Still uwepo wake pale ungeleta tishio tu.Actualy si majeshi full, ana vikosi vichache sana, lakini pia wako iraq kwa kazi nyingine kwa makubaliano na serikali ya iraq
Hizo a,b,c,d zinaashiria mabadilikoNo upgrades si sawa sawa na kutengeneza kitu kipya, kuna B-52A ,B-52H,B-52J/K na hizo zote zina indicates upgrades zilizo ongezwa kutoka kwenye program mbali mbali za maboresho
Kila upgrades zina tofaut na huo utofauti una label zake, is why name B-52 linabaki pale pale, kinacho ongezewa ni kuelezea upgrades zilizofanyikaHizo a,b,c,d zinaashiria mabadiliko
Doohh kwa saa 1??? Mbona kama muda mrefu sana!. Mi nikafikiri labda inaweza piga hizo ruti ndani ya dakika 20 tu?Unaambiwa inakimbia kwa kasi ya ajabu
inaweza kwenda Mwanza kutokea Dar na kurudi mara 10 kwa saa mojaView attachment 3143206
This is fantastic ina make sense (kama nj kwel) dakika 3 dar moro fresh..sio dar mwanza mara 10 kwa saa 1 !Zile trainer za ngerengere zinatoka moro-dar dk 3
Zijifanyiwa hayo hubadilishwa jina,haliwi lilelile
Different caseUnadhani Airforce 1 au Marine 1 ndege zinazobeba marais wa Marekani ziko vilevile tangu 50s japo ID ni zilezile!? Usidanganyike
Wewe utakuwa una ugomvi na herufi 'h', pia ni mmoja wa wale wavaa kobazi wa buzaJE IRAN ilikuwa aijui kama kuna B-52 jibu alikuwa anajua kwaiyo itazuiya PROMIS 3 jibu apana JE B-52 zinaweza;kuruka juu ya anga ya IRAN jibu apana, zitashushwa sasa kwann IRAN analalamika akuna ukweli ajalalamika na ikiwa analalamika basi jibu IRAN anaijulisha dunia wqjue nani kaanza chokochoko kwenye eneo la mid est. PROMIS NO3 live HD baki kwenye TV yako
Wataliban ndiyo wanaijua vizuri hii ndege.Unaambiwa inakimbia kwa kasi ya ajabu
inaweza kwenda Mwanza kutokea Dar na kurudi mara 10 kwa saa mojaView attachment 3143206
Wewe utakuwa una ugomvi na herufi 'h', pia ni mmoja wa wale wavaa kobazi wa buza
Hatari sana....kama risasi.....Unaambiwa inakimbia kwa kasi ya ajabu
inaweza kwenda Mwanza kutokea Dar na kurudi mara 10 kwa saa mojaView attachment 3143206
Utulivu gani tena?Iran yapinga vikali hatua ya Marekani kupeleka ndege hatari za B-52 kwani kinatishia hali ya utulivu na amani mashariki ya kati
Mbona poa tu.This is fantastic ina make sense (kama nj kwel) dakika 3 dar moro fresh..sio dar mwanza mara 10 kwa saa 1 !
Dahhhh...hii breakdown nimeikubal, hata sikuwaza mbali hivi πMbona poa tu.
Saa 1 (dakika 60) ukigawa kwa 10 ni dakika 6, yaani kwenda 3 kurudi 3, kama ni kweli
Limeboreshwa kiteknolojia.Dege la 1950s
Nimejikuta nacheka buza mbona umenipa eshima nashukulu πππππWewe utakuwa una ugomvi na herufi 'h', pia ni mmoja wa wale wavaa kobazi wa buza
Unaona sasa, nimekupa heshima sasa umeamua kuanza kugombana na herufi 'r'Nimejikuta nacheka buza mbona umenipa eshima nashukulu πππππ
Hakuna pasipofikika, wahuni siyo watuLimeboreshwa kiteknolojia.
Ushambuliaji wake siyo kama fighter jets.
Lenyewe likitaka kupiga, linapaki 'mbinguni' kusikofikika kisha linafungulia makombora linayotaka.
Na waliopo kwenye target, hawakwepi wala hawajisalimishi likianza kunyesha mvua ya gharika ya maangamizi.