All the best middle EastAll the best [emoji1134][emoji1134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best middle EastAll the best [emoji1134][emoji1134]
Sawa kabisa.Unadhani Iran hana uwezo wa kubutua raia? Bado anafuata sheria za vita za kimataifa kutoshambulia raia.
Israel akishambulia live raia wa Iran basi atajibiwa kikamilifu bila kuchelewa.
Naomba hii iwe kweliDk30 zilizopita wapalestina wawili wameingia tel aviv,chapa risasi watu 23 dead
Sasa ni rukhsa kwa Israel kupanua Ardhi yake upande wa LebanonWa Israel weusi wa Kazuramimba kigoma uwanja ni wenu
Kimzaa mzaa mashariki ya kati kunaenda kulipuka vita ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia.Huo ndio wakati wa Iran kuonyesha hasira dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Lebanon.
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Sio kurusha tu, je na wao wakirushiwa wataweza kuhimili?Hapa kinachotakiwa sasa ni Hamas na Hizbollah na wao kuishambulia Israel.
Naamini kabisa endapo Hamas, Hizbollah, na Iran wakirusha makombora 500,000 kuelekea Israel, watafanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Iron dome haiwezi kustahimili mvua ya makombora yote hayo.
Swali ni je, Iran na washirika wake wanao uwezo wa kurusha hayo makombora yote?
Marekani. Nato, UK washawapa Isreal silaha zote za dunia..lkn bado majeneza yanarudishwa kwa wingi Telaviv.Hapa kinachotakiwa sasa ni Hamas na Hizbollah na wao kuishambulia Israel.
Naamini kabisa endapo Hamas, Hizbollah, na Iran wakirusha makombora 500,000 kuelekea Israel, watafanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Iron dome haiwezi kustahimili mvua ya makombora yote hayo.
Swali ni je, Iran na washirika wake wanao uwezo wa kurusha hayo makombora yote?
Subiri Ayatollah afungashwe virago na likilemba lake ndio utajua naongea niniMchambuzi wa masuala ya vita kutoka kijiji cha Wajuaji akichambua masuala ya kivita.
Wanaukumbi.
Makombora ya Balestiki ya Iran Sasa Yanatua Tel Aviv
View: https://x.com/censoredmen/status/1841157965283275015?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Moja ya yamini wanayoweka magaidi wa tehran & coWakiristo wa jf comments zao lazima waingize udini