Iran yapinga vikali hatua ya Marekani kupeleka ndege hatari za B-52 kwani kinatishia hali ya utulivu na amani mashariki ya kati

Iran yapinga vikali hatua ya Marekani kupeleka ndege hatari za B-52 kwani kinatishia hali ya utulivu na amani mashariki ya kati

Actualy si majeshi full, ana vikosi vichache sana, lakini pia wako iraq kwa kazi nyingine kwa makubaliano na serikali ya iraq
Still uwepo wake pale ungeleta tishio tu.
Unadhani uwepo wake pale ata stick kwenye makubaliano yake na Iraq peke yake!??
Pia ana vikosi Syria pia.
 
Israeli ana haki ya kujilinda, wengine hawana haki yakujilinda.

B52 mashariki ya kati na kumobilize vikosi maana yake ni nini? Israeli yuko kwenye vita na Iran.
USA anapaswa kuwa neutral state na asimamie amani kwa kuhakikisha migogoro inatatuliwa na watu wanaishi kwa amani.
 
No upgrades si sawa sawa na kutengeneza kitu kipya, kuna B-52A ,B-52H,B-52J/K na hizo zote zina indicates upgrades zilizo ongezwa kutoka kwenye program mbali mbali za maboresho
Hizo a,b,c,d zinaashiria mabadiliko
 
Hizo a,b,c,d zinaashiria mabadiliko
Kila upgrades zina tofaut na huo utofauti una label zake, is why name B-52 linabaki pale pale, kinacho ongezewa ni kuelezea upgrades zilizofanyika

But kama ni ndege mpya wa isingeitwa B-53 , huwa zinawekwa kwenye different class
 
JE IRAN ilikuwa aijui kama kuna B-52 jibu alikuwa anajua kwaiyo itazuiya PROMIS 3 jibu apana JE B-52 zinaweza;kuruka juu ya anga ya IRAN jibu apana, zitashushwa sasa kwann IRAN analalamika akuna ukweli ajalalamika na ikiwa analalamika basi jibu IRAN anaijulisha dunia wqjue nani kaanza chokochoko kwenye eneo la mid est. PROMIS NO3 live HD baki kwenye TV yako
 
JE IRAN ilikuwa aijui kama kuna B-52 jibu alikuwa anajua kwaiyo itazuiya PROMIS 3 jibu apana JE B-52 zinaweza;kuruka juu ya anga ya IRAN jibu apana, zitashushwa sasa kwann IRAN analalamika akuna ukweli ajalalamika na ikiwa analalamika basi jibu IRAN anaijulisha dunia wqjue nani kaanza chokochoko kwenye eneo la mid est. PROMIS NO3 live HD baki kwenye TV yako
Wewe utakuwa una ugomvi na herufi 'h', pia ni mmoja wa wale wavaa kobazi wa buza
 
Iran yapinga vikali hatua ya Marekani kupeleka ndege hatari za B-52 kwani kinatishia hali ya utulivu na amani mashariki ya kati
Utulivu gani tena?
Ayatollah atulie tulii asubiri kunyolewa.

Kuna vitu pale Iran vinatakiwa kuteketezwa chap, na 'B-52 Bomber' ndo yanaweza hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa, maana hakuna shimo wala handaki linasalimika.
Ni mwendo wa kufukua chini kunakuja juu na juu kunazikwa chini kwa moto mkali ndani ya kufumba na kufumbua...

View: https://youtube.com/watch?v=bDQZgHqKKm0&si=aoOkQ9EH-LqNKBuj
 
Dege la 1950s
Limeboreshwa kiteknolojia.

Ushambuliaji wake siyo kama fighter jets.

Lenyewe likitaka kupiga, linapaki 'mbinguni' kusikofikika kisha linafungulia makombora linayotaka.

Na waliopo kwenye target, hawakwepi wala hawajisalimishi likianza kunyesha mvua ya gharika ya maangamizi.
 
Nimejikuta nacheka buza mbona umenipa eshima nashukulu 😀😀😀😀😀
Unaona sasa, nimekupa heshima sasa umeamua kuanza kugombana na herufi 'r'
😂😂😂😂😂
 
Limeboreshwa kiteknolojia.

Ushambuliaji wake siyo kama fighter jets.

Lenyewe likitaka kupiga, linapaki 'mbinguni' kusikofikika kisha linafungulia makombora linayotaka.

Na waliopo kwenye target, hawakwepi wala hawajisalimishi likianza kunyesha mvua ya gharika ya maangamizi.
Hakuna pasipofikika, wahuni siyo watu
 
Back
Top Bottom