GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam hawashangai. Ishazungumzwa ktk Qur'anSanaaaa
Mtoto kautaka haha
Iran atapigwa kama ngoma.
GOD BLESS ISRAEL
Kwa bahati mbaya Israel naye ana Kinu cha Nuclear pale Dimona, nacho kinaweza kuchapwaIsrael alishasema yeye shambulio lake la kwanza ni kwenye vinu vyake vya nyuklia vyote.....
Subiri mpaka mwisho tunajua uwezo wenu hamkawii kulilia UN hahaSiyo umerusha makombora. Ni mvua ya missiles, Isrqel nzima ving'ora👇🏾
View attachment 3112453
Wameanza kutubania mpaka Channel mbao zetu, tusione.
Kila unayoibgia unakuts picha tu, hakuna streaming.
Watabana sana tu.
Iran kishaamua, anasema anataka Mmarekani, na NATO yao waingue wazi wazi siyo kwa kujifichaficha kama wanawari wa Kisaudi.
Vitatandikwa tu ? 😁Kwa bahati mbaya Israel naye ana Kinu cha Nuclear pale Dimona, nacho kinaweza kuchapwa
Na pia ana High tech industry , viwanda vyake vya high tech vinaweza kutandikwa ipasavyo!
Ndugu zako wapalestina hawana tena kazi Israel, watafutie kazi za kufanya.
Sawa myahudi feki wa kazuramimbaUtaambiwa hakuna aliyedhurika,mengi yametunguliwa,na mengine yametua vichakani
Taiwan tusiichukulie kinyongeHuu ndo muda China inapaswa kuingia Taiwan na kuichukua.
Marekani hawezi kupigana vita Ukraine, Mashariki ya Kati, na huko China na Taiwan.
Nilifikiria na wewe uliondoka na Nasrallah kumbe bado unapumua!Wewe upo IDUNDA unaweza kuropaka lolote salamu wanazipata mabwana zenu Tel Aviv.
Israel alishasema yeye shambulio lake la kwanza ni kwenye vinu vyake vya nyuklia vyote.....
Lakini hiyo mbona wala haikuwa siri.Ila USA intelligence yao kiboko. Wakati Iran anaandaa zana zake USA kashamuona.