Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hatari sana huu mzozo ulipofikia, hili litamfaidisha Natenyau kama atafanikiwa kuiingiza vitani Marekani dhidi ya Iran.

Naona safari hii wamerusha ballistic missiles.

Iran ipo kwenye wakati mgumu kuhakikisha Hezbollah haisambaratishwi kama Hamas.

T14 Armata
Waisrael hawataki vita,kwa hii ya leo itamuweka katika hali mbaya sana netanyau
 
Saudi Arabia na Jordan wameambiwa mkijaribu kuyazuia, batch inayokuja itaishia kwenu.

Hezbolkah wamesema wso wstsingia shift ya usiku kurusha makombora yao.

Yemen wanmesema wao wataanza kurusha yao baada ya kusali alfajiri, saa hizi bado wanapiga handas yao.
 
Hili shambulio walipanga wafanye hesbullah baada ya kiongozi wao nasrallah kuuwawa na maeneo yao mengi kushambuliwa yalikutwa makombora mengi ya balistiki yamejilipukia
Pamoja na kiongozi wao mmoja mkubwa anaehusika na masuala ya finance kukimbilia israel akiwa na fedha na mipango pamoja na michoro ya ramani
Iran kaona aingie mwenyew front baada ya aliowatuma kushindwa kufanya kazi hata kabla mipango kukamilika
Ila tambua malipo yake hapo tehran yatakuwa makubwa sana
Muda utasema
Ok sawa. Nimeona serikali ya Israel wamesema watachukua hatua mida wowote wai watakao ona unafaa.
 
Aisee hii inaonekana makombora alotumia sasa hivi Iran ni makubwa kuliko ya mwanzo.
Kama haitazuka vita sijui.
manati tu hizo na hapo ni kombinenga ya msaada wa mrusi, mchina na n.korea
 
Wakuu je Israel watajibu mapigo ya Iran?
Nawaza haya mapigo watajibu baada ya mda gani , je watapishana angani kama piga nikupige au watatulia kwanza halafu watajibu kwa kushtukiza!

Sidhani watatulia bila kujibu mapigo ila itachukua mda gani kujibu?
 
Saudi Arabia na Jordan wameambiwa mkijaribu kuyazuia, batch inayokuja itaishia kwenu.

Hezbolkah wamesema wso wstsingia shift ya usiku kurusha makombora yao.

Yemen wanmesema wao wataanza kurusha yao baada ya kusali alfajiri, saa hizi bado wanapiga handas yao.
 
Kuna cha maana kilichopigwa hapo israel maana before makombora kufika anga la israel tayari walisha hamisha kila cha maana kutoka maeneo ambaya yalikuwa rahisi kupigika
Zaidi amekufa mpalestina mmoja 😆
Palestina limeuliwa na manati feki za muajemi tena za msaada
 
Back
Top Bottom