Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hatari sana huu mzozo ulipofikia, hili litamfaidisha Natenyau kama atafanikiwa kuiingiza vitani Marekani dhidi ya Iran.

Naona safari hii wamerusha ballistic missiles.

Iran ipo kwenye wakati mgumu kuhakikisha Hezbollah haisambaratishwi kama Hamas.

T14 Armata
Walimtafuta na amejaa, ndiyo maana Netanyahu alitoa speech ya kuwaandaa wananchi wa Iran kwa yajayo.
 
Ushauri wangu Israel asijibu kwa pupa moto utawaka vita ya dunia
Jews wakiamua kufanya counter attact utasikia NUCLEAR SPECIALISTS WA IRAN walikuwa wanakula birian ya ngamia wakawa food poisoned kwa CYANIDE au MAKAMANDA WA JESHI LA IRAN wamekunywa maji yenye BOTOX.
Myahood huwa anapiga counter attack kiasi adui anajiuliza imekuwaje ni ajali au ni Planned mission?????
 
Jews wakiamua kufanya counter attact utasikia NUCLEAR SPECIALISTS WA IRAN walikuwa wanakula birian ya ngamia wakawa food poisoned kwa CYANIDE au MAKAMANDA WA JESHI LA IRAN wamekunywa maji yenye BOTOX.
Myahood huwa anapiga counter attack kiasi adui anajiuliza imekuwaje ni ajali au ni Planned mission?????
Refer kauli ya ahmednejad kuhusu shirika lao la ujasusi
 
Jews wakiamua kufanya counter attact utasikia NUCLEAR SPECIALISTS WA IRAN walikuwa wanakula birian ya ngamia wakawa food poisoned kwa CYANIDE au MAKAMANDA WA JESHI LA IRAN wamekunywa maji yenye BOTOX.
Myahood huwa anapiga counter attack kiasi adui anajiuliza imekuwaje ni ajali au ni Planned mission?????
Na hiyo ndo akili we tulia tu utasikia pampaz alovaa hayotolah yalipuka
Au utasikia dildo alokuwa akitumia rais wa iran na bodyguard wake lalipuka
 
Hivi ukubwa wa eneo Kwa Israel na nchi za kiarabu zinazoizunguka ukoje?

Yaani Israel ana eneo kubwa kuliko hizo nchi za kiarabu?
 
Back
Top Bottom