Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Nasema kama walikua majasusi wamepata walichokistahili sanaa

Kama walikua raia wakawaida jamaa wamefanya unyama wahali yajuu kabisaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Amna unyama mkuu 100% iyo ndege kama iliruka wakati makombora yakirushwa ilikuwa na tarifa nzuri sana za sehemu makombora yalipo tokea! Pia juwa Israel huwa wana juwa kutumia ndege za abiria kujifichia na kupiga na kusepa!
 
Must I teach you how to argue??
Raisi kisa anaapa Kwenye kitabu cha mungu ni lazima nimfuate na mimi?? Je siku akiwa shoga??nimuige??
Allah anataka tuwe watu wazuri kwa kuwa Allah ni mzuri....kwanini nisimuige matendo yake (allah)niwe namimi mzuri mbele ya macho yake kuliko kuiga maraisi ambao hawanipi chochote??kama Allah anasema tumuige mtume,,swali: sasa kati ya mtume na Allah mwenyewe Yupi ni mwema zaidi???
Hiyo falsafa ya God's oath namimi pia nimeitumia ndiyomaana nimeapa kwa jua kwasababu jua ni Universal object, hakuna binadamu aliyekuwa kamili ambaye hajaliona jua katika uhai wake hivyo jua linathibitisha uwepo wa Mungu na utukufu wake, kwa kuliona jua tu mtu unaweza kutambua uwepo wa Mungu nk, Mimi siwezi kuapa kwa kitu ambacho hakina athari kwa wanadamu
Wewe nimegundua ni mtu usiyetafakari mambo, huwa unakurupuka tu.

Wewe umetoa kiapo (cha jua) kwa mambo ya Uongo, Binadamu huwa anaapa kwa Mungu na hata maraisi hushika vitabu vya Mungu wanapoapa kwa maana ya kuapa mbele ya Mungu, sasa Mungu anapoapa unataka aape mbele yake mwenyewe?? that's nonsense and inconceivable. Mungu anaapa kwa jua kwasababu jua ni Universal object, hakuna binadamu aliyekuwa kamili ambaye hajaliona jua katika uhai wake hivyo jua linathibitisha uwepo wa Mungu na utukufu wake, kwa kuliona jua tu mtu unaweza kutambua uwepo wa Mungu nk, Mungu hawezi kuapa kwa kitu ambacho hakina athari kwa wanadamu kwa ujumla hiyo kwa kifupi ndiyo falsafa behind God oaths.

Sasa wewe unajifanya Mungu kwa kula kiapo cha jua kwa habari yako ya uzushi, uongo na uzandiki, Nakutahadharisha kama Binadamu mwenzangu kwamba; you are exceeding the limits, God will catch you unexpectedly, I argue you to stop immediately. Qur'an is His words no one dared to play with it remained safe. After this warning I surely believe that you will grasp the point.
Lakini kwa hili kidogo nmegundua nimemzidi tena Allah kwakuwa yeye amejisahau akaapa hadi kwa vitu visivo na athari yoyote wala sio kila Mtu ameviona
Quran 95:1. Naapa kwa tini na zaituni! 2. Na kwa Mlima wa Sinai! 2.----tini za zaituni sijawahi ziona na haziniathiri

Quran 100:1. Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua, 1---hawa farasi siwajui na hawaniathiri

Quran 90:1 I swear by this city, Makkah --sijawahi fika makka(sijui hata ikoje) na wala makka hainiathiri kitu
 
...kinaachoonekana ni object tu...
Hammaz, kwani wewe una knowledge yoyote kuhusu masuala ya rada au utaalamu wako uko nyuma ya keyboard?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata apa kwetu au nchi yoyote ata burundi ndege za abiria zina julikana kuanzia zinaporuka na ziki cross sehemu ambo hairuhusiwi hupewa onyo kwa tarifa yako ata apa kwetu uki cross kwenye anga zao wana kushusha!
 
Mkuu umemjibu kisomi sana, hongera
Former member of the United States Senate Daniel Patrick Moynihan alisema
"Everyone is entitled to his own opinion, but not to his own facts."

Ndege ya Ukrain ilichelewa kutuma signal wakati Iran inarusha makombora. Kilichotokea nayo ikafyatuliwa kombora. Unfahamu hili?

Iran amewekewa vikwazo na Marekani na Boeing ni kampuni ya Marekani ambayo kutokana na vikwazo haitakiwi kuwa na mahusiano na Iran. Umejiuliza na hili?

Ukraine, Canada na nchi nyenginezo ziliruhusiwa kwenda Iran kwa ajili ya uchunguzi. Iliyokataliwa ni Amerik tu! Unafahamu hili? Wewe kweli taarifa ya habari unaangalia?

Mbona mnaandika vitu vya ajabu sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama uwezo mdogo kwanini mashariki ya kati amani imeshindwa kupatikana?

Mambo mengine hayahitaji akili ya PHD.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wajinga unawaendesha utakavyo hawawezi kung'amua. US runs Middle East na wenyewe walivyo mavuvuzela wanaendelea kuuwana tu wao kwa wao wakati jamaa wanachuma mali, kwa uzwazwa huu wamezidiwa hadi na Malawi.
 
Amna unyama mkuu 100% iyo ndege kama iliruka wakati makombora yakirushwa ilikuwa na tarifa nzuri sana za sehemu makombora yalipo tokea! Pia juwa Israel huwa wana juwa kutumia ndege za abiria kujifichia na kupiga na kusepa!
Aliyesema kwamba hyo ndege ilikuwa na majasusi ni Nani? Ina mana hyo ndege iliruka nje ya route yake ya kawaida badala yake ikapita eneo la jeshi? Kama walikuwa na waswas nayo Kwa nn wasingeamuru irud airport Kwa uchunguzi ? Ina maana air defence na airport operetta hawana mawasiliano? Badala yake immediatey baada ya kuruka wakaua raia zao ambao nyie mnatuaminisha ni majasusi...na majina Yao yamekuwa released na ndugu zao wameomboleza......

Battle ya USA na Iran ni one way battle,
 
Aliyesema kwamba hyo ndege ilikuwa na majasusi ni Nani? Ina mana hyo ndege iliruka nje ya route yake ya kawaida badala yake ikapita eneo la jeshi? Kama walikuwa na waswas nayo Kwa nn wasingeamuru irud airport Kwa uchunguzi ? Ina maana air defence na airport operetta hawana mawasiliano? Badala yake immediatey baada ya kuruka wakaua raia zao ambao nyie mnatuaminisha ni majasusi...na majina Yao yamekuwa released na ndugu zao wameomboleza......

Battle ya USA na Iran ni one way battle,
Mkuu ndege ikisharuka kurudi chini sio kama basi wakati mwingine Adi ichome mafuta kiasi Fulani !!
mambo ya technology ni magum sana ndege inaweza tumiwa kama satellite!! inaweza towa target ikiwa huko angani! haswa za abiria!
 
Na swali jengine, kwa nini hiyo ndege ikatize kwenye anga ya nchi ambayo ilikuwa kwenye hali ya kushambulia na kujihami (war zone)?

Hivi hii Ndege ilikatiza anga la Iran au iliruka kutokea hapo hapo Tehran? Kama walikuwa kwenye hiyo Tension kwanini hawakufunga anga yao kwa hicho kipindi?
 
kama ni bahati mbaya kwanini PM wa Canada anang'ang'ana apate full/complete investigation ndani ya Iran ( tofauti na reaction ya raisi wa Ukraine) wakati anajua ni bahati mbaya?
Reaction ya PM wa Canada na Rais wa Ukraine hazina utofauti. Both Canada na Ukraine zime demand full investigation.

====

 
Na swali jengine, kwa nini hiyo ndege ikatize kwenye anga ya nchi ambayo ilikuwa kwenye hali ya kushambulia na kujihami (war zone)?
Ndege haikukatiza kwenye anga la Iran bali hapo ndipo ilipoanzia safari yake.
 
Hivi hii Ndege ilikatiza anga la Iran au iliruka kutokea hapo hapo Tehran? Kama walikuwa kwenye hiyo Tension kwanini hawakufunga anga yao kwa hicho kipindi?
Ndege ilitokea hapohapo tehran.

Jenerali wa jeshi la anga kasema kuna makosa, hawakufanya mawasiliano na mamlaka ya ndege za kiraia.

Mawasiliano yangekuwepo wangejua kuna ndege ya raia inapita/itapita.

Hapa cha kujiuliza inakuaje kwa levo ya tekinolojia ya sasa rada ilishindwa kujua kama kinachokuja ni ndege (tena ya abiria) na sio kombora.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Must I teach you how to argue??
Raisi kisa anaapa Kwenye kitabu cha mungu ni lazima nimfuate na mimi?? Je siku akiwa shoga??nimuige??
Allah anataka tuwe watu wazuri kwa kuwa Allah ni mzuri....kwanini nisimuige matendo yake (allah)niwe namimi mzuri mbele ya macho yake kuliko kuiga maraisi ambao hawanipi chochote??kama Allah anasema tumuige mtume,,swali: sasa kati ya mtume na Allah mwenyewe Yupi ni mwema zaidi???
Hiyo falsafa ya God's oath namimi pia nimeitumia ndiyomaana nimeapa kwa jua kwasababu jua ni Universal object, hakuna binadamu aliyekuwa kamili ambaye hajaliona jua katika uhai wake hivyo jua linathibitisha uwepo wa Mungu na utukufu wake, kwa kuliona jua tu mtu unaweza kutambua uwepo wa Mungu nk, Mimi siwezi kuapa kwa kitu ambacho hakina athari kwa wanadamu Lakini kwa hili kidogo nmegundua nimemzidi tena Allah kwakuwa yeye amejisahau akaapa hadi kwa vitu visivo na athari yoyote wala sio kila Mtu ameviona
Quran 95:1. Naapa kwa tini na zaituni! 2. Na kwa Mlima wa Sinai! 2.----tini za zaituni sijawahi ziona na haziniathiri

Quran 100:1. Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua, 1---hawa farasi siwajui na hawaniathiri

Quran 90:1 I swear by this city, Makkah --sijawahi fika makka(sijui hata ikoje) na wala makka hainiathiri kitu



Wewe ni mbumbumbu wa mambo ya dini huna tofauti na watu wa vijiweni wanaoshindia mchuzi wa pweza na kahawa.

Sasa kwanza soma ndani ya Biblia yako na ujifunze kwanza huko ndipo uje tujadili Qur'an, Qur'an ni deep sea na ni kwa ajili ya watu wenye akili na kutafakari mambo, angalia falsafa ya kula kiapo, mtu anatakiwa ale kiapo kwa nani na Mungu anatakiwa ale kiapo wapi na hakima (falsafa) ya kuapa ni ipi??---
Screenshot_20200112-084836.png
Screenshot_20200112-084836.png
 
Wewe ni mbumbumbu wa mambo ya dini huna tofauti na watu wa vijiweni wanaoshindia mchuzi wa pweza na kahawa.

Sasa kwanza soma ndani ya Biblia yako na ujifunze kwanza huko ndipo uje tujadili Qur'an, Qur'an ni deep sea na ni kwa ajili ya watu wenye akili na kutafakari mambo, angalia falsafa ya kula kiapo, mtu anatakiwa ale kiapo kwa nani na Mungu anatakiwa ale kiapo wapi na hakima (falsafa) ya kuapa ni ipi??---View attachment 1320371View attachment 1320371
Hujajibu hoja...umetumia ile mbinu ya kuhamisha goli...kazi nimemaliza
 
Hujajibu hoja...umetumia ile mbinu ya kuhamisha goli...kazi nimemaliza


Wewe unakurupuka kwenye mambo ya Qur'an wakati yale ya Biblia yanakushinda: "Ondoa boriti jichoni mwako ndipo uweze kuona vyema na kutoa kibanzi jichoni kwa mwenzako"

Soma hekima ya viapo ndani ya Biblia yako kwanza ndipo uje kushughulika na Viapo vya ndani ya Qur'an.

Kaa kitako bila papara wala jazba wala husuda, wala chuki moyoni dhidi ya uislamu na soma (waebrania 6:16-18), ili ujue hekima ya Watu kula viapo na wale viapo kwa nani, pia utajua hekima ya Mungu kula kiapo na ale kiapo kwa kitu gani, na pia utajua kiapo kina faida ipi, the significance of taking an oath.
 
Hatimaye Iran wamekiri kuhusika na kutungua ndege ya Ukrain na kuua abiria na wafanyakazi wake wote. Kukubali kwa inaweza kuwa ni kwa sababu kisayansi wasingeweza kukwepa kuhusika. Wamefanya hivyo kwa sababu ya uwezo wao mdogo wa kumiliki na kutunza makombora. Wakipata nuklia hakika watatumaliza
 
Back
Top Bottom