Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Naona onyo langu Kwa ayatollah kalipuuzia!🙄
Sasa zamu yake kulamba udongo!
Naona kichwa chake kimesha geuzwa qibla!
 
Kobazi hoi huko unaambiwa wamepiga hewa hahahaha
Yan wayahudi waliochagua baraba mshezi muuaji aachiwe ila Yesu asulubiwe.. Leo ndio mnawaona hawa watu WA maana . Nyie wakristo inabidi mpimwe mikojo Kuna mnachotumia kinawaharibu... Ajabu jamaa wanaua mpaka vichanga huko Gaza

Na Gaza Kuna Hadi christian population na wanauliwa na Israel ila wakristo wakitanzania wanashangilia .. dah nyie hamjitambui kabisa
 
Dumb heads 😂😂.... Me nawachekaga sana wakristo kuwapa fagio wayahudi wakati wao hawana Hata time nao.. kwanza Yesu mwenyewe hawamkubali.. mpaka wakamuuza kwa vipande vya fedha
Mkiristo Hana uadui na binadamu yeyote Ambaye YESU Alimfia Msalabani!
Ilaha Tunaichukia sana sana ROHO Islam inayowamiliki!
Takbirrrr ✊ YESU Akbar 👊
 
Yan wayahudi waliochagua baraba mshezi muuaji aachiwe ila Yesu asulubiwe.. Leo ndio mnawaona hawa watu WA maana . Nyie wakristo inabidi mpimwe mikojo Kuna mnachotumia kinawaharibu... Ajabu jamaa wanaua mpaka vichanga huko Gaza

Na Gaza Kuna Hadi christian population na wanauliwa na Israel ila wakristo wakitanzania wanashangilia .. dah nyie hamjitambui kabisa
ww unae shabikia uislamu Ambao Hadi unakuwa mkamuliwa NGAMA mtarajiwa ndie ukapimwe mkojo na
haja kubwa sababu hiyo Deen ni ya warabu tu!
👇👇
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Huelewi hata MAANA ya Kumfuata Na Kumuishi YESU!🙄😜
 

Attachments

  • Screenshot_20240320-111517~2.jpg
    Screenshot_20240320-111517~2.jpg
    61.4 KB · Views: 1
If you know how to compare and contrast between millitary infrastructures and millitary objectives,Iran striked millitary infrastructures.
Iran striked military infrastructure ❌
Iran struck military infrastructure ✅
 
Chumbani kwako
Kwani khamenei jana alitweet akiwa wapi 🤣
Netanyau angekua gheto kwang ninge play ile nyimbo ya baddest mtoto kautakaa afu humo ndan Putin akosekan .kiduku ye atapitia mafuta Iran afu aje nayo chap
 
Kaka T14 armata nawenzio tunataka mifil8she salamu uko wajombozenu kuwa tunataka pigano ngumi ilinyoooka kama muhajemi alivonyoosha kila mtu kaona kwamacho yake israel anapigwa live sasa waambie Netanyahu alisema akiwa UN anaweza kushambulia popote na Israel aitowai kushindwa tumemsklia ata Iran wanaweza kushambulia,, sasa kapigwa live!! Tunampa pole.lkn pia afunge domo lake au kama kweli anayo jeuri tunataka tuone nayy atoe viuma mojakwamoja vikahit tehran ngumu ilionyooka ikibidi zaid ya ngumi ya Iran mojakwamoja kutoka Israel kombora adi Iran atutaki ugaidi kumvizia ayatollah kalala au kinu chanyuklia kinawaka lkn kimepigwa na drone ambazo jambo dogo kuzimiliki ndani y Iran tunataka ngumu imeenyokaa ata kuwapa nguvu mashabiki wao wachungaji wapate pakuemea mana sasa watawangalia vip waumin wao haaaa kama sasa awa kobaz wanatamba vile ngumi imenyooka tn ilkuwa live adi rahaaa . Atutaki mapichqpicha kitu kinyoooke asante aman awataki basi paganini sio mnatamba ohh sisi technology ndio wababa afu unawaibisha watu uku. Mm mwajuma wangu kakasilika tangu jana niliomuongopea kuwa Israel apigiki sasa nimeambiwa sipewi niniiii adi Israel ajibu!!!! Asituangushe taifa teule tupo nyuma yako!

".. ngumi ilionyooka ikibidi zaidi ya ngumi ya Iran moja kwa moja kutoka Israel kombora hadi Iran hatutaki ugaidi kumvizia ayatollah kalala ..." 🤣🤣
 
Iran kuipiga Israel hakuna tofauti na kuipiga NATO na US Moja kwa moja maana US kitambo sana anamtega Iran ajiingize kwenye mfumo ili amchape sana kwa kukwepa lawama za walimwengu kuwa US ndo mchokozi, na sasa iran kaingia mwenyewe kwenye mtego kuwachokoza. Ngoja tuone Mwisho Iran itakuaje maana ni miaka mingi sana Us ilikua inatafuta njia ya kumchapa Iran bila kupata lawama na sasa njia imepatikana
Safari hii USA anakwepa sana vita, nafikiri ni kwa sababu ya vita ya ukraine. Tofauti na hapo angekuwa ameshaanza kusogeza meli vita zake huko. Anakwepa kuingia kwenye mtego wa Russia.
 
Kumbe jeuri yote ya Waziri Mkuu Nentanyau ni Marekani bila Marekani Israel haina uwezo wowote.

Kazi kubwa imefqnywa na Jeshi la Marekani kuzuia makombora ya Irani vinginevyo madhara yangekuwa makubwa sana.
 
Safari hii USA anakwepa sana vita, nafikiri ni kwa sababu ya vita ya ukraine. Tofauti na hapo angekuwa ameshaanza kusogeza meli vita zake huko. Anakwepa kuingia kwenye mtego wa Russia.
Kwa shambulio la jana nadhan hata usa atafikiria mara mbili mbili kuyatembeza maana sioni tena kama yanafuture kwa dunia ya hyper mfumo wa ulizin wa hizo meli hauzidi huo devid sling na arrow 3 na irodom lakini si unaona ilichofanyiwa
 
Back
Top Bottom