teknolojia ya US ya 1988 ndiyo waliyo nayo Uran 2020. Does it mean technologically, Iran is almost 32 years behind US?
 
Imebidi nicheke kwanza hahahah
Ile haikitunguliwa kwa watu kuilenga bali ni automatic systems waluzojengewa na Warusi. System inayafyatua makombora yenyewe pale inapoona ndege ya kivita ya adui. Sasa cha kujiuliza ni hizo system walizowekewa na Mrusi ni efficient kiaso gani?

Sasa kwenda Iran ni risk kubwa. Mfumo wao wa ulinzi wa Anga ni balaa. Kuna siku mfumo utatungua ndege hata ya Rais.
Iran wamesema (nenda Twitter ya rahisi wao) kuwa wameitungua ndege kimakosa kwa sababu ya uzembe wa 'watu' fulani na itabidi wawajibishwe kwakuwa wamefanya kosa lisilosameheka....
Wewe huku Jf unasema ni kosa la system imejitungua yenyewe...inabidi wakuajiri uwe PR wa Iran ungesave face yao kabisa
 
Point ya Nilichokisema mimi pia ni kuwa haijaalishi missile imetumia mechanism gani kuilipua hiyo ndege,calculation, heat signal,radiation signal,smoke signal etc.
Whatever hizo zote lazima kuwe kuna intention ya kuilipua hiyo ndege.. Yani hata kama ili trace joto la ndege lazima kuna Mtu Kwenye system aliyelielekeza likaitungue hiyo ndege na wala si bahati...so labda Iran wangesema wametungua kimakosa ila sio "bahati mbaya" HAKUNA bahati hapo ni physics tupu....
Na kama ni makosa tunapata maswali mengine
1.kwanini? Hawakujua ni ndege rafiki
2.kama hawakujua kwanini wasijue?wakati evidence zote huonesha walijua..rubani aliwasiliana na air control unit na ndege inayoondoka airport lazima Isome Kwenye system..bora ingekuwa inatokea nje kuingia ndani lakini ndege ndo ilikuwa inatoka Tehran kutoka nje na ilikuwa hata haijafika mbali kuiacha airport
3.kama walijua kwanini waliilipua makusudi?
Alichokueleza ni kulingana na ulichokisema mwanzo kwamba kudungua ndege ni vigumu. Hiyo ni kazi nyepesi mno ukizingatia hii ni ndege ya kiraia ambayo haina mechanism za kujikinga kama flares au chaff. Ndege ikiingia kwenye radar coverage inaonekana na operator anakuwa na jukumu la kusoma yaweza kuwa aina gani ya ndege. Yule operator wa Iran alikuwa na sekunde 10 tu kufanya maamuzi. Ni kupress button kombora likafata lenyewe wala huliongozi.
 
Kwendana na international assessment ni bahati mbaya,pengine leta sababu zako za kitaalamu ili kuthibitisha upo sahihi na hao assessors wa kimataifa wapo wrong.
Kuendana na raisi wa Iran imetunguliwa kwa 'makosa' ya watu fulani na itabidi wawajibishwe. . . .
Sasa makosa yao inamaanisha walifanya makusudi kuilipua kwa sababu tusizozijua...(kujichanganya)
Mimi naweza kusema kuwa Iran waliitungua kimakusudi ndiyo maana mwanzoni walipinga kuwa hawajaitungua imeanguka yenyewe...baada ya kubanwa wakang'ang'ania black box kuficha uchunguzi ili ukweli usijulikane...ile video ya bom linatungua ilipo'leak mtandaoni ndiyo wakaruhusu uchunguzi
Uchunguzi ulipofanyika wakasema ni bahati mbaya
Uchunguzi ulipoendelea wamesema ni 'kimakosa'
Sasa hiyo trend inaonesha kuna kitu wanakificha na walifanya makusudi na nakuhakikishia pamoja na kuwa raisi amesema wahusika watashughulikiwa hao wahusika hawatafanywa kitu kwa kuwa walikuwa wanafata order tu...kwahiyo kina ayatollah hawawezi kujiadabisha case closed.
 
Upo mbali sana na ukweli. Afadhali ungetaja Taifa jingine lakini siyo China. China bado sana kufika ilipofika US. China kikubwa kilichoongezeka kwa haraka ni GDP baada ya kuachana na uchumi wa kijamaa na kuukumbatia uchumi wa kiriberali uliowezesha makampuni mengi makubwa ya Ulaya na America kuwekeza China.

Baada ya hilo kufanyika, kulikofanyila uchumi wa China kukua haraka, hali hii ilikuwa ya kipindi fulani tu. Kwa hiyo uchumi wa China hautaweza kukua kama ulivyokuwa unakua. Kipindi cha ubinafsishaji uchumi wa China ulikuwa unakua kwa 9.7% lakini sasa hivi ni 3 - 4% tu na hautarajiwi kuvuka hapo.

China bado ni maskini. Wapo kwenye ukomo wa chini wa kipato cha kati, na wapo chini sana ya wastani wa mapato ya nchi za kipato cha kati.

Per capita income ya China ni chini ya $10,000 wakati ya U S ni zaidi ya $60,000. Kwenye human development China ni ya 89. Maana yake ni kuwa China imezidiwa na mataifa 88. Hii ndiyo sababu ya Waziri Mkuu wa China kutamka kuwa China bado ni nchi maskini.



Achana na hayo yote, mimi nasema hivi; China ni ya pili kiuchumi baada ya America, Hesabu miaka 15 iliyopita China ilikuwa wapi??,

Wapo juu sana kiteknolojia, Umeona vita ya America dhidi ya Huawei??, kwa upande wa GDP nadhani hata Baadhi ya nchi za kiafrika zinaishinda China, lakini je,Uchumi wao unaizidi china??-- uzuri -vis a vis- ubaya wa china ni ukubwa wa population yake, na kiongozi mzuri wa nchi kamwe hawezi sema kwamba; "Sisi tumeendelea" ni kauli ya mtu mwenye freezed mind set, kwani maendeleo ni endless dynamic process, kila uchao ni uvumbuzi na ugunduzi mpya, katika sayansi na Teknology China ya Leo ipo juu sawa na America.

Obama alipokuwa Rais, si alienda kukopa pesa China, umesahau??!!, maeneo yote ya kimaendeleo China yupo. Sema ni jambo lipi China yupo nyuma??.
 
Back
Top Bottom