Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
 
Hawa hawataki kumalizana; ila wakiamua kumalizana ndio wataheshimiana. Israeli hajarusha hata kombora moja bado wala droni hazijatumika bado. Ila Iran wakisema wanajipanga tena kujibu mashambulizi natabiri Israeli itaamua kuwashambulia kabla hawarusha kombora tena (pre-emptive strike). And then....
 
Hawa hawataki kumalizana; ila wakiamua kumalizana ndio wataheshimiana. Israeli hajarusha hata kombora moja bado wala droni hazijatumika bado. Ila Iran wakisema wanajipanga tena kujibu mashambulizi natabiri Israeli itaamua kuwashambulia kabla hawarusha kombora tena (pre-emptive strike). And then....
Ulichokiandika umekielewa lakini??
Israel hajafanya nini?????
 
Usisahau kuwa muda huu Israel wametoa ripoti ya sehemu Ambazo wamepiga ikiwemo kiwanda cha solid fuel kinachotengeneza ballistic missile, kulingana na ripoti hiyo Zinasema kuwa Iran itachukua miaka miwili kutengeneza ballistic tena
🚨 Breaking: Israel 🇮🇱 destroyed solid fuel manufacturing plants for Iran's 🇮🇷 ballistic missiles. According to reports, it will take at least two years for Iran to be able to build ballistic missiles again.
 
Usisahau kuwa muda huu Israel wametoa ripoti ya sehemu Ambazo wamepiga ikiwemo kiwanda cha solid fuel kinachotengeneza ballistic missile, kulingana na ripoti hiyo Zinasema kuwa Iran itachukua miaka miwili kutengeneza ballistic tena
🚨 Breaking: Israel 🇮🇱 destroyed solid fuel manufacturing plants for Iran's 🇮🇷 ballistic missiles. According to reports, it will take at least two years for Iran to be able to build ballistic missiles again.
Labda ndiyo madhara ambayo Iran imeyaita ni madogo!!

Kuna watu humu wanahemka na kusema uwongo kuwa etimakombora yote yalidunguliwa, wakatiIran imekiri kuwa baadhi ya bases zake zimepigwa licha ya mifumo yake ya anga kufanya kazi vizuri.

Israel inaonekana ilichokuwa imekusudia ni kuitahadharisha Iran, na kuipunguzia uwezo Iran wa kusaidia makundi ya kigaidi. Baada ya kushambulia, Israel imetoa onyo kwa Iran kuwa isithubutu kujibu shambulio!! Ikijibu, sijui itaifanya nini!!
 
Usisahau kuwa muda huu Israel wametoa ripoti ya sehemu Ambazo wamepiga ikiwemo kiwanda cha solid fuel kinachotengeneza ballistic missile, kulingana na ripoti hiyo Zinasema kuwa Iran itachukua miaka miwili kutengeneza ballistic tena
🚨 Breaking: Israel 🇮🇱 destroyed solid fuel manufacturing plants for Iran's 🇮🇷 ballistic missiles. According to reports, it will take at least two years for Iran to be able to build ballistic missiles again.
This how intellectual do!
 
Labda ndiyo madhara ambayo Iran imeyaita ni madogo!!

Kuna watu humu wanahemka na kusema uwongo kuwa etimakombora yote yalidunguliwa, wakatiIran imekiri kuwa baadhi ya bases zake zimepigwa licha ya mifumo yake ya anga kufanya kazi vizuri.

Israel inaonekana ilichokuwa imekusudia ni kuitahadharisha Iran, na kuipunguzia uwezo Iran wa kusaidia makundi ya kigaidi. Baada ya kushambulia, Israel imetoa onyo kwa Iran kuwa isithubutu kujibu shambulio!! Ikijibu, sijui itaifanya nini!!
Ukishakuwa na vinu vya kinyuklia tayari una matatizo nchini mwako!
 
wa tz tuko nyuma ya mama ambaye anamsapoti yahayaa mia kwa miaa!
FB_IMG_1729507695527.jpg
 
Usisahau kuwa muda huu Israel wametoa ripoti ya sehemu Ambazo wamepiga ikiwemo kiwanda cha solid fuel kinachotengeneza ballistic missile, kulingana na ripoti hiyo Zinasema kuwa Iran itachukua miaka miwili kutengeneza ballistic tena
🚨 Breaking: Israel 🇮🇱 destroyed solid fuel manufacturing plants for Iran's 🇮🇷 ballistic missiles. According to reports, it will take at least two years for Iran to be able to build ballistic missiles again.
Very smart move
 
Usisahau kuwa muda huu Israel wametoa ripoti ya sehemu Ambazo wamepiga ikiwemo kiwanda cha solid fuel kinachotengeneza ballistic missile, kulingana na ripoti hiyo Zinasema kuwa Iran itachukua miaka miwili kutengeneza ballistic tena
🚨 Breaking: Israel 🇮🇱 destroyed solid fuel manufacturing plants for Iran's 🇮🇷 ballistic missiles. According to reports, it will take at least two years for Iran to be able to build ballistic missiles again.
Kama viongozi wengine wa serikali wanasema zile target hazina tija unategemea jeshi la IDF litajitetea vip?
 
Usisahau kuwa muda huu Israel wametoa ripoti ya sehemu Ambazo wamepiga ikiwemo kiwanda cha solid fuel kinachotengeneza ballistic missile, kulingana na ripoti hiyo Zinasema kuwa Iran itachukua miaka miwili kutengeneza ballistic tena
🚨 Breaking: Israel 🇮🇱 destroyed solid fuel manufacturing plants for Iran's 🇮🇷 ballistic missiles. According to reports, it will take at least two years for Iran to be able to build ballistic missiles again.
Ndiyo maana sahizi ile lugha ya kusema shambuluo limeleta madhara madogo, hawasemi tena. Watu wamekufa, eti ni madhara madogo!! Au huko Iran, uhai wa binadamu hauna thamani?
 
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Hawa walipata majeruhi kwahiyo wamekufa ndio maana idadi imefika wa 4, sasa Waisrael waonyeshe hiko kiwanda walicholipua sio maneno matupu
 
Hawa hawataki kumalizana; ila wakiamua kumalizana ndio wataheshimiana. Israeli hajarusha hata kombora moja bado wala droni hazijatumika bado. Ila Iran wakisema wanajipanga tena kujibu mashambulizi natabiri Israeli itaamua kuwashambulia kabla hawarusha kombora tena (pre-emptive strike). And then....
Pre-emptive strikes are only possible for unmatched bullies!
... the odds are even in this particular case, ... time to see how well they perform!
 
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Israel kama kweli angekua anataka amani alitakiwa kua wakwanza kuhakikisha kule west bank mambo safi, haya maeneo mengine yangekaa sawa mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom