Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Nasubiri Israel iue mradi wa nyuklia wa Iran. Hilo ndio la msingi hata kama watapigwa makombora kiasi gani.

Majibu yaje haraka
 
Yeah na vita ya ukraine ile ipo planed kumpunguzia iran msaidizi. Us&israel akili nyingi. Walitaka kumpunguzia nguvu kwa china sema china akastuka. Iran inaenda fanywa balaa maana US kitambo to anamwangalia kama hayupo wakati katandaza vifaa vyake kumzunguka iran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…