Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NATO hawatapeleka hawewezi Vita na urusi.Hayo makombora yakifika mpakani mwa Ukraine na Urusi NATO nao hawatasita kupereka makombora ya long range missile Ukraine. Vita vya tatu vya dunia vitakuwa vimeanza rasmi
Kumbe hufuatilii chochote Ukraine inaungua hukoWeee unaota ukiwa wap?..
Unasemaje hawawezi wakati mpaka sasa wao ndio wanaotoa siraha na mafunzo kwa askari wa Ukraine? Unazifahamu stages za vita mkuu? Ndiomana mwanzo Urusi hakuiita vita bali ni OPERATION which means ataingia maeneo yenye migogoro tu kuhakikisha kuna amani. Sasa kitendo cha kushambulia Kiev eneo ambalo halina mgogoro nikutoka nje ya lengo la operation. Na hapo ndipo nchi marafiki zikaanza kutoa misaada. Juzi juzi ameshamburia maeneo mbalimbali ya Ukraine akijibu mapigo /retaliate kwa kitendo alichokiita ni SHAMBULIO LA KIGAIDI juu ya daraja la Crimea ambapo kivita ni sahihi bila kuvunja sheria za kivita, kosa ni makombora mengine kutua maeneo ya raia.NATO hawatapeleka hawewezi Vita na urusi.
Kama wanaweza kwanini wasiingie moja Kwa moja wao kama NATO?Wanaogopa kila siku wanasema hawawataki Russia USO Kwa USO.Unasemaje hawawezi wakati mpaka sasa wao ndio wanaotoa siraha na mafunzo kwa askari wa Ukraine? Unazifahamu stages za vita mkuu? Ndiomana mwanzo Urusi hakuiita vita bali ni OPERATION which means ataingia maeneo yenye migogoro tu kuhakikisha kuna amani. Sasa kitendo cha kushambulia Kiev eneo ambalo halina mgogoro nikutoka nje ya lengo la operation. Na hapo ndipo nchi marafiki zikaanza kutoa misaada. Juzi juzi ameshamburia maeneo mbalimbali ya Ukraine akijibu mapigo /retaliate kwa kitendo alichokiita ni SHAMBULIO LA KIGAIDI juu ya daraja la Crimea ambapo kivita ni sahihi bila kuvunja sheria za kivita, kosa ni makombora mengine kutua maeneo ya raia.
Kitendo cha Iran kupeleka long range missiles Urusi na yakaanza kutumika, itakuwa it's a GO kwa NATO na nchi marafiki kumsaidia Ukraine with the same missiles na hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itakapokuwa imeanza rasmi na kuwepo kwa tishio la nuclear war
Wewe unafaidika vipi wenzako wakipigwa/pigana na kuuawa/kuuana?Makombora ya Iran yapelekwa nchini Russia kwa ajili ya kushambulia Ukraine
Iran yapeleka makombora aina ya Fateh-110 na zolfaghar.
Makombora haya yana uwezo wa kushambulia umbali wa kilometers 300 hadi kilometers 700.
Iwapo makombora haya yatatumika nchini ukraine, basi kila eneo lililopo nchini Ukraine litashambuliwa.
Wakati huo huo ukraine inashambuliwa kwa makombora kila eneo kutoka Russia.
Hali sio nzuri na raia wamekimbilia kwenye mahandaki.
Hali sio nzuri kwenye mpaka baina ya Ukraine na Belarus.
Pia jeshi la washirika belarus na Russia wataanza mashambulizi dhidi ya Ukraine.
View attachment 2389464
Mkuu,naomba kuuliza..hivi Ukraine yeye haruhusiwa kupiga makombora ya mbali kuelekea Urusi? Kama afanyavyo Putin.Badala ya yeye kujilinda tu ndani. Ama hyo time badoUnasemaje hawawezi wakati mpaka sasa wao ndio wanaotoa siraha na mafunzo kwa askari wa Ukraine? Unazifahamu stages za vita mkuu? Ndiomana mwanzo Urusi hakuiita vita bali ni OPERATION which means ataingia maeneo yenye migogoro tu kuhakikisha kuna amani. Sasa kitendo cha kushambulia Kiev eneo ambalo halina mgogoro nikutoka nje ya lengo la operation. Na hapo ndipo nchi marafiki zikaanza kutoa misaada. Juzi juzi ameshamburia maeneo mbalimbali ya Ukraine akijibu mapigo /retaliate kwa kitendo alichokiita ni SHAMBULIO LA KIGAIDI juu ya daraja la Crimea ambapo kivita ni sahihi bila kuvunja sheria za kivita, kosa ni makombora mengine kutua maeneo ya raia.
Kitendo cha Iran kupeleka long range missiles Urusi na yakaanza kutumika, itakuwa it's a GO kwa NATO na nchi marafiki kumsaidia Ukraine with the same missiles na hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itakapokuwa imeanza rasmi na kuwepo kwa tishio la nuclear war
Inachofanya Iran sio uislamu,huko ni kuchochea Vita.Makombora ya Iran yapelekwa nchini Russia kwa ajili ya kushambulia Ukraine
Iran yapeleka makombora aina ya Fateh-110 na zolfaghar.
Makombora haya yana uwezo wa kushambulia umbali wa kilometers 300 hadi kilometers 700.
Iwapo makombora haya yatatumika nchini ukraine, basi kila eneo lililopo nchini Ukraine litashambuliwa.
Wakati huo huo ukraine inashambuliwa kwa makombora kila eneo kutoka Russia.
Hali sio nzuri na raia wamekimbilia kwenye mahandaki.
Hali sio nzuri kwenye mpaka baina ya Ukraine na Belarus.
Pia jeshi la washirika belarus na Russia wataanza mashambulizi dhidi ya Ukraine.
View attachment 2389464
Ila USA na EU "NATO" wakipeleka silaha zao hawachochei vita?Inachofanya Iran sio uislamu,huko ni kuchochea Vita.
MK254
Akimpatia yeye atakuja kutumia nini baadaeAissee hizi shaheed 136 za Iran zinatusumbua sana...
Ni wakati wa Marekani kumpa Ukraine makombora ya masafa marefu
Military Doctrine ya Russia inasema nchi Yao ikishambuliwa then Ni halali yao kutumia Nuclear.Mkuu,naomba kuuliza..hivi Ukraine yeye haruhusiwa kupiga makombora ya mbali kuelekea Urusi? Kama afanyavyo Putin.Badala ya yeye kujilinda tu ndani. Ama hyo time bado
Kwa hyo inakulazimu tu kubakia mnyonge? Ili hali wewe unashambuliwa nchini kwako?Military Doctrine ya Russia inasema nchi Yao ikishambuliwa then Ni halali yao kutumia Nuclear.
[emoji23][emoji16][emoji23]Iran naye muda si mrefu nchini kwake moto unawaka wa vita
Yes boss,hapo Ni kua mpole tu, na ndio Maana NATO kila siku wanagoma kumpa Ukraine zile long range missiles.Kwa hyo inakulazimu tu kubakia mnyonge? Ili hali wewe unashambuliwa nchini kwako?
Jibu ni ndio MKUUKwa hyo inakulazimu tu kubakia mnyonge? Ili hali wewe unashambuliwa nchini kwako?
Nadhani hata yeye inabid pia ajiulize, otherwise hizo nuclear weapons awe nazo peke yake.Jibu ni ndio MKUU
Sababu hukatazwi kushambulia ila upo tayari na majibu yabaada ya kushambuliaaa !!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana hayo makombora na atakaye mpa makombora ya masafa marefu atakua kajiingiza kwenye target za RussiaMkuu,naomba kuuliza..hivi Ukraine yeye haruhusiwa kupiga makombora ya mbali kuelekea Urusi? Kama afanyavyo Putin.Badala ya yeye kujilinda tu ndani. Ama hyo time bado
Who is Russia? Kwamba yeye anaruhusiwa kupokea makombora kutoka Iran na kuwapigia wengine,but vice versa is not true?Hana hayo makombora na atakaye mpa makombora ya masafa marefu atakua kajiingiza kwenye target za Russia
Anguko la urusi limefika.Makombora ya Iran yapelekwa nchini Russia kwa ajili ya kushambulia Ukraine
Iran yapeleka makombora aina ya Fateh-110 na zolfaghar.
Makombora haya yana uwezo wa kushambulia umbali wa kilometers 300 hadi kilometers 700.
Iwapo makombora haya yatatumika nchini ukraine, basi kila eneo lililopo nchini Ukraine litashambuliwa.
Wakati huo huo ukraine inashambuliwa kwa makombora kila eneo kutoka Russia.
Hali sio nzuri na raia wamekimbilia kwenye mahandaki.
Hali sio nzuri kwenye mpaka baina ya Ukraine na Belarus.
Pia jeshi la washirika belarus na Russia wataanza mashambulizi dhidi ya Ukraine.
View attachment 2389464