Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.

Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.

Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.

Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
👋👋👋👋
 

Attachments

  • IMG_20241001_223134.jpg
    IMG_20241001_223134.jpg
    16 KB · Views: 1
Utashangaa hakuna atakayedhurika na hayo mabomu, ila wenzao akina Yahood wakiachia bunker buster 90 hata Ayatollah mfupa wake hautaonekana milele.
Wataanza kusema israel inaua watoto na wamama wakati wenyewe wanarusha makombora kama njugu mawe.
 
Huu ndo muda China inapaswa kuingia Taiwan na kuichukua.

Marekani hawezi kupigana vita Ukraine, Mashariki ya Kati, na huko China na Taiwan.
Marekani itakuwa njia panda hiyo hatua ikifika...
 
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.

Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.

Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.

Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Ninawaza,, tu. Israel akiona anazidiwa, akaamua kutupia nuclear hapo Tehran,, Irani, kama USA alivyotupia Atomic kule Hiroshima Japan 1945 dunia itakuwaje ? Madhara ya hiyo nuclear kimazingira yatasambaa kiwango gani ?
 
Iran Ayatollah anaondoka Mark my words

Kilichotokea alikuwa akitumia Hezbollah kama buffer zone kivita

Hezbollah askari wengi na vifaa walikuwa wa Iran

Kambi kubwa za silaha zito Iran iliziweka Lebanon buffer zone ndiko kwenye maghala mengi na silaha nzito za Iran kuwa Israel kufika kushambulia Iran hawezi sababu sio rahisi kushinda vikosi special forces vya Iran na silaha zao nzito za wa Iran waliovaa uniform za Hezbollah Lebanon

Sasa Israel kaingia ndani ya Lebanon kawavurumisha askari wa Iran wavaa nguo na wabeba silaha nzito za jeshi la Hezbollah
.
Sasa retreating Hezbollah wamekimbilia Iran
Wanarusha makombora toka Iran hao ni wale wale Hezbollah

Kivita inaitwa ukikimkimbiza panya angalia shimo anapokimbilia na kuingia shimo lipi

Hezbollah wanakimbia vita Lebanon wanaingia shimo lao Iran walikototokea

Ayatollah anaondoka safari hii hana ujanja
umeandika kama mgonjwa
 
Sawa utafika home maana tabia za kuanguka kwa makusudi halafu usingizie pombe sio poa ndugu wanakulalamikia kwa tabia zako hizo za kugawa bure!
Mimi siyajui hayo maana najinywea sebuleni kwangu na mke wangu labda wewe tabia yako ndugu zako wanakulalamikia umeona unitupie mimi tabia zako chafu
 
The only language west understand is Power. Wao ndio wanatunga sheria hivyo usitegemee ukipigana nao wataifata hiyo sheria, No!

Iran kaanza hivyo Israel akilipa hakuna kulalamika isipokuwa Iran apige na aendelee kupiga maana hiyo ndio lugha ambayo west wanaelewa na sio kulia lia.
 
Duru la pili la makombora limekamilika, sahivi naona wanalaunch duru la tatu la makombora.
Iron dome imefanikiwa kuintercept makombora kadhaa wakati mengine yakipiga target na kuleta madhara kwa binadam na miundombinu
Iran katishia kama Israel ikijibu basi anapigwa mara kumi
Haya atishie asitishie Israel wanatabia za visasi na lazima walipize
 
Back
Top Bottom