Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchambuzi wa masuala ya vita kutoka kijiji cha Wajuaji akichambua masuala ya kivita.Iran Ayatollah anaondoka Mark my words
Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita
Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran
Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon
Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah
Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi
Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea
Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
Dunia ipi?hawa jamaa wanataka kuchafua hali ya Amani duniani
Hivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Huo ndio wakati wa Iran kuonyesha hasira dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Lebanon.
Wengine wamejifungia kwe ye bomb shelters.Naona Tel Aviv baadhi ya raia wapo mitaani.
Ngoja tuone.
Wakiristo wa jf comments zao utacheka ukizionaIran imekwisha.
Atapigwa kama ngoma.
GOD BLESS ISRAEL
Mkianza kuchapwa msije kulia kama kwa nasrallah hahaWakiristo wa jf comments zao utacheka ukiziona
Du Kumbe Wanajua Kudungua Rocket tu za Hamas
View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1841160383010390160?t=7cQ0Msl2dv8wT2r-gTZkgA&s=19
Wakiristo wa jf wamefurahi sana.Mkianza kuchapwa msije kulia kama kwa nasrallah haha
Khamenei muda wake wa kutafuna bikra 72 umewadia
Kumbe ataishia kulipiza kisasi kwa kurusha makombora tu?Tusubiri Israel akirusha yake Iran atayapangua?
Wakiristo wa jf comments zao lazima waingize udiniMkianza kuchapwa msije kulia kama kwa nasrallah haha
Khamenei muda wake wa kutafuna bikra 72 umewadia
I hate Israel
Unadhani Iran hana uwezo wa kubutua raia? Bado anafuata sheria za vita za kimataifa kutoshambulia raia.Baadae wasianze kulialia watoto na wanawake wamekufa. Missiles hazichagui umri wala jinsia.