permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Na Trump alivyosema huyu jamaa ni monster ukaamini pia kwa sababu ni mzungu kasema?? Soon utafanania hao wahindi!Sasa kama Vice President amesema,unataka nisimuamini yeye nikuamini wewe mwenzangu wa hapa kwa kwa msuguri?
Wahindi wanasema Nehi nehi nehi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita unashinda kama mnakufa kama nzi?Mbona nimekwisha andika wa-vietcong walikua hawaogopi kufa kabisaa, cha msingi wao washinde ile vita FULL STOP.
Kwani US alifanikiwa kupata kilichompeleka huko Vietnam?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ulitaka wakae kama kuku wakisubiri US ishinde kisa wanaogopa kufa?
Na Trump alivyosema huyu jamaa ni monster ukaamini pia kwa sababu ni mzungu kasema?? Soon utafanania hao wahindi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa tukizungumzia na Vietnamese waliogeuzwa vilema mzee si watafika milioni zaidi ya 10..! Anayejipa moyo ni nani?Usisahau na wanajeshi zaidi ya 150,000 waliourudishwa US wakiwa Vilema.
Lengo la vita ni kushinda full stop,hizo nyingine ni story tu kujipa moyo.
Wavietnam suala la kuumizwa kwao halikua inshu ndio maana walikufa kwa mamilioni na wala hawaoni kama kwao ni big deal.
Coward Marekani alikimbia baada ya kuona mziki mnene huu,hajazoea kusulubishwa namna ile.
Ndio manaa sa hivi nchi kibao zinataka ma nuke kama yale ya Russia ili Marekani aje aonjeshwe utamu wa kupigania ndani ya ardhi yake.
Kwani US akienda kupigana Iran anaenda kwa Lengo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah uzuri wa viet-cong huwezi kusikia wanajiliza jilza hovyo hovyo kama Veterans wa USSasa hapa tukizungumzia na Vietnamese waliogeuzwa vilema mzee si watafika milioni zaidi ya 10..! Anayejipa moyo ni nani?
Yaani wewe uuwawe kwa mamilioni nchi iharibiwe useme sio big deal? Hahaa
Hata Mabedui wanaweza kudai kuwa sio Waarabu tukakubali. As long as wako Arabuni basi inaswihi kuwaita Waarabu. Ni sawa pia kuwaita Wamisri kuwa Waafrika ingawa ni Waarabu.Iran sio Waarabu...... Ni Waajemi waislam
Still haiondoi fact kuwa Vietnam aliumizwa sana na USA. Kama unaona wanajeshi elfu 58 wa USA kuuawa ni big deal ila wa Vietnamese milioni 4 kuuawa sio big deal, basi Wamarekani ndio binadamu kwako, hao Vietnam ni wanyamaHahah uzuri wa viet-cong huwezi kusikia wanajiliza jilza hovyo hovyo kama Veterans wa USView attachment 1313843
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwenye akili hiyo shabaha ya hilo makombora inatosha kumfanya akae kimya ili asionekane mbwatukaji, hebu fikiria hiyo shabaha ya kombora (sio risasi) na bado halikusababisha madhara kwa watu na maeneo ya jirani.Ila Marekani naye noma sana aisee! Kamwacha Jenerali Qassem kapiga domo wee! Katukana weee! Ametukana kweli kweli sio mchezo kumbe wanamlia timing tu. Ha ha ha wamenyofoa kama kuku yani.
Still haiondoi fact kuwa Vietnam aliumizwa sana na USA. Kama unaona wanajeshi elfu 58 wa USA kuuawa ni big deal ila wa Vietnamese milioni 4 kuuawa sio big deal, basi Wamarekani ndio binadamu kwako, hao Vietnam ni wanyama
Kwa hiyo kati ya aliyepoteza watu milioni 4 na nchi kuharibiwa, na aliyepoteza watu elfu 58, aliyekula kipigo heavy ni aliyepoteza watu elfu 58?Na still haiondoi ukweli kwamba US na mbwembwe zake zote alikula kipigo heavy akafunga virago kwa aibu kurudi kwao.
GOODMORNING,Vietnam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwenye akili hiyo shabaha ya hilo makombora inatosha kumfanya akae kimya ili asionekane mbwatukaji, hebu fikiria hiyo shabaha ya kombora (sio risasi) na bado halikusababisha madhara kwa watu na maeneo ya jirani.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran imeizidi America kwenye Propaganda ya kutafuta Wafuasi Nchini Iraq kuanzia mitaani kwa Raia mmoja mmoja hadi kwa Watawala
America imetumia nguvu kubwa kumtoa Saddam bila ya msaada wa Iran, then imesimika dola then Dola na Raia mmoja mmoja wanaiona America ni Adui yao baada ya Propaganda kali sana ya Iran
PM wa Iraq Mahdi jana kailaani hadharan America kwa shambulizi lile , Hata Spika wa Bunge la America amelaani
Hata Pentagon kukwepa lawama wamekimbilia kutoa press release kuwa uamuzi wa kuwaua Makamanda wale wawili wale ni Maagizo ya Rais Trump,
Hata Muqtada El sadri nae kishachochea moto Iraq hali imewalazimu US iamuru Raia wake wote waondoke Iraq na Timu yao ya Mpira ime cancel trip ya kwenda Doha Qatar kwa sababu za kiusalama
Tayari Iran kaipiku Saudia kwenye ushawishi Middle East japo Wa Iran sio waarabu lakin wameanza kukubalika mpka mitaa ya Jiddah na kwingineko, ni hatare sana kwa hatma ya Ma Sheikh, Ma Sultan na Wafalme wa Middle East
Hakuna namna nyingine zaid ya kuchokoza vita ili zipigwe na kuangusha dola ya Iran iliyodumu kwa miaka 40 ( 1979 to date )
Kwa hiyo kati ya aliyepoteza watu milioni 4 na nchi kuharibiwa, na aliyepoteza watu elfu 58, aliyekula kipigo heavy ni aliyepoteza watu elfu 58?
Budget za billions kwani si he hela tu hizo, hata zingekuwa trilions, sasa unalinganisha hela na maisha ya mamilioni ya watu?Vipi kati ya aliyekuja na mbwembwe za Budget za $billions,sophisticated weapons akachezea kichapo kutoka kwa wakulima mpk akakimbia na hakufanikiwa kwenye agenda yake zaidi ya kurudisha miili ya wanajeshi wake kwao(ambao waliaminishwa wao ni the best duniani) nani alishinda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maswali pia angeulizwa Trump aliyekimbia kupelekwa kwny vita vya vietnam kwa kuzuga anaumwa lkn leo anapeleka watoto wa watu middle east wakajifie sababu ya uroho wa pesa(military industrial complex)Budget za billions kwani si he hela tu hizo, hata zingekuwa trilions, sasa unalinganisha hela na maisha ya mamilioni ya watu?
Au waliouawa ni kumbikumbi?
USA iko mbali Sana, hawa maboya kamanda wao kapigwa usiku akiwa kazini.
Lazima wajiulize kuwa USA iko kila kona ya dunia.
Iran itafumuliwa na America itaweka utawala mpya, watachimba mafuta kufidia gharama za vita.
Iran tulieni tu, Ayatollah watakuja kumkamata Kama kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa ni Chizi kweli umenifurahishaWatu na intelligensia yao.. hatari sana.
Wanakumonitor kila sehemu.
"Mr President, the suspect is now pooing"
Hakuwahi kusema waafrika ni shithole - ukijiona ni mmoja wapo usijumuishe wengine.Trump alisema Wa-africa ni shithole.
Wewe unajiona una utofauti wowote na hao shithole?
Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia tena kwa niaba yake,ni shithole tu.Hakuwahi kusema waafrika ni shithole - ukijiona ni mmoja wapo usijumuishe wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app