Sisi Tanzania tunaweza kutungua ndege ya wapi? Usije ukanijibu ya ufipa tuDynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
Hatimae Iran imekubali kwamba ilitungua Ndege ya Ukraine kimakosa
Iran says it "unintentionally" shot down Ukrainian airplane
Iran says it 'unintentionally' shot down plane
Sent using Jamii Forums mobile app
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Tambua hiyo mitambo inaongozwa na binadamu kwa hiyo suala la kukosea ni jambo la kawaida.Jamaa walidhani ni drone nyingine ya Marekani imekuja kummaliza Ayatollah nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona mnakuwa wapumbavu mmeshaambiwa ni makosa ya kibinadamu, vipi na marekani ilipo idungua ndege ya abilia na kuuwa raia miambili na uchafu ilikuwa ni mihemuko?View attachment 1319052
Hiki ndo alichokifanya Iran, raia wako 82 unawaua Kwa mihemko
Wamekwisha kukubali.
Ni kweli, inasikitisha.Wameuwawa Wasio Na Hatia, Ila Hii Hali Ni Mbaya Sana Watu 176
Upuuzi gani wakati umesha ambiwa ni makosa ya kibinadamu?wewe vip?Mjinga kweli wewe yaani unataka kuhalalisha upuuzi walioufanya kwa kutumia suala hili, maana naona Kila sehemu unajibu kwa kutumia upuuzi huu.