Iran yasimamisha safari zote za ndege usiku wa leo

Flights zimekuwa canceled ili kutoa wigo kwa jeshi la anga ndege yoyote itakayoonekana kwenye anga ni ndege ya adui ipigwe( ubaya ubwela)
Wewe Huogopi ?
 
Hiyo haindoi ukweli kua mwezi April yahudi kapigwa na juzi kapigwa tena na akapewa na onyo kali mpaka wafuasi mnaharishiana
Onyo Kali wakiwa wamejificha nyuma ya wakina mama hahahaha aisee kobazi waoga wa kifo toa onyo ukiwa upo wazi sio unatoa onyo ukiwa nyuma ya kina mama na watoto kisa kuogopa kifo hamna kitu hapo Israel wanaogopeka milele 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Onyo Kali wakiwa wamejificha nyuma ya wakina mama hahahaha aisee kobazi waoga wa kifo toa onyo ukiwa upo wazi sio unatoa onyo ukiwa nyuma ya kina mama na watoto kisa kumuogopa netanyahu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Onyo lilitolewa tena na mwanaume akiwa hadharani na akiwa live media zote zina onesha alipo siku ya ijumaa na bado mabwana zako wamesanda we huogopi.
 
Onyo lilitolewa tena na mwanaume akiwa hadharani na akiwa live media zote zina onesha alipo siku ya ijumaa na bado mabwana zako wamesanda we huogopi.
Hao sio wanaume ni mashoga mwanaume hawezi kujificha Kwa kina mama na watoto wanaume wapo Israel wanakufa kiume vitani hao wengine ni mabinti ambao wanaogopa kifo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sema iran aja fanya vizuri kaya chapa mashoga kwa kushtukiza yamekosa pa kuficha aibu
 
Iran angekuwa na akili kama zako hata Drone angeshindwa kutengeneza, Iran ni nchi ambayo imeishambulia Israel mara mbili ndani ya miezi 6, sasa huo uoga unao sema wewe upi?
 
Iran angekuwa na akili kama zako hata Drone angeshindwa kutengeneza, Iran ni nchi ambayo imeishambulia Israel mara mbili ndani ya miezi 6, sasa huo uoga unao sema wewe upi?
Wapi wewe hao wanakimbilia kujificha nyuma ya kina mama hamna wanajeshi hapo ni mashoga tu yaani wanaanzisha ugomvi halafu wanakimbilia kujificha nyuma ya kina mama na watoto hamna kitu hapo waoga wa kifo hao Sasa mbinu ni kupiga hapo hapo maana hao kina mama wanawaficha hao mashoga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ayatollaah pressure 300 na yuko kajificha kwenye handaki maana anajua kabisa Myahudi hawezi mkosa hata iweje
Juzi alikuwa live kahutubia Dunia NDANI ya masaa 2 non Stop mwamba alishududiwa akiwa katika umati WA watu zaidi ya million 2

Dunia nzima walikuwa On Stream live all platform.

YouTube,X, zamani Twitter zilikua Up down.
 

Kumbe Israel ilipofunga anga yake ilikuwa inaweweseka?

Shukurani kwa taarifa.
 
Juzi alikuwa live kahutubia Dunia NDANI ya masaa 2 non Stop mwamba alishududiwa akiwa katika umati WA watu zaidi ya million 2

Dunia nzima walikuwa On Stream live all platform.

YouTube,X, zamani Twitter zilikua Up down.
Mwamba anajificha pangoni
 
Hakuna alie wakataza wapige sasa sio kubekwa kama Mbwa koko, haya sasa baadhi ya viwanja vinapiga kazi vipi unalo la kuongeza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…