Wapigane wao uhusishe dunia? Hiyo historia unayo isema ndio hiyohiyo haioneshi ni namna gani watu hawa walishiriki vita ya kwanza na ya pili.Mkuu nadhani hata historia ya Olevel kuhusu Major conflicts in the world hauna therefore sishangai kwanini hujui nini maana ya vita vya dunia. So SAD kutojua AFRICA itahusika vipi kwenye vita vya dunia!
Wakumsaidia huyu mtu tafadhali
Huyo israel wa mchongo anaogopwa na vitaifa dhaifu tuHii itamfanya israel awe upande wa ukraine ,hii ngoma putin kalikanyaga mda utasema tuu
Wataenda wenyewe hao ngozi za nguruwe , kwanza acha wamalizane tu sie tutaendelea na yetuMpaka sasa dunia haina technology ya kucontaina madhara yanayoweza kusababishwa na nuclear thermowaves ndiomana wataendelea kupigana kwa CONVENTIONAL WEAPONS mpaka. Atakayeanza kutumia siraha ya nuclear atakuwa ameamua "WOTE TUANGAMIE" due to Recipracal effect na ASSURED MUTUAL DESTRACTION PACT waliyoingia mataifa yanayomiliki siraha hizi especially RUSSIA & USA with their associates.
HAKUNA ATAKAYEBAKI JUU YA ARDHI YA SAYARI HII SALAMA, labda kwa wale watakaowah kuingia kwenye bunkers na kukaa muda mrefu mpaka pale mionzi ya nuclear itakapokuwa neutralized. Mpaka hapo LIFE WONT BE THE SAME AGAIN TRUST ME.
Hahahaha [emoji1787] mkuu upo ?? Naona sikuoni, zamasiku, huku salama sanaAissee hizi shaheed 136 za Iran zinatusumbua sana...
Ni wakati wa Marekani kumpa Ukraine makombora ya masafa marefu
RUSSIA hana lakujiuliza MKUU hakuna na haitokuja kutokea siku UKRAINE ikashambulia MOSCOW pale petersNadhani hata yeye inabid pia ajiulize, otherwise hizo nuclear weapons awe nazo peke yake.
@T14 ArmataDrone za Iran especially hizi kamikaze sio kwamba hazitunguliwi la asha... Hizi Kamikaze kwanza zinapaa karibu sana na Ardhi hivo kupelekea baadhi ya Radar kushindwa kuziona lakini kuziona kwa macho ni rahisi sana na kwa speed zake sio Kali sana hivo kua rahisi kudunguliwa na ManPad ambazo Ukraine anazo nyingi sana.. Lengo la Russia kupendelea kutumia hizi kamikaze Shaheed-131 au Geran-2 ni Uraisi wake wa kutengeneza na Cost zake kua cheap sana kuliko utakapo tumia cruise missiles,Ballistic missiles au fighter jet... Lengo kuu na ambao Mrussia ana win kwasasa ni kutumia hizi kamikaze maana bei yake wanasema haizidi $20,000 wakati cruise missiles bei yake inakaribia $5000,000 mpaka $1M... Ata interceptor missiles za air defence mfano za Patriot or MIM au hizi air defence missiles alizopewa na US,UK na Germany interceptor missile moja ina cost around $1,000,000 wakati shaheed drone moja ni $20,000 so utaona apo nani anaepata hasara? So lengo la Russia kurusha kwa wakati mmoja hizi kamikaze ni just kuzi overwhelming air defense za Ukraine na kuendelea kumpa hasara tu.. Ndo maana anarusha ata 40 ukitungua 37 unajua ni cost ngap umetumia? Na usipotungua ndo hivo zinazidi kukutia hasara ktk critical infrastructure zako... Mwisho wa siku Ukraine ataishiwa interceptor missiles then Russia aanze kutembeza kichapo kwa Fighter jets maana atakua anauhakika kua ndege zake hazitatunguliwa! So Iran made drone zitaendelea kusumbua maana hizi ni suicide yani one mission tofauti na drone ambazo zinabeba missile na zinapaswa kurudi ktk air bases ikitunguliwa ni hasara maana ni complex machine + missiles inazokua imebeba that's why saivi huzioni Turkish made drone Bayaktar maana zilishadunguliwa na process ya kutengeneza inachukua muda ila hizi Shaheed hazina Camera zinatumia mionzi tu then operators anazidondosha kwenye targets... Hivo tutegemee Shaheed kusumbua sana ndomaana unaona US anapiga kelele na Leo Bunge la Ulaya linataka kuiwekea Iran Vikwazo zaidi kiss hizi drone maana ata msaada wanaompa Ukraine utaisha mapema
Ok,nimekosea kuchat na upepoLabda urusi ya chato na sio hii inayo mnyima usingizi NATO.
Mrusi anazidi kuchanga karata zake vibaya.Hii itamfanya israel awe upande wa ukraine ,hii ngoma putin kalikanyaga mda utasema tuu
Kuna mambo ambayo mpaka sasa Russia yanamtia wazimu juu ya nuclear. Anajua fika akitumia Nuclear tu, basi naye atajibiwa kwa namna hiyohiyo, US alimuonya akiivamia Ukraine basi bomba la mafuta litaharibiwa, na ni kweli US amefanya hivyo.Hayo makombora hana kwa sasa, ila muda si mrefu atayapata toka kwa nchi marafiki. Na ndo nikasema atakapoyapata na kuyatumia muelekeo wa Operation utabadirika na kuwa vita kamili kwa upande wa Urusi, na hapo ndipo dunia haipaswi kufikia maana matumizi ya nuclear hayataepukika.
Ila baadhi yao hawafanyi haya, wanafanya kinyume chakeTuwapende binaadam wenzetu, tuwape amani.