mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Naona onyo langu Kwa ayatollah kalipuuzia!🙄Hivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Sasa zamu yake kulamba udongo!
Naona kichwa chake kimesha geuzwa qibla!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona onyo langu Kwa ayatollah kalipuuzia!🙄Hivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Yan wayahudi waliochagua baraba mshezi muuaji aachiwe ila Yesu asulubiwe.. Leo ndio mnawaona hawa watu WA maana . Nyie wakristo inabidi mpimwe mikojo Kuna mnachotumia kinawaharibu... Ajabu jamaa wanaua mpaka vichanga huko GazaKobazi hoi huko unaambiwa wamepiga hewa hahahaha
Mkiristo Hana uadui na binadamu yeyote Ambaye YESU Alimfia Msalabani!Dumb heads 😂😂.... Me nawachekaga sana wakristo kuwapa fagio wayahudi wakati wao hawana Hata time nao.. kwanza Yesu mwenyewe hawamkubali.. mpaka wakamuuza kwa vipande vya fedha
If you know how to compare and contrast between millitary infrastructures and millitary objectives,Iran striked millitary infrastructures.Every military object is a military infrastructure, but not ever military infrastructure is a military object.
A very simple concept to grasp.
View attachment 3113150
ww unae shabikia uislamu Ambao Hadi unakuwa mkamuliwa NGAMA mtarajiwa ndie ukapimwe mkojo naYan wayahudi waliochagua baraba mshezi muuaji aachiwe ila Yesu asulubiwe.. Leo ndio mnawaona hawa watu WA maana . Nyie wakristo inabidi mpimwe mikojo Kuna mnachotumia kinawaharibu... Ajabu jamaa wanaua mpaka vichanga huko Gaza
Na Gaza Kuna Hadi christian population na wanauliwa na Israel ila wakristo wakitanzania wanashangilia .. dah nyie hamjitambui kabisa
Iran striked military infrastructure ❌If you know how to compare and contrast between millitary infrastructures and millitary objectives,Iran striked millitary infrastructures.
🙏🙏Iran striked military infrastructure ❌
Iran struck military infrastructure ✅
Subiri Yahudi atakavyo mshughulikia Masoud Pezeshkian ndio uamini w/mediaTafuta habari za kutosha achana na propaganda za mangaribi:
![]()
Massive Iranian Missile Strike ‘Completely Destroys’ Israeli F-35 Base Nevatim: Stealth Fighters Destroyed - Reports
A massive Iranian ballistic missile strike on targets in Israel launched on October 1 has targeted Nevatim Air Base, among other key targets in the country. The facilitymilitarywatchmagazine.com
Netanyau angekua gheto kwang ninge play ile nyimbo ya baddest mtoto kautakaa afu humo ndan Putin akosekan .kiduku ye atapitia mafuta Iran afu aje nayo chapChumbani kwako
Kwani khamenei jana alitweet akiwa wapi 🤣
Kaka T14 armata nawenzio tunataka mifil8she salamu uko wajombozenu kuwa tunataka pigano ngumi ilinyoooka kama muhajemi alivonyoosha kila mtu kaona kwamacho yake israel anapigwa live sasa waambie Netanyahu alisema akiwa UN anaweza kushambulia popote na Israel aitowai kushindwa tumemsklia ata Iran wanaweza kushambulia,, sasa kapigwa live!! Tunampa pole.lkn pia afunge domo lake au kama kweli anayo jeuri tunataka tuone nayy atoe viuma mojakwamoja vikahit tehran ngumu ilionyooka ikibidi zaid ya ngumi ya Iran mojakwamoja kutoka Israel kombora adi Iran atutaki ugaidi kumvizia ayatollah kalala au kinu chanyuklia kinawaka lkn kimepigwa na drone ambazo jambo dogo kuzimiliki ndani y Iran tunataka ngumu imeenyokaa ata kuwapa nguvu mashabiki wao wachungaji wapate pakuemea mana sasa watawangalia vip waumin wao haaaa kama sasa awa kobaz wanatamba vile ngumi imenyooka tn ilkuwa live adi rahaaa . Atutaki mapichqpicha kitu kinyoooke asante aman awataki basi paganini sio mnatamba ohh sisi technology ndio wababa afu unawaibisha watu uku. Mm mwajuma wangu kakasilika tangu jana niliomuongopea kuwa Israel apigiki sasa nimeambiwa sipewi niniiii adi Israel ajibu!!!! Asituangushe taifa teule tupo nyuma yako!
Safari hii USA anakwepa sana vita, nafikiri ni kwa sababu ya vita ya ukraine. Tofauti na hapo angekuwa ameshaanza kusogeza meli vita zake huko. Anakwepa kuingia kwenye mtego wa Russia.Iran kuipiga Israel hakuna tofauti na kuipiga NATO na US Moja kwa moja maana US kitambo sana anamtega Iran ajiingize kwenye mfumo ili amchape sana kwa kukwepa lawama za walimwengu kuwa US ndo mchokozi, na sasa iran kaingia mwenyewe kwenye mtego kuwachokoza. Ngoja tuone Mwisho Iran itakuaje maana ni miaka mingi sana Us ilikua inatafuta njia ya kumchapa Iran bila kupata lawama na sasa njia imepatikana
Nenda kwenye dakika ya 6:00 ya video:Subiri Yahudi atakavyo mshughulikia Masoud Pezeshkian ndio uamini w/media
Source Iran's media 😁Tafuta habari za kutosha achana na propaganda za mangaribi:
![]()
Massive Iranian Missile Strike ‘Completely Destroys’ Israeli F-35 Base Nevatim: Stealth Fighters Destroyed - Reports
A massive Iranian ballistic missile strike on targets in Israel launched on October 1 has targeted Nevatim Air Base, among other key targets in the country. The facilitymilitarywatchmagazine.com
Assalamu alaikum.
Milele aminaa mkuu amani ya Bwana iwe nawe.Assalamu alaikum.
Salamu za watu hizo kaka.Milele aminaa mkuu amani ya Bwana iwe nawe.
Kwa shambulio la jana nadhan hata usa atafikiria mara mbili mbili kuyatembeza maana sioni tena kama yanafuture kwa dunia ya hyper mfumo wa ulizin wa hizo meli hauzidi huo devid sling na arrow 3 na irodom lakini si unaona ilichofanyiwaSafari hii USA anakwepa sana vita, nafikiri ni kwa sababu ya vita ya ukraine. Tofauti na hapo angekuwa ameshaanza kusogeza meli vita zake huko. Anakwepa kuingia kwenye mtego wa Russia.
Mwezako roho juu hukoNetanyau angekua gheto kwang ninge play ile nyimbo ya baddest mtoto kautakaa afu humo ndan Putin akosekan .kiduku ye atapitia mafuta Iran afu aje nayo chap