GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.H Iran.🚨🇮🇱BREAKING: JE, BIBI ALITOKA ISRAEL?!
Ripoti zinaonyesha kuwa ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
Chanzo: Baraza la Mawaziri la Habari
Ushahidi kwamba yametunguliwa uko wapi?
Israel nao wanapigaga propaganda tu 🤣.
Ngoja tuone!!!Iran Ayatollah anaondoka Mark my words
Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita
Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran
Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon
Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah
Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi
Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea
Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
Kujua muda precise.Lakini hiyo mbona wala haikuwa siri.
Nani ambaye hakujua hilo?
Surprise kivipi?Hii leo imekuwa surprise kwa wengi ngoja tuone ndege ngapi zitapaa kuzuia. Na je Israel itatumia ndege au ballistic
R.I.H Iran.God bless Iran,Lebanon and whipping israel
Wanaukumbi.
Makombora ya Balestiki ya Iran Sasa Yanatua Tel Aviv
View: https://x.com/censoredmen/status/1841157965283275015?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hata wakijificha kama panya kipondo kipo pale paleKaribia raia wa Israel milioni moja wameingia kwenye bomb shelters.....
nachek aljazeera naona kuna mabomu yamepiga target tena ni zaidi ya matanoGod bless Iran,Lebanon and whipping israel
View: https://x.com/WarMonitors/status/1841163063040291307?t=kSaH7jmk7_Ubse1tMTeM-A&s=19
Makombora yamepiga mengi kweli Israel
Ni kweli wenda taarifa za kijasusi zilikuwa zimesha vuja juu ya shambulizi hili ndo maana Netanyau alikuwa anatoa vitisho ili viongozi wa Iran wasite ila inavyo onekana viongozi wa Iran wamefika kiwango cha mwisho cha uvumilivu hivyo wameamua liwalo na liwe.Kama ulifatilia kauli za Neta akiwa UN
Kama ulifatilia kauli za Neta jana alisema yuko upande wa Wairan dhidi ya viongozi wao. Kuna kitu alijua kitatokea
Israel will not miss this time
View: https://x.com/WarMonitors/status/1841163063040291307?t=DbFf-1u273W8Azb0MbvZyw&s=19
Mengine hayo yakitua kwenye base yao ya kijeshi huko Israel
View: https://x.com/WarMonitors/status/1841165312856666162?t=cIieWzAnJl4SW62phKZ2Og&s=19