Iran yapeleka makombora hatari ya Fateh nchini Urusi

Iran yapeleka makombora hatari ya Fateh nchini Urusi

Hakuna kitu kama hicho. Wameshindwa magaidi wa esborah,na Waparestina, wataiweza Urusi? Maana Sasa Nato plus, wako pale
Muda utaongea,kupigwa kibao na mkeo hata kama akukuweka ngeo haimaanishi amekushinda nguvu.
hamas au esborah kama wana nguvu wakaweke makao yao telaviv
 
Eti nato wanajisifu eti tumepeleka silaha za kuilinda Ukraine kandege ka Muiran tu kana watoa makamasi, yani air defence za Nato zote ni mapambo tu inabidi wa Ukraine wabahatishe kuingusha kwa machine gun 😂

Yani ndege inaogelea yenyewe inatafuta target inaripua na kumaliza mchezo wa Ukraine masikini wanadhani wana play counter attack game's

 
Iran naye muda si mrefu nchini kwake moto unawaka wa vita
Mkuu natambua kuwa unafahamu kuwa Iran na Israel ni maadui sana, hivyo nadhani Israel Kutamani kuingia huko ni kwenda na yeye akapate mifumo ya silaha za Iran ili azielewe na kuzitafutia ufumbuzi/ namna ya deal nazo, maana ukiwemo kwenye mzozo ni rahisi kuelewa/kuusoma mchezo.
 
Mkuu,naomba kuuliza..hivi Ukraine yeye haruhusiwa kupiga makombora ya mbali kuelekea Urusi? Kama afanyavyo Putin.Badala ya yeye kujilinda tu ndani. Ama hyo time bado
Hayo makombora hana kwa sasa, ila muda si mrefu atayapata toka kwa nchi marafiki. Na ndo nikasema atakapoyapata na kuyatumia muelekeo wa Operation utabadirika na kuwa vita kamili kwa upande wa Urusi, na hapo ndipo dunia haipaswi kufikia maana matumizi ya nuclear hayataepukika.
 
Hayo makombora yakifika mpakani mwa Ukraine na Urusi NATO nao hawatasita kupereka makombora ya long range missile Ukraine. Vita vya tatu vya dunia vitakuwa vimeanza rasmi
Vita ya tatunya ulaya huko. Unapisema dunia unamaanisha nini

Ifikie hatua waafrika tuachane na mambo yasiyo tuhusu
 
Mbona leo zimetunguliwa 37 kati ya 43 zilizorushwa inamaana zilizopenya ni 6 tu sasa Defence iko vizuri 90% zimekaangwa
Screenshot_20221017-162425_Chrome.jpg
Screenshot_20221017-162537_Chrome.jpg
 
Mkuu,naomba kuuliza..hivi Ukraine yeye haruhusiwa kupiga makombora ya mbali kuelekea Urusi? Kama afanyavyo Putin.Badala ya yeye kujilinda tu ndani. Ama hyo time bado
Angalia kilichowakuta baada ya kulipua daraja la crimea leo kombola litue moscow kiev itakuwa kama fataki za mwaka mpya
 
Unasemaje hawawezi wakati mpaka sasa wao ndio wanaotoa siraha na mafunzo kwa askari wa Ukraine? Unazifahamu stages za vita mkuu? Ndiomana mwanzo Urusi hakuiita vita bali ni OPERATION which means ataingia maeneo yenye migogoro tu kuhakikisha kuna amani. Sasa kitendo cha kushambulia Kiev eneo ambalo halina mgogoro nikutoka nje ya lengo la operation. Na hapo ndipo nchi marafiki zikaanza kutoa misaada. Juzi juzi ameshamburia maeneo mbalimbali ya Ukraine akijibu mapigo /retaliate kwa kitendo alichokiita ni SHAMBULIO LA KIGAIDI juu ya daraja la Crimea ambapo kivita ni sahihi bila kuvunja sheria za kivita, kosa ni makombora mengine kutua maeneo ya raia.
Kitendo cha Iran kupeleka long range missiles Urusi na yakaanza kutumika, itakuwa it's a GO kwa NATO na nchi marafiki kumsaidia Ukraine with the same missiles na hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itakapokuwa imeanza rasmi na kuwepo kwa tishio la nuclear war
Mbona tokea mwanza alipiga sehemu mbalimbali tofauti ns maeneo yenye mgogoro? Nato ya mashoga 30 unadhani hawaijui urusi
 
Back
Top Bottom