Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Waisrael hawataki vita,kwa hii ya leo itamuweka katika hali mbaya sana netanyauHatari sana huu mzozo ulipofikia, hili litamfaidisha Natenyau kama atafanikiwa kuiingiza vitani Marekani dhidi ya Iran.
Naona safari hii wamerusha ballistic missiles.
Iran ipo kwenye wakati mgumu kuhakikisha Hezbollah haisambaratishwi kama Hamas.
T14 Armata
Marekani ndiye mchafuzi mkuuhawa jamaa wanataka kuchafua hali ya Amani duniani
Ndoto za mchanaIran imekwisha.
Atapigwa kama ngoma.
GOD BLESS ISRAEL
Kuna cha maana kilichopigwa hapo israel maana before makombora kufika anga la israel tayari walisha hamisha kila cha maana kutoka maeneo ambaya yalikuwa rahisi kupigikaRada zimebondwa,mifumo ya ulinzi chali
AKILI ZAKO 😄Mabati chakavu hayo wanavutia sigara
Ok sawa. Nimeona serikali ya Israel wamesema watachukua hatua mida wowote wai watakao ona unafaa.Hili shambulio walipanga wafanye hesbullah baada ya kiongozi wao nasrallah kuuwawa na maeneo yao mengi kushambuliwa yalikutwa makombora mengi ya balistiki yamejilipukia
Pamoja na kiongozi wao mmoja mkubwa anaehusika na masuala ya finance kukimbilia israel akiwa na fedha na mipango pamoja na michoro ya ramani
Iran kaona aingie mwenyew front baada ya aliowatuma kushindwa kufanya kazi hata kabla mipango kukamilika
Ila tambua malipo yake hapo tehran yatakuwa makubwa sana
Muda utasema
Labda uso wako wewe israel ilikuwepo ipo itawepo na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa umauti wakoKama ipo basi itakuwa hiyo lakini kama haipo utaendelea isikia kwenye tv na wala hutoiyona ndio inaangamizwa na kufutwa kwenye uso wa dunia!
Mtoto kautakaOk sawa. Nimeona serikali ya Israel wamesema watachukua hatua mida wowote wai watakao ona unafaa.
manati tu hizo na hapo ni kombinenga ya msaada wa mrusi, mchina na n.koreaAisee hii inaonekana makombora alotumia sasa hivi Iran ni makubwa kuliko ya mwanzo.
Kama haitazuka vita sijui.
Manati tena za msaada zibonde rada? labda rada za hamas maana manati imeua mpalestina mmojaRada zimebondwa,mifumo ya ulinzi chali
Atafanya nini wewe dogo kwa Iran hicho kinchi chake Iran akipeleka Missiles 500 kwenye majumba ya TelavAviv kawamaliza.Duuu, sipati picha hiyo retaliation yake, Myahudi ameguswa, na sasa atanuka.
Mkuu hao Israel nadhani hujawasoma vema.ni upuuzi. shia (Iran) wameleta shida. isingelikua itikadi zao za kijinga wangelikua wayahudi na wapalestina wanaishi mpaka sasa kwa amani na kusaidiana.
Palestina limeuliwa na manati feki za muajemi tena za msaadaKuna cha maana kilichopigwa hapo israel maana before makombora kufika anga la israel tayari walisha hamisha kila cha maana kutoka maeneo ambaya yalikuwa rahisi kupigika
Zaidi amekufa mpalestina mmoja 😆
Una ushahidi kuwa Russia na China wamehusika!?manati tu hizo na hapo ni kombinenga ya msaada wa mrusi, mchina na n.korea