Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Ayatollah anacheza, muacheHivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Hizo manati hazijaua hata mjusi hapo tel aviv na zimerushwa 180Hizo kombora ni kama hazina uzito Sina uhakika kama zinaweza Pasua flow Moja ya gorofa
Hizo manati hazijaua hata mjusi hapo tel aviv na zimerushwa 180
Ayatollah anafanya mchezo wewe muache tu.na msianze kulia humu
Tuongoje tuone Israel akisaidiwa na Marekani namna watakavyolipiza.Walimtafuta na amejaa, ndiyo maana Netanyahu alitoa speech ya kuwaandaa wananchi wa Iran kwa yajayo.
iran mpaka apigwe tafu na urusi china na north koreaMbabe wa mashariki ya Kati Iran, israel mpaka apigwe tafu na marekani na nato
Daah aisee hata kama una akili za kuvukia bara bara tu yaani bomu lichonge hivyo kama drill aisee..
Muajemi ni mbabe wa Ulimwengu sio tu mashariki ya kati.Vifijo na Nderemo Vimetawala Huko Gaza
Watu wamefurahia Aisee
View: https://x.com/upholdreality/status/1841161380834971862?t=ah7FNSH8cB7DdwsHEnzQAQ&s=19
Hizo manati kibao tu zimedakwa iron domeMbona kama makombora yote yametua chini,mifumo ya iron dom ilikuwa imezimwa au nini kimetokea