Self destruction process. Utawala wa Iran unataka kujimaliza.Gaza ceasefire latest: Hamas releases three Israeli hostages - as Palestinian prisoners also freed
Hamas and Israel are exchanging hostages and prisoners today in the fourth swap of a fragile ceasefire in Gaza. Three hostages have returned to Israel, with Palestinian prisoners freed in return. Follow the latest below.news.sky.com
Mkuu, sio Duniani! ni hapo Mashariki ya Kati tu; sie wa huku South America tunaendelea na mishe mishe zetu.hawa jamaa wanataka kuchafua hali ya Amani duniani
Iran imekwisha.Kuna moja limetua, lazima limeua.
Iran kaingia kwenye mfumo.
Bora angepotezea, malipo ya hicho alichofanya yataacha doa lisilofutika IranKuna moja limetua, lazima limeua.
Iran kaingia kwenye mfumo.
Kategwa,kategekaIran kaona aingie mwenyewe mzima mzima baada vibaraka wake kuona wanaelemewa......
Kaingia kwenye mfumo sio Waziri wa ulinzi wa urusi yupo huko Tangu Jana, sijui kasharudi.Kuna moja limetua, lazima limeua.
Iran kaingia kwenye mfumo.
Iran alisema pia akipiga vinu vya nuclear, nae atapiga pia.Israel alishasema yeye shambulio lake la kwanza ni kwenye vinu vyake vya nyuklia vyote.....
Jumla 102, yametunguliwa kwenye anga ya tel AvivGaza ceasefire latest: Hamas releases three Israeli hostages - as Palestinian prisoners also freed
Hamas and Israel are exchanging hostages and prisoners today in the fourth swap of a fragile ceasefire in Gaza. Three hostages have returned to Israel, with Palestinian prisoners freed in return. Follow the latest below.news.sky.com
Will seeIran imekwisha.
Atapigwa kama ngoma.
GOD BLESS ISRAEL
Isije kuwa kama ile show ya kipindi kile ya kurisha makombora wakijua yatadondosha maana walitoa taarifa. Wakitaka wapiga iwe ghafla kama wao wanavyofanyaNaona Persians wameona liwalo na liwe. Wakati ndio huu muda wa kusubili hakuna.
Hahaaaa!Ni yale ya 8hrs angani
Utaambiwa hakuna aliyedhurika,mengi yametunguliwa,na mengine yametua vichakaniUtashangaa hakuna atakayedhurika na hayo mabomu, ila wenzao akina Yahood wakiachia bunker buster 90 hata Ayatollah mfupa wake hautaonekana milele.