Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Ni kweli lakini jinsi mifumo ya ulinzi ya Israel ilivyo zidiwa leo inaonesha kumbe Iran inaweza kuidhuru vibaya sana Israel iwapo vita kamili itatokea.
 
Hatimae Iran imeipiga tena Israel kwa makombora zaidi ya 200 yakitokea kwenye miji tofauti nchini Iran ,huku yakisafiri kwa zaidi ya 2000km ndani ya dakika 25.

Iran imetoa onyo kwa utawala wa kizayuni kushambulia zaidi endapo itahibiti kujibu , mashambulizi haya ya Iran imesema ni jibu kw Israel dhidi ya kuvunja sheria za Iran na mamlaka yake ikiwemo kufanya mashambulizi ndani ya Iran ama raia wa Iran na miundo mbinu yake!!Moja wapo ya maeneo yaliyoshambuliwa ni hifadhi za gesi,zikiwa kwenye mlipuko wa makombora
 
Ni kweli lakini jinsi mifumo ya ulinzi ya Israel ilivyo zidiwa leo inaonesha kumbe Iran inaweza kuidhuru vibaya sana Israel iwapo vita kamili itatokea.
Yeah!...kwani Kuna makombora yaliyopenya hizo ADs?.

Ila ikitokea vita kamili kwa Idadi ya makombora aliyonayo Iran, Israel atakuwa na wakati mgumu kuyazuia yote kwa idadi kubwa japo pia Iran itaharibiwa zaidi na mashambulizi kutoka Israel na Marekani.
 
Hii ngoma ndo imeanza. natazama aljazeera hapa muisrael mmoja anasema bwana nyau atakuwa kafurahi sana maana anachojua alikuwa anatafuta sababu ya kuishambulia iran moja kwa moja. Hata mimi nawaza hivi hivi maana kwanini alitoa ile hotuba ya kudai kwamba soon iran itakuwa free.
 
Awajapangua ata moja anapigwa km gaza alivopiga awana uwezo w kuzuiya ata USA kashindwa vitu vinatua live lkn wairan wastaharabu sana wanapiga military taget tu. Km wao wanapenda sifa wangeanza kuuwa watu.
Military target ngapi zimepigwa zaidi ya negev airbase ambayo ilipigwa pia april na open space 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…