joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
sawawewe ni kiazi na hujui hali halisi ilivyo. Pale russia kumejaa waisrael kibao mpaka ibramovich mwenyewe ni raia kabisa.
Bora ukaushe tu kuongea stori za kahawa .
Дурак.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawawewe ni kiazi na hujui hali halisi ilivyo. Pale russia kumejaa waisrael kibao mpaka ibramovich mwenyewe ni raia kabisa.
Bora ukaushe tu kuongea stori za kahawa .
Дурак.
sawaAl jazeera wanasema ni Iran wewe mmatumbi wa mchamba wima unakataa tukueleweje?
Kwani mara ya kwanza alifanya nini si alirushiwa makombora na majibu yake ikawa vile vidroni vya kushoot video,, labda aingie baba yake USA sio yahudiIran - Mtoto kautana nasubiri response ya myahudi
Naona vinu vya nyuklia na oil refinery za iran zitakuwa na wageni wazito sana
GT wa JFHivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Angalia hii clip, hio ni Air base ya Israel inakuwa decimated, wanapohifadhi ndege zao, ni eneo ambalo bila shaka linalindwa vibaya mno, hili eneo sio muhimu?
View: https://x.com/MyLordBebo/status/1841210221659615450
Hakuna cha makombora 10 wala nini vitu vinatua tu.
In short sijaona video hata moja ambayo inaonesha hizi Missile zikiwa Intercepted hata kwa 50% ni zinatua tu, na Iran wamepiga maeneo ya kijeshi kwa Asilimia kubwa.
Angalia clip ya pili sio ya kwanza,Mbona naona miti, kwani Israel wanahifadhi ndege kwenye bustani za miti.
Airbases kwenye runways na karibu na hardened shelters hakunaga miti kabisa maana huleta hatari kwa ajari ndogo ndogo za ndege.
Kama hujaona interception makombora almost 200 yamefanya nini. Gaidi wawili wameua watu nane, makombora over 180 yameharibu nini kikubwa au kuua wanajeshi wangapi. Subiri Israel ikijibu hata kwa mabomu 10 tu uone matokeo.
Israel haina uwezo kupiga vinu vya nuclear vya Iran...Israel ina eneo dogo sana haiwezi zuia saturation attack. Na pia inapenda kujibu kwa kutoa onyo kali.
Ila nadhania Israel itajibu kwa miundombinu muhimu Iran kama ya mafuta kwanza kama angalizo kuwa inaweza shambulia nuclear sites. Na hata Iran ikijibu tena sitarajii itarnda direct kushambulia Dimona nuclear site ya Israel badala yake ishambulie kama gas facilities kuonyesha inaweza piga Dimona ikiamua.
Israel ikipiga vinu vya Iran moja kwa moja Iran itashindwa kujizuia, Israel ingeshambuliwa kinu cha nyuklia Iran ingekuwa inachakaa vibaya kwa sasa. Wote wakienda kwa uangalifu itakuwa showdown. Yawezekana Iran kupitia Russia ikaitaarifu Israel izuge yaishe, kama ilivyo fanya al Assad airbase kule Iraq to save face baada ya Soleimani kuuwawa na Marekani.
mnapigwaa kitu kizitooo kobaz...Alafu unaweza kuta na ww et una familia.
Bwana wako atampigania nani wewe mbona unakuwa fala, huyo Bwana wako hao waisrael wenyewe hawamkubali,, kama ni udini basi hii mbungi ni ya myahudi na muislam wee mkristo kaa pembeni, huyo yahudi unaemshobokea ye hakutaki“Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
”
— Kutoka 14:14 (Biblia Takatifu)
Halafu hii delayed response ya Iran si ajabu ilikuwa ni kwa ajili ya kujiandaa kwa retaliation ya Israel.Israel haina uwezo kupiga vinu vya nuclear vya Iran...
Iran imejifunza kwa vinu vya nuclear vilivyoshambuliwa na Israel nchini Iraq na Syria...
Operation opera Israel ilipiga vinu vya nuclear Iraq mwaka 1981, Israel ikashambulia kinu cha nuclear Syria katika operation waliita outside the box mwaka 2007... Hivyo vinu vya nuclear vyote vilijengwa kama majengo ya kawaida ambapo hata CIA waliweza kufuatilia kila kitu kinachoendelea, walijitahidi kuficha vinu hivyo jangwani lakini haikusaidia... Kwa satellite kila kitu kilikuwa wazi...
Kwa kutumia ndege vita Israel wakashambulia...
Iran haikutaka kufanya makosa, vinu vyao vipo deep underground, sio deep underground tu , vimewekwa chini kabisa ya milima.. Halafu vipo locations tofauti tofauti..
Kwa jiografia Iran ni nchi yenye milima mikubwa na ipo mingi, wameweka vinu vyao chini ya milima na kuweka concrete juu ngumu sana...
Mbali na hapo vinu vyao vinalindwa na air defenses na AAA(anti aircraft artillery) , kwa kutumia bomber kama F16 lazima ndege iruke usawa wa target na kuachia bunker buster... Kitu ambacho air defenses zitashambulia ndege..
Hata bunker buster ya tons 16 ambayo US wanayo haiwezi haribu hivyo vinu...
Israel bomber anazotumia ni F15 na F16 labda kwa sasa na F35..
Kingine F15 na F16 hazina uwezo ku handle uzito wa bunker buster kwenda kupiga Iran kwa huo umbali, fuel haiwezi kutosha kuifikisha ndege kama F15 au F16 kupiga nuclear facility Iran... Bunker buster ni nzito mno kumbuka...
Operation opera na outside the box pale Syria ndege vita zilibeba tanks za ziada na baada ya mashambulizi walitupa tanks hizo kupunguza mzigo ili ku manage fuel consumption, walitumia pia mbinu ya kuruka kwenye high altitude wakati wa kurudi baada ya shambulizi...
Ndege vita kama F15 au F16 zinaporuka altitude ndogo huwa zinakula mafuta zaidi kuipa ndege thrust kwenda mbele tofauti na ikiwa anga za juu zaidi... Lakini wanapita chini kukwepa radars...
Hapo umeona kuna ugumu kiasi gani kushambulia vinu vya nuclear Iran...
Ndio maana Israel imekuwa ikitumia njia kama kuua wanasayansi wa atomic wa Iran ili kuzuia zoezi hilo ambapo imeshindikana pia...
Vinu vya nuclear Iran vingekuwa vimejengwa kama uwanja wa Mkapa, tayari Israel ingeshalipua muda mrefu sana..
Unaongea nini wewe ? Israel inatarget zaidi maadui wao, raia huwa ni casualities, hakuna vita isiyo na civilian casualities lakini bado Israel wanajitahidi sana kuzipunguza japo hazikwepekiIran sio Israel anapiga Military target na strategy target sio huyo Israel target zake kuvunja majumba na kuwauwa watu wasio na hatia. Israel ni muwaji wa watoto akikosea step akauwe wa iran watoto Tela Aviv itakuwa History
Unamaanisha GOD wa mashoga..?Iran imekwisha.
Atapigwa kama ngoma.
GOD BLESS ISRAEL
Yani muuza supu uwanja wa fisi na wewe eti ayatolah must go,, ovyoooAyatollah must go sio hiari must go na like kilemba lake
Hakuna professionism yoyote, Kabla makombora hayajafika Israel huwa kuna vingora vinalia watu wanakimbilia kwenye nyumba maalum za kujikinga na mabomu, Raia waliokufa ni kwa upande wa Palestina, Iran imeua mpalestina.Kwa ujumla Iran imeonesha professionalism kwenye medan ya vita kwani haijaua raia kama Sheria za zinavyotaka.
Pili amelenga military sites TU na inaonekana zimepigwa vilivyo. Suala La wanajeshi wangapi wamekufa au kujeruhiwa sahau Huwa ni siri.
Kuna mambo yatakuwa wazi mfano ndege zilizoharibiwa, vifaru magari vita, viwanja vya ndege n.k.
Ukiona mtu analipiza kwa kujua raia hajui vita zaidi kuitumia mihemko. Wakihisi kwa kufanya hivyo raia watawageuka viongozi wao na hata kuwapindua.
Hivyo kama ni kuchapana basi Rais wasiuwawe ndio tuone mbabe.
Tumeshuhudia Ukraine Russia akipiga maeneo ya jeshi TU tofauti na Ukraine wanapiga maeneo ya raia na huo ni ugaidi.
Kama kweli basi ndo mwisho wa Iran, Israel akianzaga mpaka dunia inalia jinsi anavyochukua hatua kikatiliDk30 zilizopita wapalestina wawili wameingia tel aviv,chapa risasi watu 23 dead
Akitaka anaua tu kaua Ibrahim rais na haniyah itakuwa vitoto mtapiamlo vya kiajemi?Iran sio Israel anapiga Military target na strategy target sio huyo Israel target zake kuvunja majumba na kuwauwa watu wasio na hatia. Israel ni muwaji wa watoto akikosea step akauwe wa iran watoto Tela Aviv itakuwa History
Hata kama,lakn teknolojia ilio tumika ni ya myaud,mbona hata Iran anasaidiwa sana kwahyo Israeli nae akipata saport sio mbaya kikubwa lengo litimie, hakuna gaidi kuachwa
Hakuna professionism yoyote, Kabla makombora hayajafika Israel huwa kuna vingora vinalia watu wanakimbilia kwenye nyumba maalum za kujikinga na mabomu, Raia waliokufa ni kwa upande wa Palestina, Iran imeua mpalestina.
Pili, Makombora yaliyokuwa yanaelekea maeneo ya makazi ya watu mengi yamelipuliwa angani kwa mfumo wa Iron Dome, yaliyoachwa kwa maksudi yatue ni yale yanayoangukia sehemu za wazi zisizo na madhara ya milipuko