Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Hii kitu ni kama picha la kihindi hivi

1. Marekani inaua watu 2, Jenerali Qasseim na mwenzake.

2. Iran inakasirika na kuzipiga kambi za marekani, makombora hayauwi mtu na mengne hayalipuki kabisa.

3. Iran wanamzika Jenerali qasseim, watu 56 wanakufa kwa kukanyagana hapo msibani.

4. Iran ikiwa tayari kujibu shambulio lolote la marekani, mara wanaona ndege inakatiza usawa wa kambi zao za jeshi, wanaitungua na kuua watu 176 wakiwemo raia wa irani 82.

5. Iran inaondoa haraka mabaki eneo la tukio, kabla ya uchunguzi kufanyika.

6. Baada ya siku 3 za kukataa kuhusika kulipua ndege hiyo ya abiria, Iran inakiri kuipiga ndege kimakosa,na kuahidi kuadhibu wahusika.

7. Jumla ya raia wa iran waliopoteza maisha kwenye kadhia hii hadi sasa ni 140 (2+56+82).

Sent using Jamii Forums mobile app

Iran ni level za Malawi kwa uwezo walioonyesha kwenye hili sakata, hata bongo tumewashinda.
 
Yesu badala ya kuulaani ule mti (fig tree) kule Bethany ni bora angekuwa anawalaani watu kama nyie kwa kuzua uongo na uzandiki bila aibu kwa kula kiapo kwa Mungu, wewe unadhani Mungu ni mjomba wako??!!
Nani kaapa kwa mungu...nimemuiga Allah namimi nimeapa kwa jua
 
USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
Sasa bora yupi huyo kubwa jjnga anayelinda watu wa imani yako au China anayewafungia kwenye makambi na kuwanyoosha vilivyo?
.
Mchina siku akishika usukani nakwambia mmeisha na allah akbar zenu
 
Hivi mbona mnakuwa wapumbavu mmeshaambiwa ni makosa ya kibinadamu, vipi na marekani ilipo idungua ndege ya abilia na kuuwa raia miambili na uchafu ilikuwa ni mihemuko?
Wewe mtoto acha kuita wakubwa wapumbavu.
Miaka 23 unaita watu wakubwa wapumbavu shenzy kabisa
 
Uko temeke ndani huko na tochi yako una eti unawaza kuwa kwanza uwezo wa Iran ni mdogo, wakati NATO walitoroka Iraq bila kutaka Acheni mahaba mnapocomment View attachment 1319509

Sent using Jamii Forums mobile app

Spain katoa, USA kaongeza.

Iran wameua kageneral kake, 56 Iranians wamekufa wakimuaga general wao, 82 Iranians wamekufa tena kwenye ndege iliyotunguliwa na Iran wenyewe. How dumb is Iran kujiua wao wenyewe badala ya mtu aliyewakosea. And yet, hakuna mmarekani hata mmoja kaguswa so far.

Iran ni level za Malawi hata bongo tumewashinda, ulinzi wao dhaifu, radar zao magumashi, na akili zao mbovu.
 
Hahah kumbe yule mbuzi nilosema kamzidi allah bado anakusumbua akili...usiwaze soon ntakuletea proof ila kwanza kabla hujaelekeza kibla chako Kwenye banda lako la mbuzi nataka ujue siyo mbuzi tu aliye juu ya Allah...Allah analiapia hadi jua labda huko ndo uelekeze kibla yako
Qur'an 91:1. Naapa kwa jua na mwangaza wake
Huyo huyo Mungu wako jua atakuchoma moto kwa uongo wako wa mbuzi katoliki kula karatasi.
 
It's kuwa bahati mbaya tu,ujue ule usiku kulinuka balaa we fikiria ndege za iran zilivuka mpaka na kuingia Iraq zikawa Zinazunguka huko,wakati huo ndege za marekani zikinyanyuka toka United Arab Emirates,wairani walikuwa wanajua marekani atajibu usiku huo huo.
Ndani ya hiyo ndege ila alikuwemo mwanadada was ki Ukraine director was shirika moja la ndege linalotuhumiwa na marekani kufanya biashara ya kusafirisha silaha kwenda Libya na Kuna ndege za shirika Hilo zimewahi kulipuliwa na drone za marekani,
Lakini hiyo sio sababu Kama Iran wameshakili kuitungua ndege hiyo
 
Sasa bora yupi huyo kubwa jjnga anayelinda watu wa imani yako au China anayewafungia kwenye makambi na kuwanyoosha vilivyo?
.
Mchina siku akishika usukani nakwambia mmeisha na allah akbar zenu


Mchina anapambana na wanasiasa kutoka Nchi za Mashariki (Umoja wa kisoviet ya zamani)Tukmenidtan, Arzebaijan, kazakhstan, Uzbekistan nk, hao wemeingia kwa Wingi china na China haiwataki humo nchini kwao, karibu hao wote ni Waislamu, kwahiyo kinachofanyika china sio vita dhidi ya Waislamu bali ni vita kati ya serikali ya china na wahamiaji wasiokuwa wachina ambao ni Waislamu, lakini kimsingi sio mapambano ya kidini.

America yeye anapambana na Waislamu nje ya mipaka yake, Kapiga Afghanistan, kapiga Iraq, Kapiga, libya, kapiga Somalia, kapiga Syria, kapiga Sudani, kapiga lebanon akishirikiana na Israel, leo anataka kupiga Iran, kesho atapiga oman, Kapiga Yemen akisaidiwa na Saudi arabia, ilmuradi dunia yote ipo tete kutokana na hili kubwa jinga na uroho wake wa mafuta ili liweze kuendesha mamilioni ya magari nchini mwake na viwanda vyake, America ni jambazi sugu la dunia linalojifanya jitu jema sana huku limejaa hila na uongo.

Laana juu yake, ni hivi punde tu litadondoka kama mbuyu unavyodondoshwa..
 
It's kuwa bahati mbaya tu,
kama ni bahati mbaya kwanini PM wa Canada anang'ang'ana apate full/complete investigation ndani ya Iran ( tofauti na reaction ya raisi wa Ukraine) wakati anajua ni bahati mbaya?

PM alijaza maspy wake mle na Tehran walistuka ilo ndio maana wakaitungua na missiles 2 takatifu ili asitoke mtu, wote wawe majivu, speaking of 82 Iranian victims, hio ni collateral damage
 
Hahah kumbe yule mbuzi nilosema kamzidi allah bado anakusumbua akili...usiwaze soon ntakuletea proof ila kwanza kabla hujaelekeza kibla chako Kwenye banda lako la mbuzi nataka ujue siyo mbuzi tu aliye juu ya Allah...Allah analiapia hadi jua labda huko ndo uelekeze kibla yako
Qur'an 91:1. Naapa kwa jua na mwangaza wake


Sasa ni nani zuzu???--- si wewe unayeiga kuapa kwa jua !!🤣, kama kiapo hicho ni kibaya mbona umeiga??.--- hivi wewe kweli unajitambua??.

Maana yake isiwe ninaongea na mtu asiyejitambua!!!
 
I agree with you 100 % majasusi wengi wa Marekani na Israel wanatumia passport za Canada na Australia hivyo walikuwa wanasepa na documents Nyeti za nchi ya Iran, Russia wakawashitua rafiki wao Iran, ndo yakatokea hayo. hii dunia ni uwanja wa fujo rip Prof kezirahabi nguri wa fasihi.

Watu mnajua kujifariji sana!
 
UPDATE: Iran's Hassan Rouhani speaks to Canada's Justin Trudeau, promises further investigation into crash.
 
UPDATE: An Iranian official has walked back the claim that the Ukrainian jet took an unexpected turn and said it was flying in a "normal" direction. [NY Times]
 
Acha ushirikina mkuu.Majasusi hawana akili kama yako waondoke kwa ndege moja.

Iran wanastahili kuadhibiwa kwa kuua watu wengi jinsi hii pasipo kuwa na hatia.

Pamoja na upuuzi wao ila hawawezi kuwa na akili kama yako.Mtu atoke kwake, apite air port,apande ndege,akishapanda ndo useme walikuwa majasusi?
huenda kwenye ile ndege Iran iligundua kuna majasusi "high profilewa Isrsel, Marekani na nchi hasimu waliokuwa wakisepa na taarifa nyeti kuhusu Iran ikaamua kuwatungua

Thinking aloud!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes ni mmoja au wawili tu.. Majajusi huwa hawasafiri kundi zima hata siku moja
huenda kwenye ile ndege Iran iligundua kuna majasusi "high profilewa Isrsel, Marekani na nchi hasimu waliokuwa wakisepa na taarifa nyeti kuhusu Iran ikaamua kuwatungua

Thinking aloud!

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom