Iran yapeleka makombora hatari ya Fateh nchini Urusi

Iran yapeleka makombora hatari ya Fateh nchini Urusi

Mkuu nadhani hata historia ya Olevel kuhusu Major conflicts in the world hauna therefore sishangai kwanini hujui nini maana ya vita vya dunia. So SAD kutojua AFRICA itahusika vipi kwenye vita vya dunia!
Wakumsaidia huyu mtu tafadhali
Wapigane wao uhusishe dunia? Hiyo historia unayo isema ndio hiyohiyo haioneshi ni namna gani watu hawa walishiriki vita ya kwanza na ya pili.
sentineles (sijui hata kama unajua wanapatikana wapi)
 
Mpaka sasa dunia haina technology ya kucontaina madhara yanayoweza kusababishwa na nuclear thermowaves ndiomana wataendelea kupigana kwa CONVENTIONAL WEAPONS mpaka. Atakayeanza kutumia siraha ya nuclear atakuwa ameamua "WOTE TUANGAMIE" due to Recipracal effect na ASSURED MUTUAL DESTRACTION PACT waliyoingia mataifa yanayomiliki siraha hizi especially RUSSIA & USA with their associates.
HAKUNA ATAKAYEBAKI JUU YA ARDHI YA SAYARI HII SALAMA, labda kwa wale watakaowah kuingia kwenye bunkers na kukaa muda mrefu mpaka pale mionzi ya nuclear itakapokuwa neutralized. Mpaka hapo LIFE WONT BE THE SAME AGAIN TRUST ME.
Wataenda wenyewe hao ngozi za nguruwe , kwanza acha wamalizane tu sie tutaendelea na yetu
 
Nadhani hata yeye inabid pia ajiulize, otherwise hizo nuclear weapons awe nazo peke yake.
RUSSIA hana lakujiuliza MKUU hakuna na haitokuja kutokea siku UKRAINE ikashambulia MOSCOW pale peters

Na kama itatokea kashambuliwa atanyooshwa na hakuna atakaeingilia kubwa wataweka vikwazo tuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Drone za Iran especially hizi kamikaze sio kwamba hazitunguliwi la asha... Hizi Kamikaze kwanza zinapaa karibu sana na Ardhi hivo kupelekea baadhi ya Radar kushindwa kuziona lakini kuziona kwa macho ni rahisi sana na kwa speed zake sio Kali sana hivo kua rahisi kudunguliwa na ManPad ambazo Ukraine anazo nyingi sana.. Lengo la Russia kupendelea kutumia hizi kamikaze Shaheed-131 au Geran-2 ni Uraisi wake wa kutengeneza na Cost zake kua cheap sana kuliko utakapo tumia cruise missiles,Ballistic missiles au fighter jet... Lengo kuu na ambao Mrussia ana win kwasasa ni kutumia hizi kamikaze maana bei yake wanasema haizidi $20,000 wakati cruise missiles bei yake inakaribia $5000,000 mpaka $1M... Ata interceptor missiles za air defence mfano za Patriot or MIM au hizi air defence missiles alizopewa na US,UK na Germany interceptor missile moja ina cost around $1,000,000 wakati shaheed drone moja ni $20,000 so utaona apo nani anaepata hasara? So lengo la Russia kurusha kwa wakati mmoja hizi kamikaze ni just kuzi overwhelming air defense za Ukraine na kuendelea kumpa hasara tu.. Ndo maana anarusha ata 40 ukitungua 37 unajua ni cost ngap umetumia? Na usipotungua ndo hivo zinazidi kukutia hasara ktk critical infrastructure zako... Mwisho wa siku Ukraine ataishiwa interceptor missiles then Russia aanze kutembeza kichapo kwa Fighter jets maana atakua anauhakika kua ndege zake hazitatunguliwa! So Iran made drone zitaendelea kusumbua maana hizi ni suicide yani one mission tofauti na drone ambazo zinabeba missile na zinapaswa kurudi ktk air bases ikitunguliwa ni hasara maana ni complex machine + missiles inazokua imebeba that's why saivi huzioni Turkish made drone Bayaktar maana zilishadunguliwa na process ya kutengeneza inachukua muda ila hizi Shaheed hazina Camera zinatumia mionzi tu then operators anazidondosha kwenye targets... Hivo tutegemee Shaheed kusumbua sana ndomaana unaona US anapiga kelele na Leo Bunge la Ulaya linataka kuiwekea Iran Vikwazo zaidi kiss hizi drone maana ata msaada wanaompa Ukraine utaisha mapema
@T14 Armata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo makombora hana kwa sasa, ila muda si mrefu atayapata toka kwa nchi marafiki. Na ndo nikasema atakapoyapata na kuyatumia muelekeo wa Operation utabadirika na kuwa vita kamili kwa upande wa Urusi, na hapo ndipo dunia haipaswi kufikia maana matumizi ya nuclear hayataepukika.
Kuna mambo ambayo mpaka sasa Russia yanamtia wazimu juu ya nuclear. Anajua fika akitumia Nuclear tu, basi naye atajibiwa kwa namna hiyohiyo, US alimuonya akiivamia Ukraine basi bomba la mafuta litaharibiwa, na ni kweli US amefanya hivyo.

UK na US wamemwambia Russia, akitumia Nuclear, ategemee majanga zaidi kwake, hii pia inatupa picha kamili kuwa kabla yeye Russia hajajiandaa na nuclear, wenzake walishajiandaa before.

US yupo distance kutoka Russia, US ana allies kadhaa jirani na Russia, sidhani kama mpaka sasa hajaweka nuclear huko.

Kubwa zaidi ni kuwa, CIA inajua kila hatua ambayo Russia inapiga, kabla ya russia kuanza hii op CIA ikatoa taarifa kuwa russia itavamia ukraine.

Bado naona hakuna urahisi wa Russia kutumia nuclear, kwa hapa walipofikia hata jeshi lake linatamani hii vita iisje tu basi. Sio rahisi wamruhusu putin atumie nuclear.
 
Back
Top Bottom