Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Usisahau na wanajeshi zaidi ya 150,000 waliourudishwa US wakiwa Vilema.

Lengo la vita ni kushinda full stop,hizo nyingine ni story tu kujipa moyo.

Wavietnam suala la kuumizwa kwao halikua inshu ndio maana walikufa kwa mamilioni na wala hawaoni kama kwao ni big deal.

Coward Marekani alikimbia baada ya kuona mziki mnene huu,hajazoea kusulubishwa namna ile.

Ndio manaa sa hivi nchi kibao zinataka ma nuke kama yale ya Russia ili Marekani aje aonjeshwe utamu wa kupigania ndani ya ardhi yake.

Kwani US akienda kupigana Iran anaenda kwa Lengo gani?





Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa tukizungumzia na Vietnamese waliogeuzwa vilema mzee si watafika milioni zaidi ya 10..! Anayejipa moyo ni nani?
Yaani wauwawe kwa mamilioni, mamilioni wageuzwe vilema, nchi iharibiwe useme sio big deal? Kama Vietnamese kuuawa kwa mamilioni sio big deal kwa nini uone Marekani wachache kuuawa ni big deal? Hahaa, au Vietnam ni wanyama?
 
Sasa hapa tukizungumzia na Vietnamese waliogeuzwa vilema mzee si watafika milioni zaidi ya 10..! Anayejipa moyo ni nani?
Yaani wewe uuwawe kwa mamilioni nchi iharibiwe useme sio big deal? Hahaa
Hahah uzuri wa viet-cong huwezi kusikia wanajiliza jilza hovyo hovyo kama Veterans wa US
Screenshot_2020-01-06-13-08-23-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah uzuri wa viet-cong huwezi kusikia wanajiliza jilza hovyo hovyo kama Veterans wa USView attachment 1313843

Sent using Jamii Forums mobile app
Still haiondoi fact kuwa Vietnam aliumizwa sana na USA. Kama unaona wanajeshi elfu 58 wa USA kuuawa ni big deal ila wa Vietnamese milioni 4 kuuawa sio big deal, basi Wamarekani ndio binadamu kwako, hao Vietnam ni wanyama
 
Ila Marekani naye noma sana aisee! Kamwacha Jenerali Qassem kapiga domo wee! Katukana weee! Ametukana kweli kweli sio mchezo kumbe wanamlia timing tu. Ha ha ha wamenyofoa kama kuku yani.
Kwa mwenye akili hiyo shabaha ya hilo makombora inatosha kumfanya akae kimya ili asionekane mbwatukaji, hebu fikiria hiyo shabaha ya kombora (sio risasi) na bado halikusababisha madhara kwa watu na maeneo ya jirani.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na still haiondoi ukweli kwamba US na mbwembwe zake zote alikula kipigo heavy akafunga virago kwa aibu kurudi kwao.

GOODMORNING,Vietnam.
Still haiondoi fact kuwa Vietnam aliumizwa sana na USA. Kama unaona wanajeshi elfu 58 wa USA kuuawa ni big deal ila wa Vietnamese milioni 4 kuuawa sio big deal, basi Wamarekani ndio binadamu kwako, hao Vietnam ni wanyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na still haiondoi ukweli kwamba US na mbwembwe zake zote alikula kipigo heavy akafunga virago kwa aibu kurudi kwao.

GOODMORNING,Vietnam.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kati ya aliyepoteza watu milioni 4 na nchi kuharibiwa, na aliyepoteza watu elfu 58, aliyekula kipigo heavy ni aliyepoteza watu elfu 58?
 
Vipi the most sophisticated US Drone iliyoshushwa na vijana wa ki-Iran na ikawa dis-assembled bila shida wala kuleta madhara?

Kwa mwenye akili hiyo shabaha ya hilo makombora inatosha kumfanya akae kimya ili asionekane mbwatukaji, hebu fikiria hiyo shabaha ya kombora (sio risasi) na bado halikusababisha madhara kwa watu na maeneo ya jirani.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nmekuelewa vyema mno
Iran imeizidi America kwenye Propaganda ya kutafuta Wafuasi Nchini Iraq kuanzia mitaani kwa Raia mmoja mmoja hadi kwa Watawala

America imetumia nguvu kubwa kumtoa Saddam bila ya msaada wa Iran, then imesimika dola then Dola na Raia mmoja mmoja wanaiona America ni Adui yao baada ya Propaganda kali sana ya Iran

PM wa Iraq Mahdi jana kailaani hadharan America kwa shambulizi lile , Hata Spika wa Bunge la America amelaani

Hata Pentagon kukwepa lawama wamekimbilia kutoa press release kuwa uamuzi wa kuwaua Makamanda wale wawili wale ni Maagizo ya Rais Trump,

Hata Muqtada El sadri nae kishachochea moto Iraq hali imewalazimu US iamuru Raia wake wote waondoke Iraq na Timu yao ya Mpira ime cancel trip ya kwenda Doha Qatar kwa sababu za kiusalama

Tayari Iran kaipiku Saudia kwenye ushawishi Middle East japo Wa Iran sio waarabu lakin wameanza kukubalika mpka mitaa ya Jiddah na kwingineko, ni hatare sana kwa hatma ya Ma Sheikh, Ma Sultan na Wafalme wa Middle East

Hakuna namna nyingine zaid ya kuchokoza vita ili zipigwe na kuangusha dola ya Iran iliyodumu kwa miaka 40 ( 1979 to date )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kati ya aliyekuja na mbwembwe za Budget za $billions,sophisticated weapons akachezea kichapo kutoka kwa wakulima mpk akakimbia na hakufanikiwa kwenye agenda yake zaidi ya kurudisha miili ya wanajeshi wake kwao(ambao waliaminishwa wao ni the best duniani) nani alishinda?
Kwa hiyo kati ya aliyepoteza watu milioni 4 na nchi kuharibiwa, na aliyepoteza watu elfu 58, aliyekula kipigo heavy ni aliyepoteza watu elfu 58?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kati ya aliyekuja na mbwembwe za Budget za $billions,sophisticated weapons akachezea kichapo kutoka kwa wakulima mpk akakimbia na hakufanikiwa kwenye agenda yake zaidi ya kurudisha miili ya wanajeshi wake kwao(ambao waliaminishwa wao ni the best duniani) nani alishinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Budget za billions kwani si he hela tu hizo, hata zingekuwa trilions, sasa unalinganisha hela na maisha ya mamilioni ya watu?
Au waliouawa ni kumbikumbi?
 
Budget za billions kwani si he hela tu hizo, hata zingekuwa trilions, sasa unalinganisha hela na maisha ya mamilioni ya watu?
Au waliouawa ni kumbikumbi?
Hayo maswali pia angeulizwa Trump aliyekimbia kupelekwa kwny vita vya vietnam kwa kuzuga anaumwa lkn leo anapeleka watoto wa watu middle east wakajifie sababu ya uroho wa pesa(military industrial complex)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA iko mbali Sana, hawa maboya kamanda wao kapigwa usiku akiwa kazini.

Lazima wajiulize kuwa USA iko kila kona ya dunia.

Iran itafumuliwa na America itaweka utawala mpya, watachimba mafuta kufidia gharama za vita.

Iran tulieni tu, Ayatollah watakuja kumkamata Kama kuku

Sent using Jamii Forums mobile app

Na wao mbona weshaingia ikulu .Mtoto wa mwarabu anaoa mtoto wa Trump

IMG-20200106-WA0014.jpg
 
Back
Top Bottom