GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Mama yangu ni weweMatakoni kwa mama yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yangu ni weweMatakoni kwa mama yako
👋👋👋👋Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.
Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.
Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.
Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Wataanza kusema israel inaua watoto na wamama wakati wenyewe wanarusha makombora kama njugu mawe.Utashangaa hakuna atakayedhurika na hayo mabomu, ila wenzao akina Yahood wakiachia bunker buster 90 hata Ayatollah mfupa wake hautaonekana milele.
We mchambuzi wa kujitegemea au ?Israel ikifanya hivyo Iran haitokaa kimya itajibu tena kwa nguvu kubwa zaidi, hapo itakuwa hatari mno
Marekani itakuwa njia panda hiyo hatua ikifika...Huu ndo muda China inapaswa kuingia Taiwan na kuichukua.
Marekani hawezi kupigana vita Ukraine, Mashariki ya Kati, na huko China na Taiwan.
Sawa utafika home maana tabia za kuanguka kwa makusudi halafu usingizie pombe sio poa ndugu wanakulalamikia kwa tabia zako hizo za kugawa bure!Nitaongeza ili nikukaze vizuri
Mke wa khamenei
Hii avatar yako kwenye username ungeandika Rick Sanchez aka Mad Scientist.😂Angalia Al Jazeera!
Mambo yako LIVE!
USISUBIRI kusimuliwa.
Ninawaza,, tu. Israel akiona anazidiwa, akaamua kutupia nuclear hapo Tehran,, Irani, kama USA alivyotupia Atomic kule Hiroshima Japan 1945 dunia itakuwaje ? Madhara ya hiyo nuclear kimazingira yatasambaa kiwango gani ?Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.
Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.
Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.
Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
umeandika kama mgonjwaIran Ayatollah anaondoka Mark my words
Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita
Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran
Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon
Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah
Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi
Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea
Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
Mimi siyajui hayo maana najinywea sebuleni kwangu na mke wangu labda wewe tabia yako ndugu zako wanakulalamikia umeona unitupie mimi tabia zako chafuSawa utafika home maana tabia za kuanguka kwa makusudi halafu usingizie pombe sio poa ndugu wanakulalamikia kwa tabia zako hizo za kugawa bure!
Tayar wamesha evaluate hakuna cha maana kilichofanywa na iran180 missles na bado Tel Aviv haijawa majivu, mmmmh.
Alizidi kiburi, wacha apigwe.Netanyahu alikuwa anajua kuwa Iran wanatania sasa game ipigwe😀
Haya atishie asitishie Israel wanatabia za visasi na lazima walipizeDuru la pili la makombora limekamilika, sahivi naona wanalaunch duru la tatu la makombora.
Iron dome imefanikiwa kuintercept makombora kadhaa wakati mengine yakipiga target na kuleta madhara kwa binadam na miundombinu
Iran katishia kama Israel ikijibu basi anapigwa mara kumi