Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Makatili Kuliko Waarabu...........Kosa langu lipo wapi huo ugoro mbona siuoni?
Waajemi hata kabla ya mtume Mohamad na Uislamu kiasili ni makatili ingawa ni taifa la kale kujitambua na kutaka waachwe katika itikadi zao za kizamani kutotambua haki za utu.
Waajemi ni watu makatili kiasilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Retaliation ni lazima, na wengi wasiojua mambo wanadhani ni lazima Iran ajibu nayeye kwa kuingia kwa battlefield hawajui kuwa wars are fought on many fronts.
Sio wanasiasa uchwara wale. Subiri breaking newsSidhani kama Irana watafanya lolote siku za usoni kujibu shambulizi la Marekani kwa huyo general. Kitendo cha kupandisha red flag ni kama kitisho tu ili mmarekani nae tumbo limkate. Strategy ambayo nauhakika Iran wata infiltrate magaidi na kuwapiga marekanj kwao pale in small scale. Sidhani kama itatokea watu wakaingia uwanja wa vita. Wataendelea kupasuana chini kwa chini.
Expect kusikia mashambulizi ya kigaidi dhidi ya raia wa US sehemu yoyote dunuani na US penyewe yakiongezeka na pia tegemea kusikia air strikes za US zikiongezeka kwa vikundi vya kigaidi lakini real war is unlikely.
Aisee,nikajua unafaham mambo ya kulana mzigo tu,kumbe na huku humo😛Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta
Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Utasema na Somalia waliipiga US, utasema na North Korea inaogopwa na US, akili ndogo sihitaji hata kubishana
Hapa mnabishana wakristo na waislam. Kwa kifupi vita sio nzuri.Lakini unaweza kuilinganisha Iran na Marekani kwa nguvu za kijeshi?
Nyie ndo mnawalisha watu roho za uoga.
Mtu anakuingilia mpaka chumbani kumla mkeo anakukula kiboga na wewe bado unakaa kimya?
Mwanaume yeyote anayedindisha hajazaliwa na roho ya uoga.
Waache wafe kishujaa waingie kwenye record ya dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu
Hapa mnabishana wakristo na waislam. Kwa kifupi vita sio nzuri.
Na Iran hata akisaidiwa na marafiki zake badi uwezo wa kupigana na Marekani hana hata nusu, atapigwa tu.
Waislam wa jf wana tabia ya kuichukia Marekani ndio maana wapo radhi waongee uongo ili kujifurahisha.
Marekani wana nguvu sana za kijeshi sio wa kuchezewa hata kidogo. Sadam Hussein ni mfano mmojawapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama wameweka Bendera nyekundu ni sawa inaweza kuwa ni mashabiki wa Simba.
Huu ni mkwara a.k.a biti! na hii ni ishara ya mtu muoga!!HIKI NDICHO HUWA KINACHONITISHA MAREKANI HANA MBWEMBWE ZA KUONESHA MAGWARIDE YA SIRAHA ZAKE HASA ZILE MPYA
Wali invest kiasi gani cha fedha?Wafuga ndevu mmeshapewa go ahead...mshapigwa,rusheni ngumi sasa[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana huyo jamaa, master of deception. Anakuambia
"All warfare is based on deception. Hence, when we are able to attack, we must seem unable; when using our forces, we must appear inactive; when we are near, we must make the enemy believe we are far away; when far away, we must make him believe we are near"
Hapana dada, Trump ameweka hizo data i.e gharama kubwa zilizotumika, ambazo sio uhalisia wa mambo yalivyo, ili tu kuwatisha Iran ambao budget yao ya jeshi ni ndogo. Kiuhalisia ni vitisho tu, angekuwa anamaanisha wala asingekuwa na haja ya expose exact figures walizo invest kwenye hizo silaha, ni mkwara mbuzi tu wala usitishike na Trump.
Tell you what.. jellyfish are creature without brain and they've managed toq exists for over billions of years.Dumbest comment of the new decade already and it's only 5th of January.