Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Kilasiku mnatupa propaganda kuwa Israel ndio m'babe w mid est lkn ukweli upo mbali na madai yenu tunaona mala yapili m'babe w kweli asie na chembe ya wasiwasi na mwenzie mana anamjua ndani nje akimtaka uwanjani lkn anaokelewa na West mwisho anenda fanya ugaidi iran lkn anapewa mnampa Promo ya kila namna hoo mossad mossad anakupigia kwako lkn anakupiga vip kigaidi au anarusha viuma adi iran tunataka wanaume waoneshane ngumi za kweli sio unamvizia kalala afu. Uyu gaid anasifiwa yani Israel ana cha kumfanya iran zaid kupiganakigaid. Atutako mapichqpicha tuone akili kubwa nani tumechoka maneno.
 
Angalia Al Jazeera!
Mambo yako LIVE!
USISUBIRI kusimuliwa.
Iran Ayatollah anaondoka Mark my words

Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita

Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran

Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon

Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah

Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi

Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea

Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
 
Kuna moja limetua, lazima limeua.
Iran kaingia kwenye mfumo.
Mfumo gani? Iran alirusha mvua ya drones na makombora kibao yametua kwenye ardhi ya Israel na mengine yalionekana yakipepea juu ya bunge la Israel.

Kama ni mfumo basi ilitakiwa Israel atangaze vita rasmi na Iran lakini kaufyata hadi leo.

Muajemi ni tishio kwa EU na NATO kwa ujumla sembuse hicho kinchi cha kishoga.
 
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.

Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Ingawa yote yataenda kudondokea majanini ma mchangani.
Iran kurusha makombora ni habari njema, na hicho ndicho kilichokuwa kinasubiriwa kifanyike, yaani Iran ku make the first move.

Walikuwa wanamtarajia na ndiyo maana Netanyahu alisema hakuna popote ndani ya Iran ambapo hawawezi kufika, na pia ndiyo maana akawatumia ujumbe wananchi wa Iran.
Segele hilo, wajiandae kulicheza
 
Back
Top Bottom