Kwa makombora aliyopiga Iran ni tishio hilo!
Air defence system za Israel hazijafanya kazi kabisa!
Akijibu kazi anayo kwa kweli.
Ni muda wa kumtia adabu msayuni.
Taabu ni uingiliaji kati wa beberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa makombora aliyopiga Iran ni tishio hilo!
Air defence system za Israel hazijafanya kazi kabisa!
Akijibu kazi anayo kwa kweli.
Hana hata wiki hapa Duniani!Ayatollah must go sio hiari must go na like kilemba lake
Akijibu msije kulalamika anaua wanawake na watotoMlikuwa mnaona Iran ni kama hao mashoga zenu mnaowaabudu ?
Iran ni peaceful na mvumilivu sana ila kwa wanachofanya hawa machoko wa Kizayuni ni intoreable ,lazima kuwe na consequences Kwa upumbavu wao
Umeongea kama upo kwenye kamati ya mashambulizi na kulipiza kisasi mkuu.Acha hizo wewe Israel lazima ajibu tena usiku huu huu
Iran kafanya kosa kubwa sana. Sasa karuhusu America ampige, ametafutwa muda mrefu sana. Hajuhi Natenyahu alikuwa USA juzi na hii mipango ya Natenyahu kuhutubia raia wa Iran imepangwa. Si kila mwanajeshi aliyevaa combat ya Israel ni Mu-israel, wengine ni kutoka US Army. Iran kaingia kizembe kwa kujitutumua.
Wewe lizee kwa nini unakuwa mshabiki wa hivi vita namna hii?? Una enjoy amani ya Tanzania lakini unataka binadamu wenzako wataabike huko mashariki ya katiSiyo umerusha makombora. Ni mvua ya missiles, Isrqel nzima ving'ora👇🏾
View attachment 3112453
Wameanza kutubania mpaka Channel mbao zetu, tusione.
Kila unayoibgia unakuts picha tu, hakuna streaming.
Watabana sana tu.
Iran kishaamua, anasema anataka Mmarekani, na NATO yao waingue wazi wazi siyo kwa kujifichaficha kama wanawari wa Kisaudi.
Kete ipo kwake sasa...akicheza vibaya imekula kwake😁Ushauri wangu Israel asijibu kwa pupa moto utawaka vita ya dunia
Kwa nini waislamu mnawaza sana udini na kila kitu mnakitazama katika muktadha wa kidini?Wakiristo wa jf comments zao utacheka ukiziona
Hahahaa. Iko hivi….Kujua muda precise.
Nani amei jamMifumo yote ya ulinzi wa anga imepigwa jamming
“Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
”
— Kutoka 14:14 (Biblia Takatifu)
Endelea kujidanganya kikubwa source ya taarifa sio moja Kila mmoja aangalie yake , mm nilichokiona Israel wanauwezo wa kutungua makombora ya hamas tuKupitia Tv, live nimeona makombora mengi (zaidi ya 100) ya Iran kwenye anga la Tel Aviv, Israel na karibu yote yakionekana kuzuiwa angani kabla ya kutua, hii inatoa picha hii;
1. Iran ametangaza vita kamili dhidi ya Israel.
2. Iran amefanikiwa kupeleka makombora ya masafa marefu na kupenya moja kwa moja ndani kabisa ya Israel.
3. Mifumo ya Israel ya kutungua makombora angani iko imara.
4. Israel imepata sababu ya moja kwa moja kuishambulia Iran.
Eeh watazamaji tupo machoKete ipo kwake sasa...akicheza vibaya imekula kwake😁
Ila Iran mvumilivu sana jamaa kawaua makamanda wake kamuua yule mkuu wa Hamas jamaa katulia tu Wacha yamkuteMuachen ajibu, lakini ajue houth,Hamas, Hezbollah, Kurds watamvamia kila pande.