Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

🚨🇮🇱BREAKING: JE, BIBI ALITOKA ISRAEL?!

Ripoti zinaonyesha kuwa ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.

Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.

Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.

Chanzo: Baraza la Mawaziri la Habari
R.I.H Iran.

GOD BLESS ISRAEL
 
Iran Ayatollah anaondoka Mark my words

Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita

Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran

Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon

Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah

Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi

Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea

Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
Ngoja tuone!!!
Ila Israel tumpe tu maua yake aisee, jinsi alivyoweza kupangua haya mabomu sio mchezo aisee, ingekuwa ni nchi nyingine tungekuwa tunaongea mengine saa hii.
 

Naona alichotaka waziri wa israel kimetimia. ile speech yake aliyotoa akiwambia raia wa iran kuwa uhuru wao unakuja hivi karibuni kuliko walivyotegemea nadhani alikuwa anatafuta sababu ya kuishambulia iran moja kwa moja na ndicho naona kinaenda kutokea.
kuna vita kubwa inakuja aisee ni hatari wanaenda kutengeneza libya na iraq nyingine.
 
Marekani bandugu wanaiyogopa iran utosikia kuna kibwengo karusha jiwe iran zaid watatumia ugaidi w drone ambazo wanazo umoumo ndani y iran atua ya pili itakuwa kulipromo ilo tukio la kigaidi ila wataita Israel kashambulia iran na media itarudia rudia adi watu waamini Israel ndio m'babe lkn amna kitu iran ndio super power wa middle East dunia kijiji macho tunayo tunaona,,
 
Kama ulifatilia kauli za Neta akiwa UN
Kama ulifatilia kauli za Neta jana alisema yuko upande wa Wairan dhidi ya viongozi wao. Kuna kitu alijua kitatokea

Israel will not miss this time
Ni kweli wenda taarifa za kijasusi zilikuwa zimesha vuja juu ya shambulizi hili ndo maana Netanyau alikuwa anatoa vitisho ili viongozi wa Iran wasite ila inavyo onekana viongozi wa Iran wamefika kiwango cha mwisho cha uvumilivu hivyo wameamua liwalo na liwe.
 
Back
Top Bottom