Narudia kukwambia Iran sio Iraq.Watu watapiga hapo usije na store za watoto na wanawake maana amkawii. Yake yalioyua Israel Leo lazima kuwa watoto watu wazima wamekufa ila utosikia watu wanalalamika kuwa watoto na wanawake wamekufa sababu wanajua vita ni kitu gani na ni matokeo ngani yanayotokea
Pole kwa utafiti. Hata sadam kabla ya vita Domo lilikua hivyo hivyo Kama kwa Iran Leo.Narudia kukwambia Iran sio Iraq.
Huwezi ishambulia kiwepsi hivyo.
Pia Iran kiutafiti wa CIA inaonesha kila mkoa kuna tunnel ya ballistic missiles.
Iran sio Iraq.
Na umelibeba hilo km walivyokulisha?!!!! Katikati ya mji kama pale?!!! Haya si mapenzi' Bali mahaba!!!!🤣🤣🤣🤣🤣400 bombs, no kill, no luck, no skill. The mullahs of Iran are a sick joke.
Moral of a Lesson: never rely on the so called Muslim ummah, it is full of hedonistic hypocrites.
Safi kabisa.Mkuu MOSSAD wamesema cha kwanza watapiga powerplant inayozalisha umeme wote ndani ya Iran
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1841201396231647423?t=-b1TNKh42Qi41B3bUik2jA&s=19
Wanakufa kwa makombora yao wenyewe!
5000 per litaMnaokaa Bongo mtanunua Mafuta kwa bei kubwa sana
Ukimaliza hayo matapu tapu tafuta kopo la kuchambia ukanye ulale!Mimi siyajui hayo maana najinywea sebuleni kwangu na mke wangu labda wewe tabia yako ndugu zako wanakulalamikia umeona unitupie mimi tabia zako chafu
Apige tu maana naye watu watapiga Kama alivyopiga yeye. Hao wayahudi hata upige usikii wakisema wanawake na watoto.Hizi zimehit bro safari hii jordan akufunga airspace yake ngoma zimepita na iron dome zimefeli,kuna airbase na gas platform za israel zimeenda,kikubwa tuombe iran asipige kwenye makazi ya raia
Narudia kukwambia Iran sio Iraq.
Huwezi ishambulia kiwepsi hivyo.
Pia Iran kiutafiti wa CIA inaonesha kila mkoa kuna tunnel ya ballistic missiles.
Iran sio Iraq.
Yote makombora ya Iran yamelipuliwa kabla ya kugusa ardhiOct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.
Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.
Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.
Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin