Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...weka chanzo cha habari Ili kukazia zaidi.Katika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
Duh!...weka chanzo cha habari Ili kukazia zaidi.
Bora wangemuacha hapo Mossad Wana jicho Kali wakimuhitaji hata aendeshimoni watampataKatika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
😂😂😂😂Yahudi alikula njama ya kumuua Yesu sasa unadhani akiamua kumuua Ayatollah anashindwa?
Yahudi dhalimu alishaitwa uzao wa Nyoka na watoto wa baba yao Ibilisi ambaye ni muongo na muuaji toka kale
Yesu aliuawa na viongozi wa dini ya kiyahudi ila wapo baadhi ya wayahudi waliomkubali....Yahudi alikula njama ya kumuua Yesu sasa unadhani akiamua kumuua Ayatollah anashindwa?
Yahudi dhalimu alishaitwa uzao wa Nyoka na watoto wa baba yao Ibilisi ambaye ni muongo na muuaji toka kale
Duh!...weka chanzo cha habari Ili kukazia zaidi.
Bahati nzuri MOSSAD wana mawakala na watoa taarifa wa kutosha ndani ya Jeshi la Iran na taasisi nyingi za huko.Katika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
God Bless IsraelKatika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa