Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Hayanaga akili siku zote.

Hata ingekuwa ya USA ndege si ya kijeshi unatungua ya nini?
 
UPDATE: "I Wish I Had Died" instead of seeing Ukranian Airlines Crash, Iranian Revolutionary Guards aerospace commander says. [Newsweek]
 
Huu ni ukilaza au uzwazwa?Ni nani mpumbavu atembee na karatasi eti siri?
Kama ni electronic document hakuwa na njia nyingine ya kuipeleka?

Acheni kutetea ushetani kuua watu bila hatia
I agree with you 100 % majasusi wengi wa Marekani na Israel wanatumia passport za Canada na Australia hivyo walikuwa wanasepa na documents Nyeti za nchi ya Iran, Russia wakawashitua rafiki wao Iran, ndo yakatokea hayo. hii dunia ni uwanja wa fujo rip Prof kezirahabi nguri wa fasihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walibomoa ukuta tu pale teh! teh! Ni hasara iliyoje, kutumia makombora ya mabilioni kubomoa ukuta wa laki mbili!! Huku kombola lingine likienda kuua wairan 145 Kwa kweli Iran kaanza mwaka vibaya.
1. General na wenzake chali.
2. Raia 56 chali kwa kukanyagana msibani.
3. Wairan 145 chali kwenye ndege.
4. Makombora ya gharama kuambulia kubomoa ukuta wa laki mbili.
5. Kombora lililogharamikiwa kwa kodi ya wairan kutumika kuua walipa kodi wenyewe.

Ukiangalia hii hasara yote ya Iran imesababishwa na drone ya US iliyokuwa operated na mwanamke. Mwanamke wa kimarekani kaleta kilio kikuu kwa taifa la Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app


umelenga sawia.

Takkbiirr ...Allahu Akbar!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran wanastahili kuadhibiwa kwa kuua watu wengi
Acha ushirikina mkuu.Majasusi hawana akili kama yako waondoke kwa ndege moja.

Iran wanastahili kuadhibiwa kwa kuua watu wengi jinsi hii pasipo kuwa na hatia.

Pamoja na upuuzi wao ila hawawezi kuwa na akili kama yako.Mtu atoke kwake, apite air port,apande ndege,akishapanda ndo useme walikuwa majasusi?

Sent using Jamii Forums mobile app
America ameuwa watu wangapi? Au nyinyi ndio wale nyani kwa hamuoni makalio yenu mnaona ya wenzenu? Tumieni akili basi za kuzaliwa mnapocomment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap ilitokea Tehran kwenda Ukrain na ndege ilipewa direction ya kupita ila inasemekana rubani alibadiri uelekeo na alikuwa anarudi alikotoka mfano ndege inatoka Dsm inaeleke mbeya ghafla inageuzia morogoro kurudi Dsm ,na haikutunguliwa na makombora yaliyoelekwezwa Iraq ni makombora ya ulinzi wa anga.
Kuna mabadiliko ya madai.

Wanadai kuwa ndege ilikuwa katika mwenendo ama uelekeo wa kawaida tu na wala haikugeuza kurudi ilikotoka.

Kuhusu kama ilitunguliwa kwa bahati mbaya ama kwa makusudi, uchunguzi huru utakapofanyika, huenda ukabaini hilo hapo baadaye.
 
Hapa somo ni Iran kujipiga wenyewe na wa Iran kuweka box la data kwapani na kukanusha vikali na kutukana USA.

Na leo wamekubali wao ndio wamesababisha ajali na kuua.

Kumbuka ni walitakiwa wasitishe ndege za abiria za kawaida zisiruke lakini wao wakarusha makombora nchi nyingine huku wakijua ndege za abiria zinaruka kama kawaida wala hawakuzisitisha.

Sasa anzia hapo ujinga wa USA mada tofauti kabisa mkuu, punguza. hasira

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau basi muwe mnafuatilia taarifa ya habari. Kama hilo ni gumu angalau tumia sehemu yako ya akili japo kidogo.

Anga ya Iran ilikuwa kwenye war zone! Na radar huwa haionyeshi ndege ya raia au ya kijeshi. Kinachoonekana ni object tu. Kwenye tension waliyokuwa nayo Iran ya kurusha makombora kwenye kambi ya Amerika nchini Iraq unafikiri kitakachokatiza kwenye anga yao watakiuliza?

Jaribu kufikiri tu! Hata Tanzania ingelikuwa kwenye hiyo hali halafu iwe ndege inapita kwenye anga yake itaiuliza?

Na swali jengine, kwa nini hiyo ndege ikatize kwenye anga ya nchi ambayo ilikuwa kwenye hali ya kushambulia na kujihami (war zone)?
 
Hahahahahahaha
Naapa kila kitu alichisema mtoa mada ni ukweli mtupu. ...hii pia ilitokea hapa tanzania mkoa wa kagera,majangili waliiba document nyeti za Tanzania na wakawa wanatorokea border ya Uganda iliyopo mkoani humo...Magufuli aliposikia hivo akaagiza tetemeko huko kagera lililowaua pia hao majasusi....ndomana serikal haikutangaza vifo vya wahanga wa tetemeko wala haikutaka kutoa msaada kikamilifu kwa raia wa kagera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ni nani zuzu???--- si wewe unayeiga kuapa kwa jua !![emoji1787], kama kiapo hicho ni kibaya mbona umeiga??.--- hivi wewe kweli unajitambua??.

Maana yake isiwe ninaongea na mtu asiyejitambua!!!
Kwani nmesema kiapo ni kibaya???
Kama kibaya kwanini niliapa mwanzoni??we vipi??wakati nilipoapa we ndo ukanijia juu na kuanza kunitukana eti nitachomwa na jua ninaloliapia...namimi nikakuambia nimemuiga Allah basi mwambie Allah nayeye atachomwa na ilo jua analoliapia au unamuogopa?
 
Licha ya kuwa na majasusi iliruka wakati ambao makombora ya Iran yaki tokea aridhini!!
Ndege nyingi hutumika kupiga picha!!
Makombora ya Iran ni Siri kubwa sana mengi hurushwa kutoka aridhini na haijulikani yapo kwenye mapango ya milima gani!
Nadhani walipo gunduwa kuwa kuna ndege imeruka wakati makombora yakitoka aridhini wakaona hakuna jinsi zaidi ya kuishusha!!!
Note Irani wamesha sema kwenye black box sehemu ya kumbu kumbu imeunguwa! Maana kukitoa kikiwa na kumbu kumbu kutunguwa ndege inakuwa haina maana!
Kumbuka adi leo makombora yaliyo piga vituo vya mafuta vya Saudi Arabia hayajulikani yalitokea sehemugani!
Pia yaliyoiga base ya marekani huko Iraq adi Iran walipo sema tumepiga sisi haikujulikana yametikea pande gani licha ya kutoa tarifa kuwa itazipiga base za marekani!
Irani sio ya kuchukulia poa!
Nasema kama walikua majasusi wamepata walichokistahili sanaa

Kama walikua raia wakawaida jamaa wamefanya unyama wahali yajuu kabisaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walitakiwa wasitishe ndege za Abiria zisitembee kwenye anga lao kama walikuwa wanajua watafyatua makombora 12 kwenda Iraq na kwamba ni uwanja wa mapambano.

usa alipotungua ndege ya iran alikubali wa Iran walikatalia data hawampi Boeing mwenyewe wakaenda kujichimbia wanazichungulia wenyewe, pamoja na lugha za kejeli. Leo wao wana kubali yale yale.

Na wewe acha muhemko ukweli ndio huo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Former member of the United States Senate Daniel Patrick Moynihan alisema
"Everyone is entitled to his own opinion, but not to his own facts."

Ndege ya Ukrain ilichelewa kutuma signal wakati Iran inarusha makombora. Kilichotokea nayo ikafyatuliwa kombora. Unfahamu hili?

Iran amewekewa vikwazo na Marekani na Boeing ni kampuni ya Marekani ambayo kutokana na vikwazo haitakiwi kuwa na mahusiano na Iran. Umejiuliza na hili?

Ukraine, Canada na nchi nyenginezo ziliruhusiwa kwenda Iran kwa ajili ya uchunguzi. Iliyokataliwa ni Amerik tu! Unafahamu hili? Wewe kweli taarifa ya habari unaangalia?

Mbona mnaandika vitu vya ajabu sana?
 
Angalau basi muwe mnafuatilia taarifa ya habari. Kama hilo ni gumu angalau tumia sehemu yako ya akili japo kidogo.

Anga ya Iran ilikuwa kwenye war zone! Na radar huwa haionyeshi ndege ya raia au ya kijeshi. Kinachoonekana ni object tu. Kwenye tension waliyokuwa nayo Iran ya kurusha makombora kwenye kambi ya Amerika nchini Iraq unafikiri kitakachokatiza kwenye anga yao watakiuliza?

Jaribu kufikiri tu! Hata Tanzania ingelikuwa kwenye hiyo hali halafu iwe ndege inapita kwenye anga yake itaiuliza?

Na swali jengine, kwa nini hiyo ndege ikatize kwenye anga ya nchi ambayo ilikuwa kwenye hali ya kushambulia na kujihami (war zone)?
...kinaachoonekana ni object tu...
Hammaz, kwani wewe una knowledge yoyote kuhusu masuala ya rada au utaalamu wako uko nyuma ya keyboard?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nakuletea theories tu mkuu.
Theory ya pili inasema inawezekana ndege ilibeba sensitive information kwa usiri/usalama wa yanayoendelea Iran/Iraq. Hasahasa kwenye ile timing ya missile walizorusha.. Iran had no choice but to bring it down.
Haya mambo huwa yanatokea sana! Tatizo watu hawajui kwa sababu hawataki kufuatilia mambo.

Urusi iliishusha ndege ya abiria sikumbuki ni ndege ya nchi gani ilipita karibu na usawa na Chuo chao cha Ujasusi.
 
Screenshot_20200111-225748.png

Nakujibu kwa mchoro tu.
...kinaachoonekana ni object tu...
Hammaz, kwani wewe una knowledge yoyote kuhusu masuala ya rada au utaalamu wako uko nyuma ya keyboard?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani nmesema kiapo ni kibaya???
Kama kibaya kwanini niliapa mwanzoni??we vipi??wakati nilipoapa we ndo ukanijia juu na kuanza kunitukana eti nitachomwa na jua ninaloliapia...namimi nikakuambia nimemuiga Allah basi mwambie Allah nayeye atachomwa na ilo jua analoliapia au unamuogopa?


Wewe nimegundua ni mtu usiyetafakari mambo, huwa unakurupuka tu.

Wewe umetoa kiapo (cha jua) kwa mambo ya Uongo, Binadamu huwa anaapa kwa Mungu na hata maraisi hushika vitabu vya Mungu wanapoapa kwa maana ya kuapa mbele ya Mungu, sasa Mungu anapoapa unataka aape mbele yake mwenyewe?? that's nonsense and inconceivable. Mungu anaapa kwa jua kwasababu jua ni Universal object, hakuna binadamu aliyekuwa kamili ambaye hajaliona jua katika uhai wake hivyo jua linathibitisha uwepo wa Mungu na utukufu wake, kwa kuliona jua tu mtu unaweza kutambua uwepo wa Mungu nk, Mungu hawezi kuapa kwa kitu ambacho hakina athari kwa wanadamu kwa ujumla hiyo kwa kifupi ndiyo falsafa behind God oaths.

Sasa wewe unajifanya Mungu kwa kula kiapo cha jua kwa habari yako ya uzushi, uongo na uzandiki, Nakutahadharisha kama Binadamu mwenzangu kwamba; you are exceeding the limits, God will catch you unexpectedly, I argue you to stop immediately. Qur'an is His words no one dared to play with it remained safe. After this warning I surely believe that you will grasp the point.
 
Back
Top Bottom