impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Waajemi siyo Waarabu ni jamii ya wahindi wenye itikadi kali za kiislamu ni jamii ya watu makatili kwenye uso wa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waajemi siyo Waarabu ni jamii ya wahindi wenye itikadi kali za kiislamu ni jamii ya watu makatili kwenye uso wa dunia.
Haya ni mawazo ya mtumwa kama wewe,Lakini kwa watu huru kama waajemi kukubali unyonge kwao ni mwiko.Iran ingetulia tu yaishe, itapoteza zaidi ya mara dufu kuingia vitani na USA, USA mwenyewe ana washirika kibao..Ana Saudia, UAE, Israel, NATO, bado mwenyewe ana nguvu kubwa ya kijeshi..hata kama Iran atafanikiwa kumuumiza Marekani basi yeye nchi yake itageuzwa vifusi zaidi kuliko hata Syria
Ishu ni kuishi maisha yako tu, mwenye nguvu mpishe, ishi kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili hizi CCM itatawala mileleUarabu sio race, ni utamaduni. So Iran ni mwarabu kwa kuwa ana tamaduni za Kiarabu.
Shida sio watakufa wangapi, Kuna wakati kulinda heshima ni jambo La muhimu hata kama itakugharimu kwa kiasi fulani.Kafa mmoja wanataka waongezeke watu watakaokufa kwanini kutangaza vita na watakaoathirika ni wasio na hatia IRAN ijitafakari kama imepandisha bendera nyekundu ni kuzidisha hofu kwa wananchi wake na si ajabu saizi wakimbizi wameshaanza huko
Sawaa....Ukishakua muislam unakua mwarabu by default
Jamaa kanifurahisha mnooo cjui Mashuleni Na Mavyuoni Hua Tunaenda Kufanya Nn Asee [emoji4][emoji3][emoji2][emoji16][emoji23]kwa hio hawa wakina juma wa huku tandale kwa bibi nyau nao ni waarabu..kisa ni waislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Unahisi Kuua Watu Ndio Kushinda Vita ?!
Israel is overratedMarekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta
Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala lakuisha kwa hili sahau MKUU Ila Suala Lajamaa Kutoa Majibu Kama Nnavyotaka Mm Na Wewe Hilo Pia SahauIran ingetulia tu yaishe, itapoteza zaidi ya mara dufu kuingia vitani na USA, USA mwenyewe ana washirika kibao..Ana Saudia, UAE, Israel, NATO, bado mwenyewe ana nguvu kubwa ya kijeshi..hata kama Iran atafanikiwa kumuumiza Marekani basi yeye nchi yake itageuzwa vifusi zaidi kuliko hata Syria
Ishu ni kuishi maisha yako tu, mwenye nguvu mpishe, ishi kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Itikadi kali za kiislam ndio zimekaaje hizo ?!Waajemi siyo Waarabu ni jamii ya wahindi wenye itikadi kali za kiislamu ni jamii ya watu makatili kwenye uso wa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atanisamehe lkn kwa hili ntalo ongea awe na mkewe halaf atokee mpuuzi mmoja huko awe anamchapia katika chmba alokodi ama nyumba na kwenye kitanda chake eti kisa jamaa ana gari na fedha ndio awe anamuachia kuja kulala na mkewe utakua utumwa wahali ya juu ndio ambao IRAN Anaukataaaaaa.....Mawazo ya mtumwa haya.
Kwa waajemi kukubali unyonge mwao no mwiko mkuu
Haya ni mawazo ya mtumwa kama wewe,Lakini kwa watu huru kama waajemi kukubali unyonge kwao ni mwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah shule hua 2na enda kufanya nn aseeUarabu sio race, ni utamaduni. So Iran ni mwarabu kwa kuwa ana tamaduni za Kiarabu.
SIMPLY IRAN CAN'T FIGHT WITH US
Hahaa, mawazo ya mtumwa, Iran ni mnyonge kwa USA hiyo ni fact, sio suala la kubishana au maoniMawazo ya mtumwa haya.
Kwa waajemi kukubali unyonge mwao no mwiko mkuu
Haya ni mawazo ya mtumwa kama wewe,Lakini kwa watu huru kama waajemi kukubali unyonge kwao ni mwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa langu lipo wapi huo ugoro mbona siuoni?Umeongea Vyema Mno Ila Umemaliza Na UgoroItikadi kali za kiislam ndio zimekaaje hizo ?!
Ukatili Wao Upi ?!
IRAN Wanataka Waachwe Wafanye MamboYaoKwauhuruWao Kama Wanavyo Fanya Wamagharibi wakiamua kuoana wao kwa wao hakna anae waingilia na IRAN Wanataka SameThings
Sent using Jamii Forums mobile app